Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Daraja la MBUTU mpaka leo halijajengwa! Wakati wa kampeni za Arumeru Mashariki waliamua kutafuta Mkandarasi, wakamsaundisha ili ionekane kuwa amechukua kazi na angeanza kujenga!
Picha nyingi zikapigwa na Waandishi wa habari wakafanya kazi yao...kumbe ni KAPUTI.
UWONGO HAUDUMU!

Kandarasi ya daraja la mbutu walipewa wakandarasi wazawa (group of companies 10 plus)
Mmoja wao nilimuuzia machine ya kufanyia kazi lakini hadi sasa ameshindwa kuichukua kwa kushindwa kufanya down payment, Magufuli bado hajasomeka!
Sidhani kama sasa litajengwa baada ya hiki kichapo cha mahakama kuu.
 
Aiseee baba yangu ngoja nikaangalie ltv nimsikilize nape atasemaje

ngoja nikajipongeze na mbege
 
Kandarasi ya daraja la mbutu walipewa wakandarasi wazawa (group of companies 10 plus)
Mmoja wao nilimuuzia machine ya kufanyia kazi lakini hadi sasa ameshindwa kuichukua kwa kushindwa kufanya down payment, Magufuli bado hajasomeka!
Sidhani kama sasa litajengwa baada ya hiki kichapo cha mahakama kuu.


kaka hao wakandarasi walikwenda pale kwenye daraja na kukaa pale kwa siku 3 na hawakuwa wote walifika pale watatu tu...sababu kubwa ya kwenda pale ni kwamba kule arumeru mashariki kulikuwa na kampeni.sasa magufuli aliwapeleka pwale jamaa hapo darajanina kuanza kuchimba kisha yeye kwenda arumeru na kusema ahadi ya daraja la mbutu imetekelezwa nakamba wakandarasi wazalendo wapo sight...ili wawahadae wana arumeru wakipe kura ccm.......baada ya kauli hiyo na magufuli kuondoka arumeru wale wakandarasi nao waliondoka kule mbutu.......na ndio maana hujalipwa mashine yako kaka....
 
ni kumshukuru mungu kwamba amesimama mwenyewe na haki imepatikana igunga ccm wameangukuia pua poleni sasa sijui kwa haya nape nauye atasemaje.daima ppls powerrrrrrrrrrrrrrr

Mungu gani huyo wa kuhangaika na waongo waitwao wanasiasa na fitina zao na aache kuhangaika na kuwatauta wanadamu waliopotea dhambini?. Labda mungu kama ulivyoandika na sio Mungu aliye hai.
 
masikini kafumu ameacha kazi yake kakimbilia hela za fastafasta sasa kakosa yote......
 
kazi kwelikweli,igunga wasubiri tena mabomu ya machozi punde kampeni zitakapoanza.
 
Mkuu Tumbiri, PhD. Ni wakati sasa umefika walioko madarakani wajue kuwa watanzania wa leo jioni si wale wa jana asubuhi. Saa ya mabadiliko, yaja. Saa ya ukombozi na matumaini yaja. Tumenyonywa vya kutosha kupitia wachache waliovunja Azimio la Arusha na kuleta la kwao la Zanzibar ambalo limeleta madaraja ya watu Tanzania. Maskini wa kutupwa (kwa sasa 67.9% wanaishi below 1.25 a dollar per day, in average maana wening hata dola robo hawana kwa siku as per the Poverty and Human Development Report, 2011) na wachache wananeema ambao like 0.001% na waliobaki hawaeleweki middle income or what? It is done, and changes must!!

Ni kweli kabisa Kamanda. Hukumu ya leo inatupa tafsiri moja kuu: 'CCM Wamezoe kuharibu chaguzi kwa kutegemea mahakama zitawabeba. Sasa ni dhahiri Mahakama nazo zimechoka kuwabeba kwa sababu hawabebeki''

TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),

tumbiri@jamiiforums.com
 
Kafumu ataendelea kuiota nafsi yake ya ukamishina wa madini.Tamaa ya kutaka k kuwa MP ili ateuliwe kuwa waziri wa nishati na madini ndo imemlet down .
 
Asubiri uteuzi wa ubalozi kama ilivyokuwa kwa akina Batilda Burhani, Dr Kamala, Phillipo Marmo etc au asubiri uteuzi wa wakuu wa mikoa mipya anaweza kukumbukwa kama akina Mwatumu Mahiza, Joel Bendera etc.
 
hawezi rigi huyu, mwepesi mno,kazoea kuiba akiwa amekaa ofisi.ye mwenyewe kajiona kapya bungeni akijilinganisha na akina mnyika,zitto,lisu na wengine majembe kama hayo.
 
Haya tamaa zake zimemponza alikuwa kwenye position nzuri akataka aongeze nyingine, badala yake amezikosa zote
aje uku nimbuluze atabeba mabegi ya vifaa mpaka apinde mgongo uku tunakwenda pori kwa pori
 
mtu mdogo sana kwetu huyo,igunga,arusha na sumbawanga yote majimbo yetu sasa tukomae ili 2015 tufanye mambo.peoples.................................////////////////////////////////.
 
Cdhani km atagombea tena kwa kauli zake,nilimsikia akisema siyo mbunge na ataendelea na shughuli zake za utafiti wa madini,hakuongelea km atakata rufaa,nadhan kakubali yote!
 
Haya tamaa zake zimemponza alikuwa kwenye position nzuri akataka aongeze nyingine, badala yake amezikosa zote
aje uku nimbuluze atabeba mabegi ya vifaa mpaka apinde mgongo uku tunakwenda pori kwa pori
wapi huko mkuu? Hahhahahaa
 
Back
Top Bottom