Dr. Isaack Ndodi: Hisia mchanganyiko



Mkuu, kabla hata sijamaliza kusoma ulichoandika,,mi pia ni mhanga wa huyu bwana.
Mwaka juzi nilienda kwake kwa lengo la kununua dawa ya allergy, akaniambia akanitajia kiwango,,actually sikuwa na uwezo huo. Nikawa namwomba anipunguzie,,akanijibu kama huna hela niondoke kwani kuna lundo la watu wanamsubiri.

Nilisikitika sana,,na tangu siku hiyo nilisusia hata kuangalia vipindi vyake vya tv.
 
ndodi ana vipindi vingi sana kwenyetv stations...star tv na eatv...unadhani asipochaji hizo 3m atapata wapi hela ya kuendelea kuuza sura pale kwenye tv? huo sio uungwana kabisa kwa watz ambao wengi tuko masikini.

Inamaana hizo 3m analipwa?
Hakika Tz noma!!
 



Huwa anakandia wanawake wanene na wenye vitambi, wakati nyumba ndogo yake iko pale Mwanza imejaziana kila sehemu ya mwili including kitambi.


JF ni moto wa hoja.Kila kitu kipo wazi na uhakika.
Nyumba yake k ipo wapi?
 
Mwaka jana kwenye kipindi asubuhi cha tbc1,,katibu mkuu wa wizara ya afya au wa TBDF kama sijakosea, alikua anahojiwa na alisema kwamba tayari amekwisha pigwa marufuku kujitangaza kwenye vyombo vya habari, kwani ni kinyume na sheria.
Na kweli kwa kipindi kirefu hakuonekana,,ghafla nakaanza kumwana tena kwenye tv.

Inawezaekana kabisa kuna mlungula ulipitishwa.
 

PJ we ni envoy wa Ndodi?
Binafsi nilienda kwa ndodi almost 2wks ago hapa mwanza tai5hotel bahati mbaya sikumkuta ila sasa huduma niliyoikuta inauelekeo wa kuvuta pesa zaidi kuliko tiba.
Nilikutana na dada flani whom she claimed as a representatv wa Dk yaani kabla sijaelezea kilichonisibu binti alidakia sitakusikiliza b4 paying consultation fee!,
nilichomwambia sh20 sio issue nisikilize kwanza,
then tuendelee na maongezi,
aaaagh bint alikuwa relactant sana nikaona wizi mtupu bora nitambae zangu,
inshort jamaa wapo kipesa zaidi kuliko huduma coz gharama waingiazo si kweli kwamba it is a realistic cost per day,
eg kuna wagonjwa zaidi ya 100 wanataka kumwona kwa siku times 20000 is diz fear kwa uharisia?
Jamaa ni mwizi na hana upendo kwa watanzania na si mtu wa dini akumbuke sisi waTZ wengi wetu ni masikini so he has to review the whole process of attending customers.
 
Kama unafuatilia vipindi vyake ambavyo vimekaa ki'comercial zaidi, the way anavyo'present utagundua tu kuwa yupo kifedha zaidi.
Watu kama Ndodi ambao wengi wao ni kweli wana uwezo wa kutibu lakini hutumia advantage ya ugonjwa wa mtu kujizolea fedha na ndio maana sometimes hujisahau na kutanguliza zaidi fedha.
 
Mimi nilishawahi kwenda kuwaona wasaidizi wake wa Mwanza kwa tatizo la mzio (allergy). Kumuona daktari niliambia elfu kumi na matibabu niliambiwa laki tano! Hiyo fee ya kumuona ndiyo hasa yeye huilenga, linalofuatia ni kukukatisha tamaa kwa kukutajia bei kubwa.....sasa ushindwe usishindwe bei utajiju, yeye keshalamba fee. Inatakiwa ufikirie kwa undani sana ndo utagundua unaibiwa, sababu lengo kuu ni kupata ile fee na kwa asilimia ndogo ndiyo kukutibu!
 

.............. Jisachiii !!!


............. Jamaaa mwizi jumla ! ......anachanganya Dini kidogo, usanii sana, vitisho na mwisho anakula kiingilio !

Inamaana hizo 3m analipwa?
Hakika Tz noma!!

........... unakukatisha tamaa ili ale kiingilio !


.......... yule sio tabibu ni mwizi jumla !!



............. wewe shtukaa ! yule mwizi ! TIBA MBADALA VITABU na MAJARIDA yako chungu nzima ! wala humuitaji ndodi !

Hivi ni mchungaji?

.............. anachanganya Dini kukupumbaza !


............ huyu msukule nini ??!!



.............. wewe alikutibu nini ? Yaaaani Ndodi ni kuliko DOWANS !!!! Khhaaaa !!


Ndodi ni mjasiriamali....

......... muweke kwenye kilengeo!!!!!!!!!!!!!!!!:shock:
 
hana lolote huyo tapeli,anataka pesa kwanguvu we unazan mchezo asubuh awe mwanza mchana dar na jion amalizie arusha unazani hizopesa zakupanda ndege atatoa wapi kama sio kufanya usanii asanye hizo 20 kwa kila kichwa?
 
Akili ni nywele kila mtu ana zake . nisha sanuka huu ni ufisadi wa mwingine
 
EEEEEH Ndodi analipa kodi kutoka kwenye haka kampunga anachopopoa kwa "WAGONJWA"?
 
Sasa huyo ndugu yako anataka kupona au abaki na 3M?
NINACHOJUA NI KWAMBA AKITOA HIYOFEDHA atapona BILA YA SHAKA...
Labda alijisikia duni kwa vile hana hiyo hela...
Mara ingine hata umasikini unasababisha ulalamiishi usiokuwa na sababu!

Mkulu
Heshima mbele, huyu jamaa ni TAPELI. Ana-capitalize on ignorance ya watanzania katika suala la AFYA KINGA na TIBA.
 
Hivi mteule dr ndodi haya yalioelezwa humu atayasoma?
Au kuna wasaidizi wake watamwambia?
Maana mengi yameelezwa ...yanagusa hisia na uhalisia wa wahanga.
Lakin amevuna dr... Alionesha funguo ya gari yake kama sijasahau nliambiwa ni Hummer au V..!
Wenye taarifa waliweke wazi.
 
EEEEEH Ndodi analipa kodi kutoka kwenye haka kampunga anachopopoa kwa "WAGONJWA"?
huduma za afya na elimu, hazikatwi kodi!, ndio maana viji dispensary kila kona na shule kibao za kulipia, ni za kukusanyia tuu!.
 

Brilliant Mohammed,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…