Mzalendo wa ukweli
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 559
- 149
Okay,I see!!!!!!!!!!!11
Haya 'maigizo' yangependeza zaidi kama nae angekaa chini kabisa!-![]()
FMES - SAUTI YA UMEME!!
- SAWA SAWA MKUU SANA, KUNA HAWA WANASIASA UCHWARA HAPA BONGO KWA KWELI SIKU WAKIPEWA NCHI KABLA HAWAJAAPISHWA NAHAMIA MALAWI SIKU HIYO HIYO!
Es!
Mkuu umesahau "Collenchyma" yaani nimecheka karibu nife! Umenikumbusha mbali sana - mwalimu wetu wa Kike wa Kihindi alivyo kuwa anatamuka terms hizo.Bast means the part of a vascular bundle consisting of sieve tubes, companion cells, parenchyma, and fibers and forming the food-conducting tissue of a plant 2. any of several strong, woody fibers, as flax, hemp, ramie, or jute, obtained from phloem tissue and used in the manufacture of woven goods and cordage..
FMES,
Umenikumbusha kauli ya Prof Mark Mwandosya alipotoka India kwa mara ya kwanza baada ya kulazwa kwa muda mrefu alipokuwa akiongea na wafanyakazi wa wizara ya maji. Namnukuu kwa nukuu ambayo sio kamili: "Mnaweza kumsema Rais wetu Kikwete kwamba hajafanya hili, kashindwa lile,..., lakini huyu baba ni binadamu sana, ni mtu sana".
Nami nakubaliana na Prof Mwandosya. Jamaa anahangaika sana na matatizo ya watu bila kujali hadhi, daraja, utajiri, heshima aliyonayo mtu. Ni mvumilivu pia. Sio kwamba ameshindwa kututafuta tunaombeza na kumtukana humu kwenye mitandao na kwingineko.
Alinishangaza zaidi hivi karibuni alipomteua Mangula kuwa makamu wake wa CCM bara!
Wala hana mpango wa third term. Yeye sio Mzee Abdoulaye Wade wa Senegal. Mikakati yake ya sasa ni kuiacha CCM ikitawala nchi hii kama alivyoikuta.Willium ...kwani Kikwete anataka kuomba third term???? Kama legacy ipo ni ipo tu wall haina haja ya kuitafuta kwa toshi.....yeye ajitahidi kufanya kazi kwa bidii hiii miaka 2 iliyobaki...mwaka 2016 tutaungana kwa pamoja hapa inshaalah kuimba sifa za Kikwete na kumtetea!!
Twambie rafiki yako nasi tutakwambia tabia zako.....KILAZARais Dk Kikwete ni muungwana sana sana, hatutapata rais Tanzania kama yeye itatuchukua muda mrefu sana, natamani katiba mpya ibadilishe vipindi vya urais kutoka 10 yrs to 20 yrs ili tuendelee kuwa nae.
FMES umeibuka mkuu!! Karibu sana bana!!