Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Another bilion 20 zinaenda kuteketea tena Igunga. nadhani tubadili katiba sasa mtu akivuliwa ubunge basi anayemfuatia kwa kura nyingi ndo achukue ubunge

Just imagine hizi pesa za chaguzi ndogo tungewekeza pale Muhimbili.

Maana hapa tunasubiri Arusha napo.
 
wana ccm walivyo mazoba na majinga yatampokea kwa shangwe akirudi igunga. sasa na nafasi aliishaiachia serikalini itabidi awe mwenyekiti wa serikali ya mtaa

kwiwkwi!!!? Au wale mabalozi wa nyumba 10
 
Nimefrahi,hapo haki imetendeka hata kama uchaguzi umefanyika jana..hongera prof.safari,kashindye...peopleeeees
 
Werawera wakuu acha nipate walau ndovu mbili hapa fair way tegeta maana ni raha tu
 
Hivi yule ustaadh aliyemegewa mkewe na Mwigulu Nchemba alilipwa fidia yake yote ya milioni 4?
 
Hayo yanyotokea igunga ni kiashirio cha kutojipanga kwa tume ya uchaguzi
nawasilisha
 
There are currently 2617 users browsing this thread. (538 members and 2079 guests).......ni idadi kubwa sana wanafuatilia hukumu hii


There are currently 2690 users browsing this thread. (546 members and 2144 guests). Haswa JF ni jumba la habari. Wageni tunaomba mjiunge sasa ili mfaidi mengi mno ikiwa ni pamoja na kutoa mchango wa mawazo yako hapa jamvini. We love you visitors.
 
MAANDALIZI_YA_CHAKULA%2B%25281%2529.JPG


Team ya Kamfumu Igunga iliwaza vema sana ambao ni Mwigulu, Lusinde, mkapa, Magufuli, Easter Bulaya, na kubwa jinga Tyson
 
Aibu yao,safi mh.kashindye kwa kuwakazia hawa wezi wa khaki yetu.
 
sasa tujiandae kwa mabilion ya walipa kodi yakatumike kwenye kampeni, au atakata rufaa ili kusiwe na mbunge kwa mda uliobaki?
 
MAANDALIZI_YA_CHAKULA%2B%25281%2529.JPG


Team ya Kamfumu Igunga iliwaza vema sana ambao ni Mwigulu, Lusinde, mkapa, Magufuli, Easter Bulaya, na kubwa jinga Tyson

Mkuu kama unaweza kumtumia Wassira anayesinzia bungeni kila siku na Lusinde jumba la matusi unategemea kitu gani kama si aibu? Mzee wa masifa Magufuli si anajulikana kwa mbwembwe?? Leo wamevuna walichopanda!!! Wasubiri 2015.
 
Nakumbuka sana mh. Nape Nnauye ndo alikuwa wa kwanza kuja kuzomea Chadema hapa jf, tunataka aje atoe msimamo wake hapa tena baada ya hukumu hii. Kwa kweli siku ile alitumia maneno ambayo hakustahili kuyatumia kwa nafasi yake. Ningefurahi akija tena leo tumsikie mh sana.
 
Back
Top Bottom