Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

16ixyc2.jpg
 
Mkuu Pasco, ni kwamba gari la mama Helen lilikuwa limesimama kwenye Taa za junction ya Agha Khan na Ali Hassan Mwinyi likiwa linaelekea Posta.

Taa ziliporuhusu gari za Ali Hassan Mwinyi road kuondoka ndipo gari ya Dr. Helen ilianza kuondoka, wakati huo kulikuwa na gari inatokea baharini imekuja speed kuwahi ipite kabla taa hazijazuia ndipo ikaigonga gari ya Dr. katikati ya junction.

Kwahiyo ni kwa ubavu na sio kwa nyuma
 
Last edited by a moderator:
Ile Sehemu Mbona Kama Haiko hatarishi Kihivyo? Wagongaji na Gari Yao Wamekamatwa Ama wamekimbia? Watu wameshaanza Kuleta Sarakasi...

Mkuu ibra87 hilo eneo la ajali utakuwa haulijui vizuri. Ni moja ya maeneo hatari sana kwa ajali za barabarani.
 
silinatumia mafuta oil na bima, kuna maceo wanatumia magari ya kawaida tena wazungu na wengine ni watoto wa hao donors. mbona waziri mkuu wa Holland anatumia baiskeli, waziri mkuu wa korea ya kusini anatumia usafiri wa umma, mtoto wa samsang anapanda economy class.


Acha wivu wa kijinga hlf kunbuka yeye kalinunua kwa hela zake na kila kitu anakilipia yeye binafsi
 
Huyu ndie alieshauri na kumtafuta Dr.Ulimboka aingoze Mgomo wa kudai Maslahi ya madaktari wa Serikalini wakati Ulimboka hakuwa Mtumishi Serikalini alikuwa Mtumishi kweny NGO ya nje ya nchi lengo ni kuhakikisha mgomo ule udumu mpaka Wananchi wakose Uvumilivu iliposhindikana wakapanga hujuma dhidi ya Ulimboka ionekane Serikal imemdhuru Madakatari wazidi kuichukia Serikal lakini Baada ya Ulimboka kupona na kujua ukweli wote alijitoa kabisa kwny hizo harakati na hata mahusiano na Maelewano na Waliomchochea yalikufa kabisa hataki hata kuwaona. We mtu atupwe mabweoande halafu mtu wa kwanza kufika kumuokoa awe Hellen kijokisimba akiwa na mlolongo wa Vyombo vya habari na kamera kuanzia kulekule porini!!! Pole ndugu kupoteza Mzazi

Kwa hiyo ndio mnamlipizia kisasi?
 
silinatumia mafuta oil na bima, kuna maceo wanatumia magari ya kawaida tena wazungu na wengine ni watoto wa hao donors. mbona waziri mkuu wa Holland anatumia baiskeli, waziri mkuu wa korea ya kusini anatumia usafiri wa umma, mtoto wa samsang anapanda economy class.

Haya yatakuwa madhara ya hangover unachoandika na ulichoquote ni usiku na mchana
 
Ni ubavu Mkuu, ajari nimeishuhudia japo majeruhi sikuwakuta.

hili gari linauzito wa karibia tani mbili, najiuliza hiyo impact ya kulirusha hadi nje ya barabara na kuanguka chali huyu mgongaji lazima awe fundi sana.
 
Mtoto wa bhakresa anaendesha lombardine, mengi ana benz bullet proof hatuhoji tunajua ni mapato ya kazi zao, huyu anaishi kwa misaada ya wahisani anakula jasho la wajane na watoto wa mitaani, yaani anaishi kwa migongo ya masikini haya maisha ya kifahari namna hiyo hapana kabisa.

hv ni kwanini watu wengine hamuwezi kuficha upumbaFU wenu? bustard fool!
 
MUNGU amsaidie aweze kupona na hatimaye arudi katika majukumu yake ya kila siku !
 
Si majuzi tu cobra aliwavamia na kukwapua computer zao. Mungu apishilie mbali jambo lolote baya.
 
Huyu mama alikuwa anapinga matumizi ya mashangingi kumbe na yeye analo, mungu kamuumbua.

Ulimi ni siku mbaya kama hukuutumia vizuri na ulimi huponza kichwa,angalia sana kijana!
 
Back
Top Bottom