Possibly!...cdm wamesawazisha kabla ya kufungwa!hii ni counter Attack
LEMA pingamizi lake litatupiliwa mbali
Huu ni utabiri!?Nilitabiri haya tarehe 31 March 2012!
Mbunge wa Igunga aliyeingia kwa uchaguzi mdogo uliofanyika mwaka jana Dr. Dalaly Kafumu imeelezwa kuwa amekalia kuti kavu baada ya makamanda kadhaa wa Chadema kufungua kesi ya kupinga ushindi wake. Imeelezwa kwamba kilichopelekea kufungua kesi hiyo ni ukiukwaji mkubwa wa kanuni za uchaguzi ikiwemo waziri wa ujenzi (Magufuli) kutumia ofisi ya serikali kisiasa kwa kuahidi kujenga barabara na daraja kushawishi achaguliwe Dalaly, Kada wa ccm (Rage) kutishia kwa bastola na polisi kutochukua hatua zozote, Daftari la wapiga kura kuchakachuliwa na kuonesha kwamba zaidi ya makada 2000 wa cdm kuonekana wamefariki huku wakiwa hai na wenye afya njema (baadhi yao ndo hao waliofungua kesi).
Source: High Court Registry Tabora.
www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/242188-dalaly-kafumu-amekalia-kuti-kavu-igunga.html
Liambie siasa ndo iliyotukutanisha na wewe babu.Halafu liambie uta ji-jei jei babuu!ncha ya mkuki haipigwi kwenzi.Eti kuna Dingi la Sisiemu hapa linajaribu kunipiga Mkwara eti kazini hakuruhusiwi mambo ya siasa, kisa? Wameshindwa
![]()
Team ya Kamfumu Igunga iliwaza vema sana ambao ni Mwigulu, Lusinde, mkapa, Magufuli, Easter Bulaya, na kubwa jinga Tyson