Dr. Jakaya M. Kikwete ni the best ever!!

Dr. Jakaya M. Kikwete ni the best ever!!

Status
Not open for further replies.
Mara zote ukitaka kupata umaarufu wa haraka, nenda kalie msibani! Kila mjinga atajua kuwa wewe ulikuwa karibu sana na marehemu.
Sina hakika kama picha hiyo inaendana na kilichoandikwa hapo.
 
I ADMIRE your guts,FMES-mpaka kieleweke-end product ni kikwete will have no option but sign a memo ambayo itaku ellevate.The wise always say"the are many ways to get to ones destination"

- Ndio maana ninasema nitahamia Malawi mkishika nchi!!

Es!
 
Mara zote ukitaka kupata umaarufu wa haraka, nenda kalie msibani! Kila mjinga atajua kuwa wewe ulikuwa karibu sana na marehemu.
Sina hakika kama picha hiyo inaendana na kilichoandikwa hapo.

- so hiyo picha imekutesa sana maana inaonyesha Rais msikivu na mwenye huruma!!

Es!!
 
hapo mkuu ilifaa iwe mkono.kwa sisi tuliokulia na kulelewa mijini inatupa maana nyingine.samahani kwa sahihisho langu.:becky:

asante mkuu kwa kunirekebisha nashukuru sana pamoja sana watu wa rombo wanakusalimu
 
Siyo tu Kikwete ni the bast ever!! naongezea Kikwete ni mwanaharamu aliyekamilika kama ulikuwa na maana hiyo maana sikuelewi kabisa

Wewe ama unajitafutia ban bila onyo, au unataka thread ifungwe.
 
Mkuu, unaweza kubaki kama mmoja wa waliokuwa wana-JF makini au kuingia kundi la wababaishaji: uamuzi ni wako.

Hivi kweli na busara zako unadhani hizi photo-ops za Kikwete zinamsaidia vipi Mtanzania wa kawaida? Ni vema tusingeona picha za kuhadaa kama hiyo uloambatanisha lakini Rais akatumia madaraka na uwezo wake kupigania kumkomboa mlalahoi anayegubikwa na lindi la umaskini.

Hivi huyo mlemavu ni mwakilishi wa masikini wangapi? Halafu ukiangalia kwa makini picha hiyo inatoa taswira mbovu: Rais amekaa kwenye gari yake ya thamani na huyo mlemavu amekaa chini.Hiyo ni tafsiri nyepesi tu ya taswira.

Kikwazo kwa Tanzania yetu ni kuibuka kwa kundi la wachumia tumbo.Watu ambao japo wana upeo wa kutofautisha mambo lakini wanakuwa watumwa wa sifa na/au kujikomba.
 
Mkuu, unaweza kubaki kama mmoja wa waliokuwa wana-JF makini au kuingia kundi la wababaishaji: uamuzi ni wako.

Hivi kweli na busara zako unadhani hizi photo-ops za Kikwete zinamsaidia vipi Mtanzania wa kawaida? Ni vema tusingeona picha za kuhadaa kama hiyo uloambatanisha lakini Rais akatumia madaraka na uwezo wake kupigania kumkomboa mlalahoi anayegubikwa na lindi la umaskini.

Hivi huyo mlemavu ni mwakilishi wa masikini wangapi? Halafu ukiangalia kwa makini picha hiyo inatoa taswira mbovu: Rais amekaa kwenye gari yake ya thamani na huyo mlemavu amekaa chini.Hiyo ni tafsiri nyepesi tu ya taswira.

Kikwazo kwa Tanzania yetu ni kuibuka kwa kundi la wachumia tumbo.Watu ambao japo wana upeo wa kutofautisha mambo lakini wanakuwa watumwa wa sifa na/au kujikomba.

- Nyerere na Kambona walianza pamoja, lakini njiani wakaachana baada ya kugundua kwamba raangi zao hazifanani, sure mimi na wewe tulianza wote na wengine wengi lakini njiani nimegundua kwamba hatufanani na lengo sio moja, one thing kwenye maisha yangu sikubali kuburuzwa na mtu kwa nguvu, ndio maana njia imekuwa panda, lakini msimamo ni ule ule ila ukweli ni ukweli kwa maoni yangu kwamba:-

Dr. JK ni raais mkomavu sana kisiasa anaweza kuishi na matusi na wanaomtukana na anaweza kuwavumilia hata maadui zake ndani ya chama, unajua kwamba kwenye awamu ya kwanza haikuwa hivi ukisema tu unapotea mjini!!

Es!
 
Dawa ya kukomesha usanii wa huyu FMES ni kucopy threads na post zake za nyuma kumuumbua labda akiri ametubu kwa hao mabwana zake wanaomuweka mjini! By the way Willy nini shughuli yako maalum toka urudi Bongo? Kazi huna unaganga njaa kama Tambwe Hiza bana!

- Willy ni nani bro? Vipi soma tena thread haikuhusu Willy ni Rais wa Jamhuri na uvumilivu wake!

Es!
 
Mkuu, unaweza kubaki kama mmoja wa waliokuwa wana-JF makini au kuingia kundi la wababaishaji: uamuzi ni wako.

Hivi kweli na busara zako unadhani hizi photo-ops za Kikwete zinamsaidia vipi Mtanzania wa kawaida? Ni vema tusingeona picha za kuhadaa kama hiyo uloambatanisha lakini Rais akatumia madaraka na uwezo wake kupigania kumkomboa mlalahoi anayegubikwa na lindi la umaskini.

Hivi huyo mlemavu ni mwakilishi wa masikini wangapi? Halafu ukiangalia kwa makini picha hiyo inatoa taswira mbovu: Rais amekaa kwenye gari yake ya thamani na huyo mlemavu amekaa chini.Hiyo ni tafsiri nyepesi tu ya taswira.

Kikwazo kwa Tanzania yetu ni kuibuka kwa kundi la wachumia tumbo.Watu ambao japo wana upeo wa kutofautisha mambo lakini wanakuwa watumwa wa sifa na/au kujikomba.

Hapo umezungumza kama Mlalahoi wa kweli. Tusitumie matatizo ya watu kujiliwadha. Kama kiongozi wa nchi anapaswa kutafita suluhisho la kudumu. tujifunze kuwa na miundo mbinu kijamii inayojibu mahitaji ya wananchi na siyo huruma binafsi ya Mtawala. Haisaidii.
a
 
Kuna usemi unaosema picha moja huongea zaidi ya maneno elfu moja!

Halafu ukiangalia kwa makini picha hiyo inatoa taswira mbovu: Rais amekaa kwenye gari yake ya thamani na huyo mlemavu amekaa chini.Hiyo ni tafsiri nyepesi tu ya taswira.
 
Rais Dk Kikwete ni muungwana sana sana, hatutapata rais Tanzania kama yeye itatuchukua muda mrefu sana, natamani katiba mpya ibadilishe vipindi vya urais kutoka 10 yrs to 20 yrs ili tuendelee kuwa nae.

Waungwana wote wanapatikana kwenye bao na vijiwe vya kahawa.. Tunataka viongozi wanaongozwa na katiba na sheria na ambao wana uchungu na nchi ya Tanzania..
 
- so hiyo picha imekutesa sana maana inaonyesha Rais msikivu na mwenye huruma!!

Es!!

Nachoona ni upambe tu na sio hoja. Kuna watu mnapamba sana kumuinua JK hata bila sababu za maana. Hata Mwinyi na Nyerere walikuwa na huruma na wasikivu pia.
Mwinyi alimuonea huruma Mtorosha dhahabu Capt Aziz
 
- Nyerere na Kambona walianza pamoja, lakini njiani wakaachana baada ya kugundua kwamba raangi zao hazifanani, sure mimi na wewe tulianza wote na wengine wengi lakini njiani nimegundua kwamba hatufanani na lengo sio moja, one thing kwenye maisha yangu sikubali kuburuzwa na mtu kwa nguvu, ndio maana njia imekuwa panda, lakini msimamo ni ule ule ila ukweli ni ukweli kwa maoni yangu kwamba:-

Dr. JK ni raais mkomavu sana kisiasa anaweza kuishi na matusi na wanaomtukana na anaweza kuwavumilia hata maadui zake ndani ya chama, unajua kwamba kwenye awamu ya kwanza haikuwa hivi ukisema tu unapotea mjini!!

Es!

nilipobold una uhakika?kubenea alimwagiwa tindikali kwa sababu ya kumkosoa jk na gazeti lilifungiwa miezi mitatu,ulimboka katekwa na kuteswa sababu ya kudai haki ya madaktari,..babu seya na wanae wote wamepelekwa jela maisha sababu babu seya alipendwa na kumtafuna hawara yake jk
kuna tofauti ya kuwa mvumilivu kwa maneno yanayoelekezwa kwako na kuwa kilaza,ukiwa kilaza hata hoja zinazoletwa kwako huwezi kuzijibu
wanafunzi wanapata mimba sababu ya kiherehere
foleni dar ni dalili ya maisha bora
sijui chanzo cha umasikini wa nchi yangu..
the list goes on and on and on
what do you expect from such bogus president???silence!!!!
 
Naunga mikono yt, huyu jamaa anaonekana kwa baadhi ya watu ni mbaya, lkn kama mwanadamu mwingine hakika, Rais wetu ni muungwana sn, siku zote wanaosema sn wakiwa Viongozi nchi itatetemeka, kwa kutumia dola kuongoza badala diplomasia, huyu mkuu wetu, ametukanwa sn na vibonzo lkn amekuwa mtulivu sijaona, dola naamini inatamani waambiwe muwekeni ndani mpaka nitakaporudi, za akina Ouko, lkn anasema waacheni ni uhuru wa kuongea, watalala wakisha sema ya mioyoni mwao, hatujawahi pata mtu kama huyu sijui huko mbele.
Wakenya walipokuwa wanamsifu nakusema tuna Rais mzuri sn mm ni mmoja sikujua sana lkn hakika anatufaa hata kwa miaka mingine kumi ijayo.
 
Huna tofauti na wale watu wazima waliotoka nyumbani kwao na kwenda kusukuma gari la Jailo. kwa jinsi ulivyokuwa na uchu wa "kupewa madaraka", hata 0713 unaweza kutoa kwa urahisi mno. kuwa makini kumsifia mwanaume mwenzako...

- Naona unazidi kujivua nguo kuhusu tabia zako ukiwa na uchu uko tayari kufanya anything, duh!

Es!
 
nilipobold una uhakika?kubenea alimwagiwa tindikali kwa sababu ya kumkosoa jk na gazeti lilifungiwa miezi mitatu,ulimboka katekwa na kuteswa sababu ya kudai haki ya madaktari,..babu seya na wanae wote wamepelekwa jela maisha sababu babu seya alipendwa na kumtafuna hawara yake jk
kuna tofauti ya kuwa mvumilivu kwa maneno yanayoelekezwa kwako na kuwa kilaza,ukiwa kilaza hata hoja zinazoletwa kwako huwezi kuzijibu
wanafunzi wanapata mimba sababu ya kiherehere
foleni dar ni dalili ya maisha bora
sijui chanzo cha umasikini wa nchi yangu..
the list goes on and on and on
what do you expect from such bogus president???silence!!!!

- Ukiulizwa evidence najua huna hata moja ila ni majungu tu, kama una evidence weka hapa kama huna tuliza boli tu!1

Es!
 
Kama kukaa chini ni kuwa best na siyo bast president basi nchi haina rais. Mbona husemi vigezo zaidi ulivyotumia kumtunuku u-best president. Thread za namna hii zinakuweka mahali pabaya kuhusu uwezo wako wa kuchambua issues.
 
JK amemfuata huyu mlemavu alipokuwa amekaa au Mlemavu amemfuata JK alipokuwa amekaa? Hata hivyo kweney uhuru wa habari, hana mshindani hapo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom