Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeesssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
 
Uwepo wa magari ya washawasha na askari wengi inanikumbusha ile kesi ya Zombe maana walijua fika kuwa walimpendelea na wananchi hawakuwa tayari. Imagine niliona hata askari wa magereza ninao wafahamu walikuwa wamevaliwa kiraia na kanzu kabisa nikajua tu hapa anatoka na kweli akatoka. Sasa hii ya Igunga leo na ulinzi wote huo sitashangaa nikayasikia kama niliyoshuhudia kwa muuaji Zombe.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
chaguzi ndogo ni mzigo kwa taifa hili masikini. Laiti kama ushindi kwa chadema ungemaanisha kupewa ubunge huu. Vinginevyo kafumu aendelee tu ili kuepuka gharama hizi za kisiasa.

hizo ndo gharama za demokrasia mkuu, 4our information hatuna muwakilishi mahakamani hii ajabu mda huu hukumu lzm ishasomwa na kuisha walahi, cdm tmetoka kwel salama na ukimya huu?
 
peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeesssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss

kimeelewekaaaaaaaa
 
nyererelism bado unawatesa waislam kwa kuwaanzishia bakwata. Waislam waliamini akija kikwete atauvunja mfumo wa nyerere ulioasisiwa kwa manufaa ya kanisa. Lkn bado akina nape wameapa kufa nao. Bora wanaona chama chao kife lkn nyererelisim against islam uwepo. LEO TUNAOMBA CCM IANGUKIE PUA MAHAKAMANI
 
Matamshi atoe maghufuli. Bastola abebe Rage. Halafu Jaji abatilishe matokeo ya Kafumu. Kodi zetu ziteketee tena! Acheni hizo.
 
hukumu ya igunga leo..kashinje vs kafumu,


....kwakweli mpaka sasa hivi mbunge wa ccm ameshindwa kumleta shahidi ambaye angetoa taswira njema kwa ushindi wa kafumu.
Kwani bwana magufuli, ambaye yeye ametajwa kwenye kesi mara kadhaa; kwamba alikuwa akitoa ahadi ambazo alikuwa akitoa
mbele ya jukwaa..kwa hali hiyo mgombea wa chadema anasema alikuwa anatoa kama nani? Waziri au mpiga debe wa ccm?

Kwakweli kesi imekaa patamu sana...kama haki ikitendeka ...basi jimbo tutalajie kuwa wazi katika hukumu ya leo..!!!



Updates
magari ya polisi, gari la maji washa, naona ndo yanawasili hapa mahakamani, ila bado hatujaingia ndani ya ukumbi wa mahakama, pia watu bado si wengi sana.

tupetupe mwana...............hivi nyakati hizi yule msukuma rostamu yuko wapi au kaenda kwa babu zake wasukuma wanaoishi uarabuni?
 
Mungu asaidie yasijitokeze mambo ya jimbo la segerea DSM kwa makongoro Mahanga.
 
nyererelism bado unawatesa waislam kwa kuwaanzishia bakwata. Waislam waliamini akija kikwete atauvunja mfumo wa nyerere ulioasisiwa kwa manufaa ya kanisa. Lkn bado akina nape wameapa kufa nao. Bora wanaona chama chao kife lkn nyererelisim against islam uwepo. LEO TUNAOMBA CCM IANGUKIE PUA MAHAKAMANI
This is a bit strange for a reason, dot you think?
 
Matamshi atoe maghufuli. Bastola abebe Rage. Halafu Jaji abatilishe matokeo ya Kafumu. Kodi zetu ziteketee tena! Acheni hizo.
Mkuu, point yako inamnyang'anya mtu haki yake......haiwezi kukubalika.
 
Back
Top Bottom