William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
- Thread starter
- #101
Kiss my black ash
J.K anatakiwa kufanya kazi. Nothing more, nothing less. Anatakiwa kuweka interest za nchi na wananchi wake mbele na sio za familia yake, rafiki zake au investor. Hiyo kucheka Cheka na vibwagizo vingine kila mtu inaweza kufanya kwa muda wake. Actually hata Sisi wananchi tunafanya Hiyo kila siku kila hakuna wa kutupiga picha.
Kwa hiyo usimfanye kuwa yeye huko juu ya kila mtu kwa ukarimu. It is nonsense. He needs to do the job we have asked him to do.
There, you have it.
- Duh! now what this have anything to do with the mada? The Mada is about JK kuwa msikivu, mvumilivu and anayehshimu uhuru wa maoni ya wananchi, I mean I am reading you right?
Es!