Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

KWIWKWIWKIWKWI lol kafumu Afumuliwa ......peoples power chadema tujipangeni upya
 
Bibi Fatuma Kimario, DC aliyedaiwa kuvuliwa Hijab na wanaCDM alijua aibu atakayoivuna.Viva Mwalimu Kashindye viva pendwa wetu Kada aliyeuwa na ccm,viva wana Igunga wote.
 
Mimi nilipoona server ya JF imeenda down kwa dakika kadhaa nikajua huko Tabora mambo tayari. Nikapokea SMS kwenye simu yangu nika-confirm.
 
Hard to believe..... Magamba chali!!!!!!!!!!!!!!
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ipo siku kitaeleweka tu hata pale juu kabisa.
 
Nimethibitishiwa na watu wa huko, CDM imeshinda, kafumu OUT
 
Kesi imekwisha na kashindye ameshinda kwa kishindo
 
Naombeni nami kuja CHADEMA kama ndo hivyo wanaaccm watakaobaki waitwe mababu na mabibi....naingia CDM KIMYA KIMYA...NAOMBENI UKARIBISHOOOOOOOOOOO K
 
Hamna kitu kama hicho huyo jaji hajui viboko tutamchapa hadi akomee
 
Kauli ya Lema tafadhali na hili anasemaje? nani aliyetoa maelekezo ya kutenguliwa ubunge wa KAFUMU?
Mkuu, subiri kwanza. Mbona povu linatoka mapema hivi? kama vp, hiyo ya Lema ianzishie uzi!
 
Jamani sherekeeni tu..kafumu kafumuliwa utumbo.....kashindye kashinda
 
Back
Top Bottom