Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,908
- 7,751
- haiwezi kusaidia anything, hoja ni ukomavu wa Rais JK hayo mengine unapaswa kujua by now kwamba ni waste hatishiki mtu wala hayana faida kwa Taifa, so ongea hoja huna kaaa pembeni!
Es!
- Well, ni mtizamo wako na tatizo ni kuna wakati wa kila kitu kwenye maisha, kwenye hii thread the ishu ni picha na one great skill ya JK nayo ni Mvumilivu wa kutukanwa, Mvumilivu wa maadui wake kisiasa, na pia msikivu anapokosolewa, I mean hata kama humpendi kama unavyosema mwenyewe lakini huwezi kuyakataa haya in him ambayo ndio hasa the goal of this thread!
- Under Mkapa sikusikia Kiongozi hata mmoja wa Taifa akikamatwa na kufikishwa mahakamani, sasa Mkapa anakuwaje better than huyu anayeonyesha kujali sheria? Tatizo kubwa la Taifa letu ni kwamba Marasi wote wamekabidhiwa Taifa lisiloheshimu Sheria na huyu ni wa kwanza kuonyesha heshima kwa sheria japo kidogo lakini anaweka njia, ni lini under Mkapa uliwahi kulalamika kwamba Kiongozi flani hafai akatolewa? I mean Mkapa alikuwa na mazuri yake na mabaya yake na Jk pia ana mazuri na mabaya yake!
- Lakini muhimu hapa ni kuelewa the mada inayoendana na picha, kila ishu na mahal;i pake na wakati wake!! ni muhimu sana kwa Great Thinker kuelewa hilo!!
Es!
Chinekeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Field Marshal ES umerudi? Karibu tena mana huwa ukiaga hata kwa kutumia media lakini ni lazima urudi tu!! Hapa mtakuja!!! Sasa naona debe umelianza haswa!!! About to hit 2015!!! Ha ha ha ha!! Welcome Bro!!
Field Marshal ES, the Sauti ya Umeme hizo picha za evidence hapo niaje??????????????? Tena mambo ni mabaya zaidi!! Cha msingi usianzishe thread ambazo unajua kabisa ni uchokozi na watu tunaweza kuanika hadi yale ya ndani ya aibu halafu mkaanza tena kututafuta kwa darubini zenu!!!! Hakuna jipya man!!!
hakuna mahala niliposema namchukia JK...far from it. afterall he's an old friend fyi.
nilichokisema ni kuwa he has failed us as a nation. with so many opportunities at our disposal we should have been until this minute able to have hauled ourselves from that povert dogfight.
mkapa started something and one would expect his successor (JK, slaa, whoever) to build on this foundation - which never happened under JK! and that to me is a bigger picture of things than kuwa "mvumilivu, msikivu, etc"
nakubaliana na wewe kuwa kila mtu ana mazuri na mabaya yake. correct. but wait a minute...one has to assess which outweighs which before using any superlatives!
pia kumbuka driving force ya watu kupelekwa mahakamani kwenye regime ya JK si JK. ni ile infamous "list of shame"! pale ndipo pandora box ilipofumuka and subsequently JK had no choice but save his and CCM's face by play-acting to send people to court.
remind me by the way..who's has been jailed todate? who? and when I say "who" ninamaanisha "WHO" siyo "who".
tusijaze watu bure hapa kwa consavation zisizokuwa na mantiki- Ok no what Mengi has to do na tabia za Rais kuwa msikivu, mwenye huruma na mwenye kuheshumu uhuru wa wananchi kutoa mawazo yao? Eti what has Mengi have anything to with that?
Es!
tusijaze watu bure hapa kwa consavation zisizokuwa na mantiki
Mbutha.......... ! kwani waTanzania tunataka USIKIVU WA RAISI? UCHESHI, UPOLE, HURUMA, UKARIMU Au!!!!!!!!!!.........
Kweli Hamjisomi hizo si sifa za watumishi wa Dini? Basi 2015 Mchagueni Awe Imamu Itapendezaaa! Sisi tunataka Raisi asiecheka na watu kwasababu wote tunajua "Ukicheka na Fisi utavuna Mabua" Hizo sifa mnazompa Hakuna hata moja inayo saidia angalau kujenga kisima cha maji sana sana kututia hasara tu
hakuna mahala niliposema namchukia JK...far from it. afterall he's an old friend fyi.
nilichokisema ni kuwa he has failed us as a nation. with so many opportunities at our disposal we should have been until this minute able to have hauled ourselves from that povert dogfight.
mkapa started something and one would expect his successor (JK, slaa, whoever) to build on this foundation - which never happened under JK! and that to me is a bigger picture of things than kuwa "mvumilivu, msikivu, etc"
nakubaliana na wewe kuwa kila mtu ana mazuri na mabaya yake. correct. but wait a minute...one has to assess which outweighs which before using any superlatives!
pia kumbuka driving force ya watu kupelekwa mahakamani kwenye regime ya JK si JK. ni ile infamous "list of shame"! pale ndipo pandora box ilipofumuka and subsequently JK had no choice but save his and CCM's face by play-acting to send people to court.
remind me by the way..who's has been jailed todate? who? and when I say "who" ninamaanisha "WHO" siyo "who".
- Ukiulizwa evidence najua huna hata moja ila ni majungu tu, kama una evidence weka hapa kama huna tuliza boli tu!1
Es!