Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 314
Kauli ya Lema tafadhali na hili anasemaje? nani aliyetoa maelekezo ya kutenguliwa ubunge wa KAFUMU?
Aisee aliyeahidi kunywa sumu sio Mwigulu, ni Lusinde. Mwigulu yeye ana kesi nyingine tu ya kulipa fidia kwa kulala na mke wa ustadh (bila shaka katika kulala alimvua hijab !!)
hukumu ya igunga leo..kashinje vs kafumu,
....kwakweli mpaka sasa hivi mbunge wa ccm ameshindwa kumleta shahidi ambaye angetoa taswira njema kwa ushindi wa kafumu.
Kwani bwana magufuli, ambaye yeye ametajwa kwenye kesi mara kadhaa; kwamba alikuwa akitoa ahadi ambazo alikuwa akitoa mbele ya jukwaa.. Kwa hali hiyo mgombea wa chadema anasema alikuwa anatoa kama nani? Waziri au mpiga debe wa ccm?
Kwakweli kesi imekaa patamu sana...kama haki ikitendeka ...basi jimbo tutalajie kuwa wazi katika hukumu ya leo..!!!
=======
updates
=======
magari ya polisi, gari la maji washa, naona ndo yanawasili hapa mahakamani, ila bado hatujaingia ndani ya ukumbi wa mahakama, pia watu bado si wengi sana.
- mahakama imemvua ubunge dr. Kafumu!
Mwigulu Nchemba anatakiwa avikwe bendera ya CCM halafu atembee kama mbwa..
Nadhan kuna mtu anaitwa FISICHAWNE ndo alisema atakunywa sumu.
View attachment 62554
mbona unacheka kama unataka kulia?
Mkuu Huyo FISICHAWENE ndo nani tena
yuko kuzimu akiahangaika na laana za watanzaniaDaaaaah huyu jamaa cjui yuko wapi Yuko kuzimu
![]()
Siku zote haki huwa haipotei na hususani unapomshirikisha mungu katika mambo yako,hii yote imesababishwa na kiburi na ujeuli wa Magufuli na kwa hili CCM na hasa Kafumu wana kila sababu ya kumuona Magufuli ni msaliti katika kesi hii. Lakini kwetu sisi ni sherehe kwa kwenda mbele peeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeepooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz HUU WIMBO MZURI SANA ANAPOIMBA MWIBA NA REJAO
Nilitabiri haya tarehe 31 March 2012!
Mbunge wa Igunga aliyeingia kwa uchaguzi mdogo uliofanyika mwaka jana Dr. Dalaly Kafumu imeelezwa kuwa amekalia kuti kavu baada ya makamanda kadhaa wa Chadema kufungua kesi ya kupinga ushindi wake. Imeelezwa kwamba kilichopelekea kufungua kesi hiyo ni ukiukwaji mkubwa wa kanuni za uchaguzi ikiwemo waziri wa ujenzi (Magufuli) kutumia ofisi ya serikali kisiasa kwa kuahidi kujenga barabara na daraja kushawishi achaguliwe Dalaly, Kada wa ccm (Rage) kutishia kwa bastola na polisi kutochukua hatua zozote, Daftari la wapiga kura kuchakachuliwa na kuonesha kwamba zaidi ya makada 2000 wa cdm kuonekana wamefariki huku wakiwa hai na wenye afya njema (baadhi yao ndo hao waliofungua kesi).
Source: High Court Registry Tabora.
www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/242188-dalaly-kafumu-amekalia-kuti-kavu-igunga.html
Matamshi atoe maghufuli. Bastola abebe Rage. Halafu Jaji abatilishe matokeo ya Kafumu. Kodi zetu ziteketee tena! Acheni hizo.
There are currently 3153 users browsing this thread. (569 members and 2584 guests)
There are currently 3102 users browsing this thread. (564 members and 2538 guests). Wageni jiandikisheni ili mfaidi uhondo. It is less than 5 minutes register for free.
There are currently 2618 users browsing this thread. (543 members and 2075 guests)
There are currently 2690 users browsing this thread. (546 members and 2144 guests). Haswa JF ni jumba la habari. Wageni tunaomba mjiunge sasa ili mfaidi mengi mno ikiwa ni pamoja na kutoa mchango wa mawazo yako hapa jamvini. We love you visitors.
There are currently 2617 users browsing this thread. (538 members and 2079 guests) Ni idadi kubwa sana wanafuatilia hukumu hii
There are currently 2622 users browsing this thread. (543 members and 2079 guests)
There are currently 2293 users browsing this thread. (496 members and 1797 guests)
Nahisi hii ni REKODI
![]()
Angalia leo alivyo na huzuni utadhani ni kweli,kumbe magumashi ya mnyilamba
punga ndio laana ya umaskini kwa Tanzania plus kanga na chumvi![]()
Team ya Kamfumu Igunga iliwaza vema sana ambao ni Mwigulu, Lusinde, mkapa, Magufuli, Easter Bulaya, na kubwa jinga Tyson