profile yako hapa JF inanitatiza hata kutoa comment yangu:
venance aidan
Join Date : 19th February 2011
Posts : 2
Thanks0Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0
<br />Insu hapa sio uislamu,hiyo imetumiwa tu km propaganda ya kuwashawishi wale wasomali,insu ni mapambano ya kisiasa ndan ya ccm na mtandao wa kugombea urais 2015,watu wote ambao wametajwa hapo wanatakiwa kuuwawa ni tishio kwa nafasi ya mafisad kuchukua nch 2015,huu mtandao umeona lazima 2wapoteze watu wote wanaoonekana kuwa na ushawish,ndio maana ktk hiyo list dr slaa naye yupo,yaan wanajua km slaa atakuwa 015 hata wakipita ndani ya ccm bas slaa atawamwaga ndio maana wametengeneza mtandao wa kuwaangamiza wote.ukichek hata membe anahofiwa kugombea urais na hayupo kwenye mtandao wao ndio maana wanataka kummaliza.na kunasababu ya mashambuliz haya kuanzia songea kwa Nchimbi emanuel mbunge wa jimbo hilo,huyu jamaa yuko kwenye mtandao wa akina Rostam aziz,lowasa na jk,na jana kuna m2 muhimu nilikuwa naongea naye akaniambia jamaa wakiona wameshindwa kujisafisha bas watamuweka bwana Nchimbi et ndio awe mgomea urais kwa maslahi ya mafisad 2015.
tumejenga taifa la watu wazushi. Daktari wa phd anazusha. Alizusha mambo mengi akiwa mwenyekiti wa kamati teule ya bunge na uzushi wake unatugharimu hadi leo. Akatuaminisha kwamba richmond na dowans ni moja na kwamba zote zina mikono ya ra na el. Leo hii haya yote yamethibitika kuwa ni uongo na anafanya hivi ili kujiepusha na kitanzi cha uzushi wake.
Ni bahati tu kwamba watanzania ni wavivu wa kukumbuka, tumeshasahau na bado tunamuona mwakyembe shujaa. Mtu huyo huyo kwa sababu ya uzushi wake huo aliposikia tanesco wanataka kuinunua mitambo ya dowans akafanya press conference na kuliambia taifa ni bora nchi iwe gizani kuliko kuinunua mitambo hiyo, sasa hivi tuko gizani na kazi iliyofanywa na kamati yake imeligharimu taifa karibu shilingi bilioni 100, mitambo ipo haiwashwi kisa ni uchochezi dhidi ya nishati ya umeme uliojengwa na mwakyembe na wahuni wenzake.
Mzushi huyu akaja tena na uongo mwingine alipopata ajali ambayo hakuna shaka ilitokana na uzembe wa dereva wake, akadai kulikuwa na lori lililokuwa likitaka kuwagonga na dereva wake alipokwepa ndipo gari likaacha njia na yeye akapata ajali. Uchunguzi wa polisi ulipofanyika ikabainika kwamba wakati ajali ikitokea alikuwa amelala na wala hakuliona lori alilokuwa akilisema...hakika huyu ana phd ya uzushi.
Sasa kazusha jipya eti anataka kuuawa na akaandika barua kutoa ushahidi wa kutunga wa kuunga unga mambo na kuwataja watu na namba za magari mengi akijifanya ana mtandao unaompa taarifa za kila kinachotokea. Ana bahati tu kwamba tuna jeshi la polisi la wasanii ambalo linashindwa kumbana atoe ushahidi wa kina wa maelezo yake ambayo hakuna shaka yatathibitisha kuwa ni ya uzushi.
Anafanya hivi lili el na ra waonekane ni wauaji...ajenda yake ile ile ya kuwazushia na kuwachafua wengine kwa malengo machafu ambayo ufadhili wake unatambulika kuwa ni wa wahuni wachache walio ndani ya idara moja nyeti. Ni aibu kuwa na naibu waziri tena mwenye phd wa kiwango duni kama mwakyembe.
Uzushi wake umelifanya taifa kupiga maktaimu na kujadili hoja moja kwa miaka minne sasa, uzushi wake umeliingiza taifa gizani na sasa anatengeneza uzushi mwingine unaoweza kuligharimu jeshi la polisi, idara ya usalama wa taifa, serikali, chama chake na watanzania kwa ujumla. Mwakyembe ni mtu hatari, ni mtu wa kuogopwa kama ukoma. Huyu mtu ana pepo baya, anapaswa kuangaliwa na kuchungwa sana
<br />
<br />
Ndugu yangu una haki ya kuongea kila kitu lakini huna haki ya kumtuhumu mtu kirahisi hivi,nchimbi ni mbunge wa songea lakini ana kaa dar na toka uchaguzi umekwisha kaenda songea kwa mara ya kwanza last week.ongeeni kwa kutenda haki na si kubuni.
Mhhhhhhhhh ....Maoni mengine bwana, naona Rostam tayari amechomeka watu wake humu mtandaoni. Wanatoa maoni ukiyasoma utathani wanachangia tu huja kumbe wanalipwa !! Tutakapo wagundua, Dawa yenu ni kifo tu !!
Namshangaa huyu dr wa sheria kuogopa uchawi,binafsi siamini kama kuna uchawi,sasa msomi wa kiwango cha mwakyembe kutishwa na uchawi,ni aibu,au pengine anajitafutia umaarufu wa kisiasa,,
Hi story inashtua sana!!!! Ila nadhani ingekuwa tamu sana kama angemuacha sheikh Y**** atoe 'utabiri' wake wa kupika kwanza.....Then amshushue kwa kutumia evidence......
Sasa mbona umemsambazia habari zake?Source: Gazeti la Mtanzania ...Huwa sinunui magazeti ya RA
Waliosema hivyo kama ni kweli nadhani watakuwa wale lawyers voda fasta ambao hadi sasa ni aibu kwa the legal fraternity.Wakifungua mdomo huwa wanatema upupu na pumba.Wakiandika ndio usiseme maana ni aibu ya kudumu!
lawyers voda fasta ni wapi na inakuaje wawe aibu kwa the llegal fraternity?
Tuyaache tu kama yalivyo mpendwa