Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Huyu mama alikuwa anapinga matumizi ya mashangingi kumbe na yeye analo, mungu kamuumbua.

Shangingi ni Lake si la serikali,anachopinga Haiwezekani hospital ikose dawa na vitanda huku serikali inaagiza vx v8 zaidi ya 400 kwa matumizi ya dc,rc, ded etc
 
tuambizane ukweli huu mzinga kwa dar utaanzia wapi? hizi foleni zilivyoshonana kweli? gari imekuwa chapati namna hii, hapana sio bure.

inawezekana pakawa na mkono wa mtu hapa, si bure.
 
Shangingi ni Lake si la serikali,anachopinga Haiwezekani hospital ikose dawa na vitanda huku serikali inaagiza vx v8 zaidi ya 400 kwa matumizi ya dc,rc, ded etc

dr.kijo analakwake, nape analakwake, wema ana range yake, diamond ana X5, tukubali bongo umasikini haupo tunadanganyana tu.
 
Mkuu ibra87 hilo eneo la ajali utakuwa haulijui vizuri. Ni moja ya maeneo hatari sana kwa ajali za barabarani.

Mkuu Hatari Iliyokuwepo pale nikukosekana kwa Umakini wa Madereva kwani kuna Siku nilishuhudia Gari Ikiingia kwenye Ukuta Wa Ofisi Za Sumatra.. Pia Wakati mwingine madereva Wanaotokea Upande Wa Baharini Huwa Wanakosa Umakini na Hata chanzo cha Ajali Ya Leo ni Haraka Ya Kutaka kuwahi mataa Bila kuangalia Upande mwingine kama kuna Usalama Au La! Hilo ndio tatizo ingawa ni sehemu hatarishi kweli lakini wataka unambie hatujifunzi tu kupitia Yote Yaliotokea Maeneo Yale?
 
Huyu Mama ndie Mfadhili, mratibu na Muwezeshaji wa Mgomo wa Madaktari uliogharimu maisha ya watu wengi sana wasio na hatia. Alijaribu kukusanya watu kuandamana kama ile Arab spring kwa kigezo cha kupinga Mgomo wa Madakatari aliokuwa akiuratibu chinichini ili wamng'oe Jk kuanzia pale Palm beach lakini kutokana na Upevu wa kiakili wa wa tz mkusanyiko uliokutwa pale haukujaa walau defender mbili za Polisi.Mungu ampe afueni na ahudumiwe vyema na Madakatari akiona Serikal ya awamu ya 5 ccm ikichapa kazi ila ajue hii serikal sio ya jk iliyokuwa na uvumilivu wa kiwango cha juu sana cha uvumilivu kuwahi kutokea Africa nzima

Kumbe kuna uhusiano na mgomo wa madaktari?? We kweli ni Pohamba, you will kill everybody by the time ukijua kuwa upevu siyo kukaa kimya mambo yanapoharibiwa na wanasiasa.
 
Pole zao. Kama mtu hajaiba cha mtu, let him/her enjoy the fruits of independence! Tatizo ni kwa wale wanaonyonya jasho LA maskini!
 
Mmmmmmmh



Huyu Mama ndie Mfadhili, mratibu na Muwezeshaji wa Mgomo wa Madaktari uliogharimu maisha ya watu wengi sana wasio na hatia. Alijaribu kukusanya watu kuandamana kama ile Arab spring kwa kigezo cha kupinga Mgomo wa Madakatari aliokuwa akiuratibu chinichini ili wamng'oe Jk kuanzia pale Palm beach lakini kutokana na Upevu wa kiakili wa wa tz mkusanyiko uliokutwa pale haukujaa walau defender mbili za Polisi.Mungu ampe afueni na ahudumiwe vyema na Madakatari akiona Serikal ya awamu ya 5 ccm ikichapa kazi ila ajue hii serikal sio ya jk iliyokuwa na uvumilivu wa kiwango cha juu sana cha uvumilivu kuwahi kutokea Africa nzima

Huyu ndie alieshauri na kumtafuta Dr.Ulimboka aingoze Mgomo wa kudai Maslahi ya madaktari wa Serikalini wakati Ulimboka hakuwa Mtumishi Serikalini alikuwa Mtumishi kweny NGO ya nje ya nchi lengo ni kuhakikisha mgomo ule udumu mpaka Wananchi wakose Uvumilivu iliposhindikana wakapanga hujuma dhidi ya Ulimboka ionekane Serikal imemdhuru Madakatari wazidi kuichukia Serikal lakini Baada ya Ulimboka kupona na kujua ukweli wote alijitoa kabisa kwny hizo harakati na hata mahusiano na Maelewano na Waliomchochea yalikufa kabisa hataki hata kuwaona. We mtu atupwe mabweoande halafu mtu wa kwanza kufika kumuokoa awe Hellen kijokisimba akiwa na mlolongo wa Vyombo vya habari na kamera kuanzia kulekule porini!!! Pole ndugu kupoteza Mzazi
 
Nawatakia kheri wote walioathirika na ajali hiyo wapone haraka.
 
Pole zao. Kama mtu hajaiba cha mtu, let him/her enjoy the fruits of independence! Tatizo ni kwa wale wanaonyonya jasho LA maskini!

zile pesa za paralegal nadhani ndo matunda yake haya.
 
Kama ni kweli Mungu amsamehe, Nilimpoteza baba yangu kipindi cha Mgomo, Tulipompeleka hospitali tulikuta madaktari wapo kwenye kikao cha mgomo, Mzee hakuchukua muda akafariki.

Ooh Nanaa pole sana. Mungu ni baba yako tangu siku baba yako alipofariki na akupe roho ya kusamehe ndani yako kama unavyotamka sasa. Yeye ndie mlipizi wako.
 
Asante... Hadi machozi yamenitoka, kumbe huyu mama ni mafia hivi? Naikumbuka ile siku Ulimboka kaokotwa anapelekwa Muhimbili, nilikuwa naangalia taarifa ya habari kwa kweli niliumia kwa hali aliyokuwa nayo.

Kumbe huyu mwanamama ndo alikuwa behind the scene?

Mola amsamehe....

Watz rahisi sana kuwachota
 
Asante... Hadi machozi yamenitoka, kumbe huyu mama ni mafia hivi? Naikumbuka ile siku Ulimboka kaokotwa anapelekwa Muhimbili, nilikuwa naangalia taarifa ya habari kwa kweli niliumia kwa hali aliyokuwa nayo.

Kumbe huyu mwanamama ndo alikuwa behind the scene?

Mola amsamehe....

Do not play with these people. They can easily manipulate you and play with your mind mpaka usijue ukweli ni upi usikubali haraka haraka kila kitu unacho ambiwa.


Pole zimwendee aliyepata ajali
 
Hapa nikuchunga kauli zetu TCRA wana meno kama simba sasa, wacha tusubiri habari kamili zitavyokuja baadae
 
Back
Top Bottom