Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Daaaaah huyu jamaa cjui yuko wapi

images
 
hizo sio tetesi mkubwa jaribu pitia michuzi au kuba thread humu inaelezea hiyo kitu
 
:A S cry:
anatia huruma sana jamaa hadi anasema 'mi narudi kwenye utaalam wangu wa mambo ya madini'..hadi huruma aisee yaani jamaa sio politician kabisa kwani anajiumauma tu..teh teh

Du hivi ile nafasi yake iko bado? Ninachofahamu kisheria za kazi za ajira serikalini ukishapitishwa kugombea nafasi ya kisiasa unaacha kazi!! Labda arudi kuchimba madini ya vitalu alivyojimegea? But mtaji unao? Ha ha ha Dr. mzima utabaki kuwa dalali wa madini, nakuapia!!! Iwe fundisho kwa wale wenye uchu wa madaraka kuwa siasa zina wenyewe. Ninakushauri Dr. wala usithubutu kukata rufaa kabisa maana huko ndiko utaaibika zaidi na utatumia fedha nyingi ambazo kwa umri uliokuwa nao si rahisi kuzipata tena. Poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee but heshimi People,s powaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
Daaaaah huyu jamaa cjui yuko wapi

images

Anakula bata kwa his Excellency Mwai Kibaki. Ameshapenyeza hadi stake kama alivyofanya kwa Tanzania!!! Nafikiri na investments anaelekeza Kenya zaidi. Hapa alikuwa ni mrija wa ofisi za kupatia hela kwa shamba la bibi.
 
sidhani hii hukumu kama ipo sahihi

..AIBU KUONESHA UDHAIFU WAKO KAMA JK!
Kama vipi .... nipotezee
Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯



Ya Allah protect us from the whispers/tactics of shaythan... In'Sha'Allah Ameen
Don't Judge me until you really get to know me, until then you have no reason to hate me, and if you don't like me after you meet me the issues you have are your own, and you should get help for that, really you should


 
Wabongo bana ona walivyojaa hapa, na kwenye kupiga kura mngekuwa mna juhudi hizi ingekuwa powa sana.

There are currently 1886 users browsing this thread. (436 members and 1450 guests)


There are currently 2622 users browsing this thread. (543 members and 2079 guests)
 
There are currently 2617 users browsing this thread. (538 members and 2079 guests).......ni idadi kubwa sana wanafuatilia hukumu hii
 
Balaaaaaaaa CCM......Mganga wa awamu ya nne lazima aundiwe tume na apishe wenzake.Aking'ang'ania tu,CCM itashika nafasi ya CUF bungeni na CUF ya Chadema na Chadema Chama tawala 2015.
 
Walikwisha ambiwa na Makamba Sernior kwamba, Magamba "...yaliyoshindwa yakate rufaa..." utamuona aliyefumuliwa na yeye anakwenda kukata rufaa!
 
kuna watu ni wabunge tangu mimi sijazaliwa, mpaka sasa wao tuuuuuuuuuuuuuuuuuu. kwani hakuna wengine? Jimbo nililotoka mimi karibu kila uchaguzi anatoka mbunge mwingine ingawa ni wa chama hicho hicho[/Q
Makinda, et al
 
Kashavuliwa ubunge as per radio one breaknews. Alipoanza kumkataa Judge wenye macho tukajua maana yake nini. Ila tamaa za kisiasa mbaya sana. Dr. Kafumu (PhD) Commissioner wa nishati na madini anaenda kugombea ubunge. What a shame. Kwa wanaofanya kazi serikalini wanajua who is a commissioner. Very senior fellow

Very good!! You pinned it! Yaani kweli kwa heshima ile ya ukamishina tena ni adimu halafu anadanganywa na siasa? Atajilaumu maisha yake yote, kajifumua mwenyewe na kazi hana tena. Na wa kumbeba hakuna maana mwisho waja soooooooon.
 
Back
Top Bottom