Paulo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 342
- 71
Kazi yake sio ya kustaafu. Tena alipobanwa na Kubenea kuhusu kushiriki kwake ...amechimba mkwara na kumwambia asubiri matokeo ....khee huyu mzee si alisema kastaafu mambo ya kutabiri....
Kazi yake sio ya kustaafu. Tena alipobanwa na Kubenea kuhusu kushiriki kwake ...amechimba mkwara na kumwambia asubiri matokeo ....khee huyu mzee si alisema kastaafu mambo ya kutabiri....
Amani iwe kwenu great thinkers,
Gazeti la leo la mwanahalisi nimeongozwa na kichwa cha habari cha kusikitisha kisemacho mwakyembe, Slaa, watishiwa kuuwawa. Katika habari hiyo ambapo imeambataniswa na barua ya Dr Mwakyembe kwenda jeshi la polisi akiomba ulinzi wa maisha yake, imeelezwa kuwa wapo wasomali kutoka Al shabab walioingia kupitia Kenya. Na wakenda kwa mganga aitwaye prof. majungu ambaye aliwazindika na kuwapa sharti la kuua bila kutumia silaha na wanapaswa kuanza na Mwakyembe, then Dr. Slaa. Watu hao wanaelezwa kuwa walipokua wanatoka kwa mganga walikuwa na gari yenye namba za serikali (STK) ila walipofika mafinga walipokelewa na Hilux maya ya VODACOM hadi morogoro ambapo walipokelewa na gari nyingine inayomilikiwa na kampuni ya CASPIAN. Walipofika dar walipokelewa na gari ya polisi na walikaa kwenye apartment iliyo ghorofani ambapo chini yake kuna msikiti wa WAARABU unaoitwa MALKAZI ulioko ilala. Hawa watu baadaye walitembelewa na Fred Lowassa na aliwapelekea mbuzi watatu, then wakaelekea dodoma ambapo walipokelewa na afisa mkuu wa polisi wakabebwa na gari ya polisi ambapo Mwakyembe ameonesha ushahidi kuwa walikagua nyumba yake ambayo amepewa na serikali kwa ajili ya kuishi atakapokuwa dodoma bungeni mwez April. Pia mwakyembe ametaja wengine walio wenye list ya kuuwawa kuwa ni Reginald Mengi, Anna Kilango, Bernad membe. Pia Shekh Yahya ameshutumiwa /ametajwa kuwa huenda alishirikiana na hao wanaopanga mpango na Kubenea akalazimika kumuuliza kuhusu ushirika wake lkn alisema …subiri matokeo kwani kuna vigogo watakufa…
Je Great thinkers mnaonaje njama hizi?
Mkuu nakubaliana na ww lkn hapa tumeunganisha dots....mafinga hawa al shabaab walipokelewa na gari ya VODACOM, afu MOROGORO walipokelewa na gari ya CASPIAN ambako kote huko mh RA anahisa. Pili hawa Fred Lowassa aliwwapelekea mbuzi na pia RA na EL ni marafiki wakufa kuzikana, na nne EL ameanza kupasha kwa ajili ya urais 2015......unganisha nukta mkuu...
Heshima mbele. Lakini kichwa cha thread yako hakiendani na kile kilichoko gazetini. Mwanahalisi halitaji Caspian wala Rostam katika headline ya gazeti isipokuwa ndani tu kuna habari kwamba gari moja linalomilikiwa na Caspian lilihusika katika kubeba watu fulani katika njama hizo.
.
Pia Mwakyembe anadai kuwa hawa alshabaab walikwenda kuzindikwa kwa mganga anayeishi ndani ya Selous game reserve. Kama ujuavyo kwenye game reserve you are not allowed to live in there unless for a special purpose. Sasa huyu mganga anaishi humo kwa ruhusa ya nani? Mimi nashawishika kuamini kuwa huyu mganga amefichwa huko na vigogo kwwa ajili yao tu.
khee huyu mzee si alisema kastaafu mambo ya kutabiri....
Pia Mwakyembe anadai kuwa hawa alshabaab walikwenda kuzindikwa kwa mganga anayeishi ndani ya Selous game reserve. Kama ujuavyo kwenye game reserve you are not allowed to live in there unless for a special purpose. Sasa huyu mganga anaishi humo kwa ruhusa ya nani? Mimi nashawishika kuamini kuwa huyu mganga amefichwa huko na vigogo kwwa ajili yao tu.
Habari nzima imenukuliwa toka gazeti MTANZANIA
Maoni ya wanasiasa na wasomi
Baadhi ya wasomi na wanasiasa mbalimbali waliohojiwa na MTANZANIA wameshangazwa na taarifa hii ya Dk. Mwakyembe, hasa kwa msomi kama yeye kuamini masuala ya uchawi.
"Ninachoweza kumshauri kaka yangu (Mwakyembe) ni kuchapa kazi zake alizopewa za ubunge na uwaziri, akiingiza masuala ya kuamini ushirikina atakuwa anapoteza sifa yake ya usomi," alisema mmoja wa wahadhiri.
Dk. Mwakyembe anatambulika katika Jeshi la Polisi kama mmoja wa viongozi wanaotoa maelezo yenye utata kuhusu usalama wao.
Ameibua suala hili huku kukiwa bado na kumbukumbu za yeye kupata ajali mkoani Iringa na kudai kwamba lori lililohusika lilikuwa limepangwa kumtoa uhai.
Hata hivyo, Polisi walifanya uchunguzi na kubaini kuwa chanzo cha ajali hiyo kilikuwa ni uzembe na mwendo kasi wa dereva wa Dk. Mwakyembe.
If this is a true story then it is now obvious: It is ISLAM vs CHRISTIANITY. Ni dhahiri sasa UDINI hatimaye umeingia rasmi Tanzania. Tumekwisha! CCM na makuwadi wake wameuza nchi rasmi. Haiwezekani walengwa wote wa kuuwawa ni wa dini fulani tu na watuhumiwa ni watu wa mipango yote ni watu wa karibu na chama tawala.
Hivi kama hiyo story ni kweli sasa wahusika wanaogopa nini? Kwani polisi inaweza linda evil spirit? I cant read you! Yaani watu wenyewe ni wakristo then eti ushirikina ndo unaodaiwa utawadhuru na kichekesho zaidi eti wanaomba ulinzi wa polisi...something is wrong somewhere! Hivi basi hata kama hatuna imani na Mungu basi shule zitusaidie jamani.....Its now becoming too much for people of this country na imani za kusadikika za stone age; mbona tuko kwenye era ya maendeleo ya juu sana ya dot.com au ndo wenzetu wamesha ipita hiyo stage na kufikia spirituality level?
Mwakyembe wewe mwenywe ni mchawi pia, umetaka kuua wangapi , kuhofia ubunge utaukosa?