Pamoja na mengine Mengi ni mnafiki namba 1 hapa Tanzania. Na hata kama Muhongo akijiuzulu ila aliweza kuweka wazi swala la Mengi kutaka kuwa dadali wa vitalu vya Gesi.........sijawai na sitokaa kumwamini Mengi hata kidogo. Ni very opportunistic, mlalamishi as if Tanzania yote yuko yeye peke yake, kila kitu anataka apewe kisa tu ana ela basi apewe priority hata bila kuangalia uhalisia, sheria, utaratibu nk. Ni mchochezi na sijui kwa nini serikali inamchekea chekea, Rais Mkapa alimdhibiti sawasawa, ila kwa hawa wagombea ambayo washajitokeza kwa 2015 karibu wote ni wakali which means Mengi asijejaribu kuleta mchezo wake tena ifikapo 2015.
Tumesikia mara kwa mara waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo akimlaumu IPP Chairman, Dr. Reginald Mengi kuwa anang'ang'ania vitalu vya gesi na mafuta kumilikishwa kwa wazawa kwa kuwa ni dalali. Leo katika report ya PAC bungeni, Prof. Sospeter Muhongo ametajwa kama dalali kwa kuwa ndiye yeye aliyewakutanisha Harbinder Sigh Seth na James Rugemalira katika dili ya Tanesco. Dr. Mengi atasema nini kuhusu yaliyotokea?
![]()
![]()
Ushahidi umeungua na moto mtu anakamatwa vipi? au unadhani kina zito na kamati zao walikuwepo zamani?... Hebu nenda kalale pimbi wewe hujui ulisemalo.
Kuhusu vitalu vya gesi, Mengi ni dalali na hilo halina ubishi.
Kuhusu la report ya PAC ngoja tusubiri utetezi ili ukweli ujulikane.
Hivi zecomedy nao wamemalizika?Huyu Mzee ni kama Nabii Fulani, he has "powers from within", ukimtibua... safari!.
- Alianza na wamiliki wa DTV na CTN kuhusu haki za kuonyesha kombe la dunia, vituo vyote vimekufa.
- Alitibuana na Katibu Mkuu, Mambo ya Ndani, Silvanus Adel, Adel alimwaga unga wake!.
- Akatubuana na Gazeti la Mtanzania kutoa siri kuwa anadaiwa na mabeki, Mtanzania likafilisika hadi kuuzwa!.
- Akatibuana na Lowasa Mengi akiwa Mwenyekiti wa NEMCI, Lowasa akang'oka!.
- Alipishana kauli na Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Shamin Khan, shamim aling'olewa!
- Alipishana kauli na Masilingi, wakati wa "mchezo mchafu", Masilingi aling'olewa!.
- Alipishana kauli na Iddi Simba kwenye mambo ya Uzawa, Iddi Simba alimwagwa!.
- Alipishana kauli na Basil Mramba akiwa waziri wa fedha kuhusu kodi ya Jack Pot Bingo, Mramba aling'oka!.
- Alipishana kauli na Adam Malima, almanusura Adam, yangemkuta, Sitta akamuombea msamaha!, ndio salama yake!.
- Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!.
- Akapisha kauli na Yusuph Manji, sasa Manji anafilisiwa!.
- Akapishana kauli na Waziri wa Mambo ya ndani, Masha, Masha kang'olewa!.
- Akaja Rostam Aziz, sasa ameikimbia nchi!,
- Alipishana kauli na Balozi wa Uingereza kwenye kashfa ya Silvadale!, Balozi wa Uingerezwa aliondoshwa!.
- Alipishana kauli na wandeshaji wa Kipindi cha "Kiti Moto", Kiti Moto kilikufa!
- Ndipo sasa amekuja Prof. Mhongo!.
Watu wa karibu na Mhongo, mshaurini atubu na kwenda kuangukia mapema, watu wa Mungu sio wa kuchezea!.
Vinginevyo!.
Pasco.
si unajua alileta hesabu zisizo sahihi ili kukwepa kodi. Hebu fikiri amenunu $milion ishirini yeye akaleta document za kughushi za laki tatu. Hata kwa akili ya kawaida hisa tatu zinauzwa kwa thamani ya zaidi ya $milion 70 , lakini hisa saba zinauzwa kwa fedha za Tanzania milion sita !!? Hii kesi ikienda kwenye mahakama za wenzetu wanaojua umuhimu wa kodi uwezekano wa kushinda ni zaidi ya 90% pia kuna uhalali wa manunuzi ya hisa saba.
Idoyo Profesa yuko sahihi kabisa kama waziri ni lazima akutane na mwekezaji.. Huyo dr wako Mengi mbona anakutana na mabalozi kwani yeye ni mtumishi wa serikali???? nini alichoongea na mabalozi hao kikatekelezeka serikalini??? Bahati mbaya humjui vizuri daktari wako huyo mengi...Mengi ana mengi .. Rejea taarifa ya Rostam Aziz tu itakutosha kujua kuwa daktari wako ni dalali hasa pale alipolilia kiwanja maeneo ya mjini akapewa akakiuza....Hivyo kwa kuhitimisha Dr mengi ni dalali
Mkuu funza mpala leo hii tarehe 30.11.2014 wafanyakazi wa Guardian hawajalipwa mishahara kwa miezi miwili mfulilizo...uko sahihi kabisa chiefNi kweli huyo Mzee Mengi huwa anapenda Ligi sana na Mara nyingi hutumia Mapesa kibao ili apate Ushindi, Mengi ana Mengi maovu Kama lilivyo jina lake aliwahi kukopa NBC bank kisha wakachoma nyaraka ili kuficha ushahidi hatinae NBC ilifirisika ikaja kuokolewa na Uwekezaji, Mengi anawalipa wafanyakazi wake mishahara Mibovu huku akitumia Pesa nyingi kwenye Fitina juu ya Prof Mhongo Kisa eti amemnyima asifanye Udalali vitalu vya Gesi. Huyo Mengi huanzisha jambo kisha hutengeneza mazingira ya kupata huruma za Wananchi, ampapo wengi huingia kichwa kichwa kumtetea Mengi pasipo kujua kuwa Mengi ni Dalali na Hana Uchungu na Pesa za walipa Kodi bali yeye anaangalia masilahi yake.
Sina mazoea ya ubishi ingawaje mimi ni mwanasheri na kazi ya sheria ni ubishi. Nakuachia ushindi , ila huko baadae utaelewa tu.Share hushuka na kupanda bei kutegemea mambo mengi.
Singa alinunua share 7 kutoka kwa Mechar na piper.
Mechar tayari walisha filisika na kampuni ilikua inafungwa na ilikua na zigo la madeni kuliko assets zake hivyo haikua na thamani tena .
Singa ameinunua akaweka mikakati ya kibiashara kuifufua IPTL ndio maana hisa zikapanda thamani na pia Ruge amelipwa zaidi kwa vile alikua hataki kuachia na Singa hawezi kufanya kazi nae hivyo ili kum Buy out ilibidi apewe zaidi akitowe.
Hivyo suala hili technically si lamsingi
Waulize kina Kitenge Mwaipaya na wenzao watakuambia yule mzee ni mtu wa aina gani.. wewe ukiishia kutazama upara wake kwenye TV tu hutamuelewa mnyonyaji yule na mwizi yule aliyeichoma moto benki kuu enzi zake
Ujanja ni kupata na wala di kuwahi.Wakati mengi anaendelea na biashara zake, Muhongo anaenda kula viazi na maji.
Mkuu funza mpala leo hii tarehe 30.11.2014 wafanyakazi wa Guardian hawajalipwa mishahara kwa miezi miwili mfulilizo...uko sahihi kabisa chief
Mwanzo nilikuwa nadhani watu wote hawajui kuwa mengi ni mpuuzi na mwizi ila anawalaghai watu kwa vitu vidogo vidogo wakati yeye anaiba mabilioni kumbe mpo baadhi ya watanzania mnamjua mengi vema nilidhani niko peke yangu.Mengi kasahau kuwa watanzania wa sasa si wale wa Zamani ambao waliokuwa wakikariri migogoro binafsi ya Mengi na Watu wake kisha wanaamua kumtetea kwa speed kubwa, Wajanja wamezinduka sasa wanajua kuwa Mengi ni Dalali wa Vitallu Gesi na Ana Chuki kubwa kwa Prof a Mhongo baada ya kumnyima Vitalu vya Gesi.