Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Maamuzi ya mahakama yaheshimiwe, asiyeridhika akate rufaa.
Uongozi wa sheria ndio msingi wa utawala bora unaozaa maendeleo...
 
Edison, hebu nithibitishie kama Rage naye alijumuishwa kwenye hii kesi
 
igunga jimbo wazi.tunashukuru Muumba wa mbingu na nchi kwa ktujalia kuwa na mahakimu wachace wenye welevu na hofu ya jina lako
 
Ni vizuri haki inapotendeka. Cjui kipengele gani wametengua ushindi wake! Tena jamaa majuzi juzi aligawa msaada wa vifaa vya hospital. Maskini we!!
 
Sasa Magufuli atakoma kuahidi madaraja kwenye kampeni za wengine!
 
Atajutaaaaaaaaaa. Anatamani angeendelea kubaki kuwa kamishna wa madini, but it's too late.
 
Mimi nimeamini taarifa hii baada ya kuona katika star tv wakithibitisha kafumu kufumuliwa
 
Ally Kanah ni kweli eroo ngoja tusikie kauli ya Lema ili tujue na hili ni nani aliyetoa maelekezo kwa KAFUMU kuvuliwa UBUNGE
 
Last edited by a moderator:
Ni vizuri haki inapotendeka. Cjui kipengele gani wametengua ushindi wake! Tena jamaa majuzi juzi aligawa msaada wa vifaa vya hospital. Maskini we!!

daraja na mahindi ya msaada...yamewaponza kwa sana ccm
 
Siku zote haki huwa haipotei na hususani unapomshirikisha mungu katika mambo yako,hii yote imesababishwa na kiburi na ujeuli wa Magufuli na kwa hili CCM na hasa Kafumu wana kila sababu ya kumuona Magufuli ni msaliti katika kesi hii. Lakini kwetu sisi ni sherehe kwa kwenda mbele peeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeepooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz ????????????????? POWERRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRRR
 
ccm wajifunze kufanya kampeni kwa ustaraabu kwa kushawishi watu kwa sera na ahadi za kuaminika na siyo kuwatumia mawaziri ambao wao ni viongozi wa watanzana wote
 
mbona kimya jamani? sioni kitu cha maana hapa jamvini ni porojo tu tumeni update
 
Stupid! Kichwa cha habari nilidhani kimemaliza mambo kumbe upuuzi unawapa watu heart attack

Mbona unajitusi mwenyewe tena mkuu??? Sasa hapo stupid ni nani kama sio wewe mwenyewe??? **** Soma update Wacha kuwa mvivu wa kusoma na badala yake unadandia gari kwa mbele na comment hewa yako unaambiwa CDM imeshinda kesi full stop Kama huamini fungulia mkulima wako utasikia
 
Back
Top Bottom