Namshangaa huyu dr wa sheria kuogopa uchawi,binafsi siamini kama kuna uchawi,sasa msomi wa kiwango cha mwakyembe kutishwa na uchawi,ni aibu,au pengine anajitafutia umaarufu wa kisiasa,,
Nafikiri amesema kuwa haogopi kufa kwa kuwa ipo siku atakufa,bali anapenda kuona mustakabali mzuri wa nchi hii.Angalia hicho kikundi cha al shaabab ni hatari kwa kuua na hakitumii uchawi.
Wewe na hao wasomi mwache kujifanya hamuoni point hapa.Namshangaa huyu dr wa sheria kuogopa uchawi,binafsi siamini kama kuna uchawi,sasa msomi wa kiwango cha mwakyembe kutishwa na uchawi,ni aibu,au pengine anajitafutia umaarufu wa kisiasa,,
Namshangaa huyu dr wa sheria kuogopa uchawi,binafsi siamini kama kuna uchawi,sasa msomi wa kiwango cha mwakyembe kutishwa na uchawi,ni aibu,au pengine anajitafutia umaarufu wa kisiasa,,
Pamoja na habari hii kuibua maswali mengi lakini jinsi gazeti lilivyoandika (kishabiki na kutoa opinion) inaonekana gazeti hilo ama linataka suala hilo lipuuzwe au wanatekeleza mawazo ya kiza. Kwanza Mwakyembe katuma taarifa hiyo kwa IGP hao wa gazeti wameipataje?Labda swali hili si la maana. Je, baada ya kupata habari kubwa kama hiyo wameiframe vipi-mtazamo wangu kuna something fishy hata ktk gazeti lenyewe lililoandika.
Nikisoma taarifa kama hizi,huwa natamani,ingewezekana Mwalimu angelifufuka hata kesho
Namshangaa huyu dr wa sheria kuogopa uchawi,binafsi siamini kama kuna uchawi,sasa msomi wa kiwango cha mwakyembe kutishwa na uchawi,ni aibu,au pengine anajitafutia umaarufu wa kisiasa,,
Mimi nimechoshwa na usanii wa Mwakyembe, kuna wanafunzi wake leo wanasema wanaona aibu kwamba walifundishwa na Mwakyembe, he is a shame to the profession. Halfu na sisi tunaingia kwenye mkumbo wa kila kitu kusema ni mafisadi. Tukumbuke tu juzi kwenye ajali yake iringa, maelezo yake yalipishana na upelelezi wa polisi, wakati yeye akidai aliona ajali yote, uchunguzi wa kitaalamu ukasema alikuwa amelala. Mimi nimechoka na Mwakyembe, sasa hivi anataka kusema JESHI LA POLISI linataka kumuua kwa nguvu za giza??? Hivi ni msomi huyu kweli?? Kwanini wasimpige risasi wakamtungua?? And why now?? Kuna sababu gani ya mtu yoyote kutaka kumuua Mwakyembe leo?? Siasa yake ndiyo imefika mwisho hapo, hata atudanganye vipi tena, hatudangayiki.
Anawatuhumu jeshi la polisi, usalama wa taifa, na waganga wa kienyeji
Source: Gazeti la Mtanzania katika Mapitio ya magazeti Magic FM (Huwa sinunui magazeti ya RA)
Ah! nayeye amezidi kimbelembele
Mimi nimechoshwa na usanii wa Mwakyembe, kuna wanafunzi wake leo wanasema wanaona aibu kwamba walifundishwa na Mwakyembe, he is a shame to the profession. Halfu na sisi tunaingia kwenye mkumbo wa kila kitu kusema ni mafisadi. Tukumbuke tu juzi kwenye ajali yake iringa, maelezo yake yalipishana na upelelezi wa polisi, wakati yeye akidai aliona ajali yote, uchunguzi wa kitaalamu ukasema alikuwa amelala. Mimi nimechoka na Mwakyembe, sasa hivi anataka kusema JESHI LA POLISI linataka kumuua kwa nguvu za giza??? Hivi ni msomi huyu kweli?? Kwanini wasimpige risasi wakamtungua?? And why now?? Kuna sababu gani ya mtu yoyote kutaka kumuua Mwakyembe leo?? Siasa yake ndiyo imefika mwisho hapo, hata atudanganye vipi tena, hatudangayiki.