Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Kweli kabisa!

Hivi Nape ana taharifa ya hukumu ya leo?

Huenda jaji ametoa hukumu kwa "jazba" baada ya fito za Advocate T.L.
Hasira nyingine ni neema kwa yule unayemhasiri!
 

Vipi Gordons itakuwepo ?.Siku hizi nimehamia XL Pub mitaa ya Stadium unapata kinywaji na wakati huo huo unafaidi mpira bila chenga.

Haya ni maendeleo makubwa.............. Ngongo umehama chama lini mpaka usherehekee ushindi wa CDM??
 
CCM UMETUNYONYA SANA! :baby::baby::baby:CCM! BYE! BYE! CCM BURIANI!:A S 103::A S 103::A S 103:CCM UNA MIMBA YA CHADEMA! HAHAHAHAHA!:mimba::mimba::mimba::mimba: CHADEMA MAMBO MDUNDO! :A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up: WAPI MAKAPA, MWIGULO, WASIRO! NK! AIBU!!!!!!!!:behindsofa::behindsofa: TUNATAKA JIMBO LETU:focus::focus::focus: CHADEMA! HOYEEEEEEE!:israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel::israel: CCM! MOTO WAWAKA :flame::flame::flame::flame::flame:NA NA SISI MASELA WA CHADEMA, YETU ni KAMA UNAVYOONA! DEBE TU! :msela::msela::msela::msela:
CHADEMA NI MFALME! :A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1:CCM! AIBU! JAMANI AIBU! :A S 109::A S 109::A S 109::A S 109: BLA BLA BLA BLA BLA BLA BLA! NDANI YA CCM! NA BADO TU, TUKUTANE 2015 :blabla::blabla::blabla::blabla:
 
Nadhani wana bodi Mnakumbuka huyu Bwe.ge alivyojiapiza kuwa CDM ikishinda IGUNGA anakunywa SUMU.
Na tumuone sasa anywe Pambaf zake
 
582745_216154375178049_1024228075_n[1].jpg
mbona unacheka kama unataka kulia?
 
Aisee aliyeahidi kunywa sumu sio Mwigulu, ni Lusinde. Mwigulu yeye ana kesi nyingine tu ya kulipa fidia kwa kulala na mke wa ustadh (bila shaka katika kulala alimvua hijab !!)
 
HAKI IKO WAPI?
ikiwa HUKUMU ya kuhukumu juu ya TUHUMA zilizotolewa na CHADEMA kwamba UCHAGUZI MDOGO WA IGUNGA haukuwa HURU na wa HAKI hiyo hukumu si HUKUMU HURU na ya HAKI.
yaani kabla ya HUKUMU imeshajulikana nani atashinda KESI kwani HAKIMU alionyesha wazi yuko upande wa CHADEMA na ilikuwa haihitaji degree kuliona hilo na jambo la kushangaza zaid kuna muda HAKIMU aliigeuza MAHAKAMA kuwa jukwaa la KISIASA pale alipoanza KUHUTUBIA MAHAKAMANI mpaka baadhi ya wasikilizaji kumpigia MAKOFI pia alipokuwa akitumia KAULI ya kusema mimi naona na sio SHERIA inasemaje juu ya MALALAMIKO yote 16 lakini jambo lingine la kushangaza kabisa ni kwamba katika jumla ya MALALAMIKO ya CHADEMA 16 ni malalamiko 5 tu yaliyotolewa USHAHIDI na HAKIMU akaukubali kwamba USHAHIDI una nguvu MALALAMIKO 11 yote hakukubal... i USHAHIDI uliotolewa na upande wa WALALAMIKAJI, CHADEMA.
Hayo matano ni mengi sana. Hata lalamiko moja tu kati ya 100 au zaidi linaweza kumtia mtu hatiani. Waweza kuta hilo moja lina uzito wa tani 5 wakati hayo yaliyobaki hayafiki hata kilo moja yote kwa pamoja.
 
Halafu nyie mliokalia kuandika "there are currently ......users browsing this thread..........", kama hamna cha kuchangia si dhambi mkawa watazamaji tu.
 
Je lile daraja alilowalaghai magufuli lilikwishajengwa?
Daraja la MBUTU mpaka leo halijajengwa! Wakati wa kampeni za Arumeru Mashariki waliamua kutafuta Mkandarasi, wakamsaundisha ili ionekane kuwa amechukua kazi na angeanza kujenga!
Picha nyingi zikapigwa na Waandishi wa habari wakafanya kazi yao...kumbe ni KAPUTI.
UWONGO HAUDUMU!
 
Back
Top Bottom