SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
Nenda ukonga gerezani ukamuulize papii kocha na babu seya kama huyu mchizi wako jk anajua fair play?
nenda ukonga gerezani ukamuulize papii kocha na babu seya kama huyu mchizi wako jk anajua fair play?
hapo si pozi ya picha tuu!
Mkuu, unaweza kubaki kama mmoja wa waliokuwa wana-JF makini au kuingia kundi la wababaishaji: uamuzi ni wako.
Hivi kweli na busara zako unadhani hizi photo-ops za Kikwete zinamsaidia vipi Mtanzania wa kawaida? Ni vema tusingeona picha za kuhadaa kama hiyo uloambatanisha lakini Rais akatumia madaraka na uwezo wake kupigania kumkomboa mlalahoi anayegubikwa na lindi la umaskini.
Hivi huyo mlemavu ni mwakilishi wa masikini wangapi? Halafu ukiangalia kwa makini picha hiyo inatoa taswira mbovu: Rais amekaa kwenye gari yake ya thamani na huyo mlemavu amekaa chini.Hiyo ni tafsiri nyepesi tu ya taswira.
Kikwazo kwa Tanzania yetu ni kuibuka kwa kundi la wachumia tumbo.Watu ambao japo wana upeo wa kutofautisha mambo lakini wanakuwa watumwa wa sifa na/au kujikomba.
Huyu jamaa kipaji chake ni usanii. Huu urais aliparamia tu.
Smart move FEMEs, shifting the attention from your Malecela boys by starting a thread on JK!! Well done..
- SAWA SAWA MKUU SANA, KUNA HAWA WANASIASA UCHWARA HAPA BONGO KWA KWELI SIKU WAKIPEWA NCHI KABLA HAWAJAAPISHWA NAHAMIA MALAWI SIKU HIYO HIYO!
Es!
Pata muda ujitafakari wewe binafsi,jiulize leo tu imepitaje kwako,umefanya haramu ngapi,wewe ni msafi kiasi gani kwa nafasi yako,mwisho kabisa uje utoe kibanz kwa JK baada ya kuanzia kwako.
- Sawa kila bin-adam ana mapungufu yake so is our president, lakini kuna one thing ni kwamba ataenda down on our history kama ni the best ever President, mkomavu na msikivivu kuliko wote tuliowahi kuwa nao, ukisoma magazeti ya kila siku, ukisoma mitandao ni matusi tu ya kumtukana mpaka nguoni, lakini hana hiyana na wote wanaomtukana. Tunaona kila siku anakutana nao, anaongea nao wengine ndani ya chama wanajifanya maadui zake lakini hana hiyana nao!
- Unatakiwa kuwa mfano wa kuigwa na wengine, infact wale wanaomrushia matusi rais kila siku, thubutu uwaguse wao, yaani ni balaa! jamani jifunzeni toka kwa Rais kwamba siasa sio vita wala ugomvi, ndio manakwama kwenye ndoto zenu maana hamjaiva bado, hamjakomaa bado, bado hamjui Demokrasia na maana yake, shida yenu ni madaraka tu, mimi nasema mkishika nchi nahamia Malawi!!
![]()
[FMES - SAUTI YA UMEME!!
fair assessment....
lakini for once let's cut the bull. piority ya Watanzania si kuwa na raisi mpole (au msikivu kama ulivyochagua kumwita JK).
kwa mtu yeyote yule ambaye yuko responsible kwake mwenyewe binafsi au kwa taifa at large, priority kubwa ni kuiondoa nchi yetu from amongst the "poorest countries" dogfight. hiki ndicho kipaumbele ambacho nadhani JK ame-prove failure completely hususani pale alipoendlea kuendekeza tabia ya kuombaomba badala ya kutumia raslimali zetu wenyewe kujinasua mtegoni (uwezo huu tunao sana wala tusimung'unye maneno), huku wakati huo huo akiwaachia wanao-plunder mali na fedha za umma wanatembea kifua mbele na wengine kuendelea kutukuzwa.
for me, JK is a lot worse than Mkapa. na huu ndio ukweli!
Hivi yule waziri wa zamani wa ujenzi, Nalaila Kiula, alifikishwa mahakamani kipindi gani vile? Picha hiz za JK na watu wa aina ni nyingi tu. Za misibani ndio usiseme.- Well, ni mtizamo wako na tatizo ni kuna wakati wa kila kitu kwenye maisha, kwenye hii thread the ishu ni picha na one great skill ya JK nayo ni Mvumilivu wa kutukanwa, Mvumilivu wa maadui wake kisiasa, na pia msikivu anapokosolewa, I mean hata kama humpendi kama unavyosema mwenyewe lakini huwezi kuyakataa haya in him ambayo ndio hasa the goal of this thread!
- Under Mkapa sikusikia Kiongozi hata mmoja wa Taifa akikamatwa na kufikishwa mahakamani, sasa Mkapa anakuwaje better than huyu anayeonyesha kujali sheria? Tatizo kubwa la Taifa letu ni kwamba Marasi wote wamekabidhiwa Taifa lisiloheshimu Sheria na huyu ni wa kwanza kuonyesha heshima kwa sheria japo kidogo lakini anaweka njia, ni lini under Mkapa uliwahi kulalamika kwamba Kiongozi flani hafai akatolewa? I mean Mkapa alikuwa na mazuri yake na mabaya yake na Jk pia ana mazuri na mabaya yake!
- Lakini muhimu hapa ni kuelewa the mada inayoendana na picha, kila ishu na mahal;i pake na wakati wake!! ni muhimu sana kwa Great Thinker kuelewa hilo!!
Es!
- Sawa kila bin-adam ana mapungufu yake so is our president, lakini kuna one thing ni kwamba ataenda down on our history kama ni the best ever President, mkomavu na msikivivu kuliko wote tuliowahi kuwa nao, ukisoma magazeti ya kila siku, ukisoma mitandao ni matusi tu ya kumtukana mpaka nguoni, lakini hana hiyana na wote wanaomtukana. Tunaona kila siku anakutana nao, anaongea nao wengine ndani ya chama wanajifanya maadui zake lakini hana hiyana nao!
- Unatakiwa kuwa mfano wa kuigwa na wengine, infact wale wanaomrushia matusi rais kila siku, thubutu uwaguse wao, yaani ni balaa! jamani jifunzeni toka kwa Rais kwamba siasa sio vita wala ugomvi, ndio manakwama kwenye ndoto zenu maana hamjaiva bado, hamjakomaa bado, bado hamjui Demokrasia na maana yake, shida yenu ni madaraka tu, mimi nasema mkishika nchi nahamia Malawi!!
![]()
FMES - SAUTI YA UMEME!!
",at one point people took us very seriously lakini sio sasa tena". Haya sio kweli. Kama ulikuwa na maana ya JF kama ilivyo sasa umeongopa. Hata wewe usingesusa na kurudi kila mara humu. CCM na serikali hawalali kwa sababu ya mtandao huu. Hatuna chombo cha habari cha maana na kilicho huru kama JF.
JF imeokoa na kuzuia maovu mengi sana yasifanyike NCHI hii. TANZANIA bila JF ni ngumu kidogo kuifikiria. Tatizo lako FMES na baadhi ya watu humu mlidhani mna hati miliki ya akili nzuri, mawazo mazuri,...., mlifika mahala mkadhani tunaweza kuimba tena ZIDUMU FIKRA ZA FMES!
Hivi yule waziri wa zamani wa ujenzi, Nalaila Kiula, alifikishwa mahakamani kipindi gani vile? Picha hiz za JK na watu wa aina ni nyingi tu. Za misibani ndio usiseme.