Gullam
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 5,239
- 3,933
Jaribu uoneNi kawaida tu mtu kuondolewa kama uliwekwa, na siyo kwamba umeondolewa eti kwakuwa ulikosana na fulani ambaye hana hata ushawishi kwa boss wako. Mnawaamini watu mpaka mnawapa uwezo kimungu kwamba eti ukikosana nao basi - UPUUZI MTUPU