Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?

Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?

Ole Sendeka amekuwa Dalali wa Ubaya yaani Sendeka ni Mpambe wa a Mengi akiwa Dsm mda mwingi hushinda ofisini kwa mengi, na sasa Sendeka kapewa Pesa ili akomae anajifanya kuwa na Uchungu wakati si kweli , amekomaa ili amfurahishe boss wake Mengi.
 
Mengi atatumia kila mbinu kumuondoa madarakani mtu yeyote, kulinda maslahi yake yaliyojificha kwenye dini na misaada ya kejeri. Atatumia hela kwa Olesendika, Sita n.k kutimiza haja zake. Shame.
 
Mwanzo nilikuwa nadhani watu wote hawajui kuwa mengi ni mpuuzi na mwizi ila anawalaghai watu kwa vitu vidogo vidogo wakati yeye anaiba mabilioni kumbe mpo baadhi ya watanzania mnamjua mengi vema nilidhani niko peke yangu.

Hauko peke yako wapo wengi wanajua Madhambi yake lakini hawafiki JF siku wakiamua kuyaanika Sidhani kama mengi atakuwa na pa kujificha.
 
IPTL inayoitwa hewa leo ndiyo iliyokuwa ikiiuzia Tanesco umeme na kulipwa capacity charge, PAP inayoitwa hewa leo ndiyo iliyoridhiwa na hukumu ya jaji Utamwa irithi mali na madeni ya IPTL...Singasinga Sethi kwa kuwa tu ni mzawa basi hastahili kununua IPTL wala kulipwa kilicho cha IPTL....Kurithi mali na madeni tafsiri yake ni kurithi na pesa inayopaswa kulipwa IPTL kutoka Escrow na ndio maana Gavana hakuwa na shaka na hili baada ya kujiridhisha...Lakini kwa kuwa wanasiasa na hasa wabunge wasaka tonge wamelainishwa kwa vijisenti na wanayo kinga ya kibunge basi wanahakikisha wanakuwa wao walalamikaji;wao wasikiliza malalamiko na wao watoa hukumu....Huku ni kuingilia kabisa mihimili mingine...Na wakishatimiza malengo yao utawasikia wakijigamba mitaani kwamba tumemkomoa...Wakati umefika sasa wa kuwanyima kura na kuhakikisha sheria ya kinga ya bunge inarekebishwa ili watu wasio na hatia na wasio na uwezo wa kusema bungeni waweze kujitetea kabla ya kuchafuliwa CV zao...Mmemchafua Askofu Kilaini bure bila sababu za msingi.
mengi sio dokta wangu kama unavyosema. namkubali tu kwa sababu ni mfanyabiashara aliyefanikiwa, na mie napenda biashara. ila sikubali hizo games anazocheza, anakera sana kulalamika hovyo. ni mtu wa kutafuta huruma na wa-tz wameshaleweshwa na huruma zake. prof muhongo namkubali kwa misimamo yake, nilifurahi aliposimamia ile deal ya ophir. sijakataa waziri kukutana na wawekezaji ofisini kwake, ila walichohoji PAC ni kwa nini afanye deal na singsinga ili hali jamaa hakuwa halali? na TRA walithibitisha hilo, mpaka sasa iptl ni hewa kwa kuwa pap ni hewa. pia sikupenda uongo aliozungumza bungeni ati hapakuwa na pesa za umma; kodi ni pesa ya mtu binafsi? TRA wamethibitisha kwamba kodi haikulipwa hasa na pap.
 
Wengi katika Bunge walikuwa wanacheza drama! Watu waunganisha story kama za movie tangu 1995 had sasa in one hour. Nani msafi? Zito> Mbowe> Olesendika aliye taka kuua Meru.. akapona na hela ya Mengi!!! Aiibu sana. It is great shame...nani anaiuzia umeme TANESCO kwa bei nafuaa?? Kama sio IPTL. Tunashindwa endesha UDA, Railway, Muhimbili leo tunataka IPTL ili baadaye auziwe Mengi..... shame Wabunge.
 
Mengi atatumia kila mbinu kumuondoa madarakani mtu yeyote, kulinda maslahi yake yaliyojificha kwenye dini na misaada ya kejeri. Atatumia hela kwa Olesendika, Sita n.k kutimiza haja zake. Shame.

Huyo Sendeka kamgeuza Mengi buzz huwa anamchuna ile mbaya kwa Kisingizio cha kwenda kupambana na wabaya wa Mengi kule Bungeni, Sendeka kabuni Mladi Pesa za Kampeni mwakani kazipata hapo hapo baada ya kupenyeza Fitna kwa kasi na kumfurahisha Boss wake Membe.
 
sasa nataka bunge limtafute aliyefirisi bank ya umma ya NBC

Yupo si mwingine bali ni Mzee mengi lakini utambue kuwa baada ya kukopa Mapesa mengi waliunguza Benki na kuteketeza Nyaraka zote zenye kumbukumbu hivyo itawawia Vigumu kumkamata , labda walete wapelekezi wa kule UK, USA na Urusi ambao wana Ujuzi mkubwa wa kupeleleza jambo hata Kama ushahidi umehujumiwa.
 
Wale Wabunge wajanja sasa wamegungua kwa Mengi kuna Pesa za Bure kwa yeyote mwenye uwezo wa kumsaidia kuwang'oa Mhongo na Maswi , sasa wanapishana kwenda kuchukua Pesa, kisha wanauchuna na kumwachia Sendeka akipaza Sauti Peke yake, huu ni Mda wa wajinga ndiyo waliwao,Pesa za kampeni zitapatikana humo humo,sasa ni mda wa mavuno.
 
Mengi amefanya Mengi ni alama ya uzawa wetu. Muhongo jeuri Kaipata baada ya kufanya udalali. Mengi ni mpambanaji na watu wengi wamenufaika na utajiri wake anajitoa saana na Kodi analipa. Muhongo anakera Kwa jeuri na kiburi cha kitoto. babu yangu aliniambia Elimu ni kalamu Si akili. na Ndio maana mchango wa wasomi hauonekani na ukiuona ni wa kitumwa
 
Mengi amefanya Mengi ni alama ya uzawa wetu. Muhongo jeuri Kaipata baada ya kufanya udalali. Mengi ni mpambanaji na watu wengi wamenufaika na utajiri wake anajitoa saana na Kodi analipa. Muhongo anakera Kwa jeuri na kiburi cha kitoto. babu yangu aliniambia Elimu ni kalamu Si akili. na Ndio maana mchango wa wasomi hauonekani na ukiuona ni wa kitumwa

Mengi yuko kwa maslahi yake binafsi na wachagga wenzake. Asiisogelee gesi kabisa. Ni bepari mnyonyaji, mbinafsi, tapeli
 
Nilishawahi kuomba kazi kwenye mgodi wa Mengi wa tanzanite Mererani. Nikanyimwa kwa sababu sio mchagga. Mgodi wake amejaza wachaga watupu. Asiisogelee gesi yetu huyu mnyonyaji
 
I wish one day, ijulikane ni wazawa wepi wanafanya biashara kubwa na TANESCO. Kati yao ni nani anapata the lion share. Mengi hakosi. Tatizo la Muhongo ni kusema ukweli kwa maneno ya ukweli mtupu. We are poor to invest on oil and gas exploration, it is simple and clear. Do you know Muhongo is not politician, poor him. He does not know how to play the game politician play. Kuuma na Kupuliza, na unafiki. Kama ni maadili kwa nini Zito hakuachia ngazi baadaya ya tuhuma nzito toka kwa Mbowe na CHADEMA, akaenda Mahakamani. Tuhuma za Zito zilikuwa ni Usaliti na Rushwa pia kutaka kupindua uongozi wa CHADEMA. Ni tuhuma nzito sana. Leo wafanyakazi wa Serikali wakituhumiwa na bunge, bunge lina pendekeza hukumu hata kwa watu ambao hawapo bungeni, wala kujitetea.
Tumewapoteza wengi na tutawapoteza wengi kwa sababu tu wanaziba mirija ya wachache kama Mengi na Mkono. Aiibu.

History will tell.
 
Wafanya biashara wa kizungu ama wahindi wakiwa madalali hamsemi kitu ila watanzania wenzenu wakiwa madalali midomo juu juu
Kuhusu vitalu vya gesi, Mengi ni dalali na hilo halina ubishi.

Kuhusu la report ya PAC ngoja tusubiri utetezi ili ukweli ujulikane.
 
Mengi yuko kwa maslahi yake binafsi na wachagga wenzake. Asiisogelee gesi kabisa. Ni bepari mnyonyaji, mbinafsi, tapeli

IPP wanafanya wachaga pekee?? Bonite wanafanya wachaga pekee?? Hiyo habari ya Migodi yake kuwa wachaga ni uongo na upuuzi wa kupuuzwa sababu hata aliyekua mshirika wake mkubwa na msimamizi wa migodi yake Henry Nyiti hakuwa Mchaga.. By the way huko kwenu Tunduru si kuna migodi?? omba kazi huko
 
I wish one day, ijulikane ni wazawa wepi wanafanya biashara kubwa na TANESCO. Kati yao ni nani anapata the lion share. Mengi hakosi. Tatizo la Muhongo ni kusema ukweli kwa maneno ya ukweli mtupu. We are poor to invest on oil and gas exploration, it is simple and clear. Do you know Muhongo is not politician, poor him. He does not know how to play the game politician play. Kuuma na Kupuliza, na unafiki. Kama ni maadili kwa nini Zito hakuachia ngazi baadaya ya tuhuma nzito toka kwa Mbowe na CHADEMA, akaenda Mahakamani. Tuhuma za Zito zilikuwa ni Usaliti na Rushwa pia kutaka kupindua uongozi wa CHADEMA. Ni tuhuma nzito sana. Leo wafanyakazi wa Serikali wakituhumiwa na bunge, bunge lina pendekeza hukumu hata kwa watu ambao hawapo bungeni, wala kujitetea.
Tumewapoteza wengi na tutawapoteza wengi kwa sababu tu wanaziba mirija ya wachache kama Mengi na Mkono. Aiibu.

History will tell.

Acha ushenzi wewe, kudanganya bungeni sio siasa za kipumbavu?? Kwanini adanganye mbele ya bunge kuwa mwanasheria wa Tanesco alisingizia katumwa Malaysia na AG wakati ni kweli alitumwa?? Kwanini akusanye makaratasi mengi na kudanganya ni vithibitisho angali alikuanavyo viwili tu ambavyo ni fake?? Aende akapasue miamba bogus huyo
 
Sasa tumeona nani muuza juice nani tumbili.....muhongo prof magumashi.
 
Nilishawahi kuomba kazi kwenye mgodi wa Mengi wa tanzanite Mererani. Nikanyimwa kwa sababu sio mchagga. Mgodi wake amejaza wachaga watupu. Asiisogelee gesi yetu huyu mnyonyaji

Wewe unaweza kufanya kazi pale ambiance Africasana ...... tena night shift ..... period
 
Back
Top Bottom