RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,859
- 2,758
Wewe utakuwa umevurugwa ile mbaya...
Huyo Mzee wa IPP kwanza anapenda Sifa sana,mara nyingi huwaalika mabarozi wa Nchi za Nje ofisini kwake wakati yeye si Mtumishi wa Umma, Habari zake ITV hupewa Dakika nyingi hata kama anaongea Uzushi zushi tu,na Habari muhimu kupewa DK chache sana, Nina imani Mengi atauchukia Mtandao wa JF maana Leo amepewa Makavu Live.baada ya kuwa amejisahau na kujiona ni Mungu Mtu kila analofanya watu wanaogopa kumkosoa,wewe Mzee wa ipp kwanza ni Mpenda Michepuko hakuna mfano nje ya kazi na biashara zake si mwadilifu hata kidogo, kwa kifupi Mengi si Mtu wa kumwamini kabsa ni Mtu hatari kuliko wengi wanavyodhani, Pia mengi huwa ni Limbukeni wa kingereza akitembelewa na Mzungu mmoja au wawili huku waswahili wapo 1000 yeye huzungumza kingereza ili amfurahishe Mzungu pasipo kuwajali waswahili kama wanamwelewa. Mengi ni Dalali wa kila kitu aliwahi kupiga udalali Pesa za misaada juu ya Ukimwi zilitoka ulaya zikapitia kwake . Chezea a Mengi wewe....