Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?

Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?

Pamoja na mengine Mengi ni mnafiki namba 1 hapa Tanzania. Na hata kama Muhongo akijiuzulu ila aliweza kuweka wazi swala la Mengi kutaka kuwa dadali wa vitalu vya Gesi.........sijawai na sitokaa kumwamini Mengi hata kidogo. Ni very opportunistic, mlalamishi as if Tanzania yote yuko yeye peke yake, kila kitu anataka apewe kisa tu ana ela basi apewe priority hata bila kuangalia uhalisia, sheria, utaratibu nk. Ni mchochezi na sijui kwa nini serikali inamchekea chekea, Rais Mkapa alimdhibiti sawasawa, ila kwa hawa wagombea ambayo washajitokeza kwa 2015 karibu wote ni wakali which means Mengi asijejaribu kuleta mchezo wake tena ifikapo 2015.

Ni kweli huyo Mzee Mengi huwa anapenda Ligi sana na Mara nyingi hutumia Mapesa kibao ili apate Ushindi, Mengi ana Mengi maovu Kama lilivyo jina lake aliwahi kukopa NBC bank kisha wakachoma nyaraka ili kuficha ushahidi hatinae NBC ilifirisika ikaja kuokolewa na Uwekezaji, Mengi anawalipa wafanyakazi wake mishahara Mibovu huku akitumia Pesa nyingi kwenye Fitina juu ya Prof Mhongo Kisa eti amemnyima asifanye Udalali vitalu vya Gesi. Huyo Mengi huanzisha jambo kisha hutengeneza mazingira ya kupata huruma za Wananchi, ampapo wengi huingia kichwa kichwa kumtetea Mengi pasipo kujua kuwa Mengi ni Dalali na Hana Uchungu na Pesa za walipa Kodi bali yeye anaangalia masilahi yake.
 
Tumesikia mara kwa mara waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo akimlaumu IPP Chairman, Dr. Reginald Mengi kuwa anang'ang'ania vitalu vya gesi na mafuta kumilikishwa kwa wazawa kwa kuwa ni dalali. Leo katika report ya PAC bungeni, Prof. Sospeter Muhongo ametajwa kama dalali kwa kuwa ndiye yeye aliyewakutanisha Harbinder Sigh Seth na James Rugemalira katika dili ya Tanesco. Dr. Mengi atasema nini kuhusu yaliyotokea?
images
images

Mengi ni Dalali wa Vitalu vya Gesi Pia ni Bingwa Mtetezi wa Fitna na Uchonganishi hapa Tz , sasa kaungana na mkono wapo busy wanapika mbinu za kumgaragaza prof Mhongo kwa kuwatumia Sendeka na Kafulila ambao wamevuna Pesa nyingi toka kwao kwa Lengo la kuwafurahisha na kutimiza lengo la kumng'oa Prof mhongo.
 
Wenye Uchungu na Pesa za Tz si Mengi wala Mkono , wenye Uchungu ni Wananchi pekee, Mengi na mkono ni madalali wenye kuangalia masilahi Yao tu kisha wanataka wananchi wawasaidie ! Na sasa wapo Wananchi hawajui kuwa Mengi ni Dalali wa Vitalu vya Gesi na kila Kiongozi aliyewahi kugusa masilahi yake hutumia mapesa lukuki kuhakikisha anaanguka.
 
Ushahidi umeungua na moto mtu anakamatwa vipi? au unadhani kina zito na kamati zao walikuwepo zamani?... Hebu nenda kalale pimbi wewe hujui ulisemalo.

Mengi Pia aliifirisi NBC Bank baada ya kukopa mapesa kibao kisha wakachoma ushahidi Bank ikafirisika ikaja kufufufuliwa na Uwekezaji, Mengi ana Mengi maovu Kama lilivyo jina lake, Mengi ni Dalali wa Vitalu vya Gesi
 
Muhongo anaweza kuwa mchafu lakini haina maana Mengi ni msafi...lazima tutofafutishe uzawa na ubinafsi.Mengi ni mbinafsi
 
Huyu Mzee ni kama Nabii Fulani, he has "powers from within", ukimtibua... safari!.


  1. Alianza na wamiliki wa DTV na CTN kuhusu haki za kuonyesha kombe la dunia, vituo vyote vimekufa.
  2. Alitibuana na Katibu Mkuu, Mambo ya Ndani, Silvanus Adel, Adel alimwaga unga wake!.
  3. Akatubuana na Gazeti la Mtanzania kutoa siri kuwa anadaiwa na mabeki, Mtanzania likafilisika hadi kuuzwa!.
  4. Akatibuana na Lowasa Mengi akiwa Mwenyekiti wa NEMCI, Lowasa akang'oka!.
  5. Alipishana kauli na Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Shamin Khan, shamim aling'olewa!
  6. Alipishana kauli na Masilingi, wakati wa "mchezo mchafu", Masilingi aling'olewa!.
  7. Alipishana kauli na Iddi Simba kwenye mambo ya Uzawa, Iddi Simba alimwagwa!.
  8. Alipishana kauli na Basil Mramba akiwa waziri wa fedha kuhusu kodi ya Jack Pot Bingo, Mramba aling'oka!.
  9. Alipishana kauli na Adam Malima, almanusura Adam, yangemkuta, Sitta akamuombea msamaha!, ndio salama yake!.
  10. Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!.
  11. Akapisha kauli na Yusuph Manji, sasa Manji anafilisiwa!.
  12. Akapishana kauli na Waziri wa Mambo ya ndani, Masha, Masha kang'olewa!.
  13. Akaja Rostam Aziz, sasa ameikimbia nchi!,
  14. Alipishana kauli na Balozi wa Uingereza kwenye kashfa ya Silvadale!, Balozi wa Uingerezwa aliondoshwa!.
  15. Alipishana kauli na wandeshaji wa Kipindi cha "Kiti Moto", Kiti Moto kilikufa!
  16. Ndipo sasa amekuja Prof. Mhongo!.

Watu wa karibu na Mhongo, mshaurini atubu na kwenda kuangukia mapema, watu wa Mungu sio wa kuchezea!.

Vinginevyo!.

Pasco.
Hivi zecomedy nao wamemalizika?
 
si unajua alileta hesabu zisizo sahihi ili kukwepa kodi. Hebu fikiri amenunu $milion ishirini yeye akaleta document za kughushi za laki tatu. Hata kwa akili ya kawaida hisa tatu zinauzwa kwa thamani ya zaidi ya $milion 70 , lakini hisa saba zinauzwa kwa fedha za Tanzania milion sita !!? Hii kesi ikienda kwenye mahakama za wenzetu wanaojua umuhimu wa kodi uwezekano wa kushinda ni zaidi ya 90% pia kuna uhalali wa manunuzi ya hisa saba.

Share hushuka na kupanda bei kutegemea mambo mengi.
Singa alinunua share 7 kutoka kwa Mechar na piper.
Mechar tayari walisha filisika na kampuni ilikua inafungwa na ilikua na zigo la madeni kuliko assets zake hivyo haikua na thamani tena .
Singa ameinunua akaweka mikakati ya kibiashara kuifufua IPTL ndio maana hisa zikapanda thamani na pia Ruge amelipwa zaidi kwa vile alikua hataki kuachia na Singa hawezi kufanya kazi nae hivyo ili kum Buy out ilibidi apewe zaidi akitowe.
Hivyo suala hili technically si lamsingi
 
Idoyo Profesa yuko sahihi kabisa kama waziri ni lazima akutane na mwekezaji.. Huyo dr wako Mengi mbona anakutana na mabalozi kwani yeye ni mtumishi wa serikali???? nini alichoongea na mabalozi hao kikatekelezeka serikalini??? Bahati mbaya humjui vizuri daktari wako huyo mengi...Mengi ana mengi .. Rejea taarifa ya Rostam Aziz tu itakutosha kujua kuwa daktari wako ni dalali hasa pale alipolilia kiwanja maeneo ya mjini akapewa akakiuza....Hivyo kwa kuhitimisha Dr mengi ni dalali

mengi sio dokta wangu kama unavyosema. namkubali tu kwa sababu ni mfanyabiashara aliyefanikiwa, na mie napenda biashara. ila sikubali hizo games anazocheza, anakera sana kulalamika hovyo. ni mtu wa kutafuta huruma na wa-tz wameshaleweshwa na huruma zake. prof muhongo namkubali kwa misimamo yake, nilifurahi aliposimamia ile deal ya ophir. sijakataa waziri kukutana na wawekezaji ofisini kwake, ila walichohoji PAC ni kwa nini afanye deal na singsinga ili hali jamaa hakuwa halali? na TRA walithibitisha hilo, mpaka sasa iptl ni hewa kwa kuwa pap ni hewa. pia sikupenda uongo aliozungumza bungeni ati hapakuwa na pesa za umma; kodi ni pesa ya mtu binafsi? TRA wamethibitisha kwamba kodi haikulipwa hasa na pap.
 
Muhongo alipaswa akiwa kama kiongozi kusikilizana vizuri kwa hoja na wawekezaji wazalendo sio kuwapiga vijembe vya kashfa
 
Ni kweli huyo Mzee Mengi huwa anapenda Ligi sana na Mara nyingi hutumia Mapesa kibao ili apate Ushindi, Mengi ana Mengi maovu Kama lilivyo jina lake aliwahi kukopa NBC bank kisha wakachoma nyaraka ili kuficha ushahidi hatinae NBC ilifirisika ikaja kuokolewa na Uwekezaji, Mengi anawalipa wafanyakazi wake mishahara Mibovu huku akitumia Pesa nyingi kwenye Fitina juu ya Prof Mhongo Kisa eti amemnyima asifanye Udalali vitalu vya Gesi. Huyo Mengi huanzisha jambo kisha hutengeneza mazingira ya kupata huruma za Wananchi, ampapo wengi huingia kichwa kichwa kumtetea Mengi pasipo kujua kuwa Mengi ni Dalali na Hana Uchungu na Pesa za walipa Kodi bali yeye anaangalia masilahi yake.
Mkuu funza mpala leo hii tarehe 30.11.2014 wafanyakazi wa Guardian hawajalipwa mishahara kwa miezi miwili mfulilizo...uko sahihi kabisa chief
 
Share hushuka na kupanda bei kutegemea mambo mengi.
Singa alinunua share 7 kutoka kwa Mechar na piper.
Mechar tayari walisha filisika na kampuni ilikua inafungwa na ilikua na zigo la madeni kuliko assets zake hivyo haikua na thamani tena .
Singa ameinunua akaweka mikakati ya kibiashara kuifufua IPTL ndio maana hisa zikapanda thamani na pia Ruge amelipwa zaidi kwa vile alikua hataki kuachia na Singa hawezi kufanya kazi nae hivyo ili kum Buy out ilibidi apewe zaidi akitowe.
Hivyo suala hili technically si lamsingi
Sina mazoea ya ubishi ingawaje mimi ni mwanasheri na kazi ya sheria ni ubishi. Nakuachia ushindi , ila huko baadae utaelewa tu.
 
Waulize kina Kitenge Mwaipaya na wenzao watakuambia yule mzee ni mtu wa aina gani.. wewe ukiishia kutazama upara wake kwenye TV tu hutamuelewa mnyonyaji yule na mwizi yule aliyeichoma moto benki kuu enzi zake

Huyo mume wa jacqueline aka baba mapacha aka reginard mengi ni miongoni mwa mafisadi wakubwa kwa mujibu wa Abdul rassul rostam aziz pia yeye na muhongo ni majambazi wakubwa wa rasili mali za nchi hii.
 
Mkuu funza mpala leo hii tarehe 30.11.2014 wafanyakazi wa Guardian hawajalipwa mishahara kwa miezi miwili mfulilizo...uko sahihi kabisa chief

Mengi kasahau kuwa watanzania wa sasa si wale wa Zamani ambao waliokuwa wakikariri migogoro binafsi ya Mengi na Watu wake kisha wanaamua kumtetea kwa speed kubwa, Wajanja wamezinduka sasa wanajua kuwa Mengi ni Dalali wa Vitallu Gesi na Ana Chuki kubwa kwa Prof a Mhongo baada ya kumnyima Vitalu vya Gesi.
 
Mengi mwizi na tapeli wa mali za watanzania.
 
Mengi kasahau kuwa watanzania wa sasa si wale wa Zamani ambao waliokuwa wakikariri migogoro binafsi ya Mengi na Watu wake kisha wanaamua kumtetea kwa speed kubwa, Wajanja wamezinduka sasa wanajua kuwa Mengi ni Dalali wa Vitallu Gesi na Ana Chuki kubwa kwa Prof a Mhongo baada ya kumnyima Vitalu vya Gesi.
Mwanzo nilikuwa nadhani watu wote hawajui kuwa mengi ni mpuuzi na mwizi ila anawalaghai watu kwa vitu vidogo vidogo wakati yeye anaiba mabilioni kumbe mpo baadhi ya watanzania mnamjua mengi vema nilidhani niko peke yangu.
 
Back
Top Bottom