Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,543
zile pesa za paralegal nadhani ndo matunda yake haya.
Usiishi kwa kudhani tumbi li mkubwa
zile pesa za paralegal nadhani ndo matunda yake haya.
We ni mpumb@ # 1Mpigania lowassa huyu, ile NGO yake ilikuwa tawi la chama fulani
LHRC kinaendeshwa na hela za wafadhili, sio kodi zetu. Pia, ukiliona hata jengo lao pale Mwenge pia utasema ni mafisadi. Siipendi dhana hiyo. Tuilaumu serikali yetu inayokusanya kodi toka kwa raia na matumizi yake hayaendani na umaskini wetu. Vinginevyo tutamchukia kila mtu hata asiyehusika. Ni jukumu la serikali kutufanya sote kuwa na vipato vya kati na vikubwa. LHRC wanasaidia tu kutusemea.
Wapi hapo mbona inaonekana ni mjini
Kwani hilo limenunuliwa kwa kodi zetu au ni misaada ya wafadhili? Mbona mnaharakia kuhukumu haraka hivyo? Je kama alipewa lift?Huyu mama alikuwa anapinga matumizi ya mashangingi kumbe na yeye analo, mungu kamuumbua.
hii nchi tuache tu kuhubiri ufisadi, sikutegemea huyu mama angekuwa na gari kali namna hii, sasa naamini kuwa nchi hii masikini ni wachache mno wengine wanajifanyisha tu. Mleta story hebu tueleze alikuwa anaendesha mwenyewe kama nape? basi asijekuwa kajitoa muhanga zile computer zilizochukuliwa na kova zilikuwa na mambo mazito sana.
naona gari nusura iingie kwenye jingo la NHC inawezekana ilikuwa inatokea barabara ya Hassan mwinyi kuelekea aghakhan hospital, lakini tulishasema hizi V8 hazina balance barabarani ukilinganisha na hardtop au Nissan patrol. ingekuwa hardtop hapo angekunja na kusepa bila tatizo.
hii nchi tuache tu kuhubiri ufisadi, sikutegemea huyu mama angekuwa na gari kali namna hii, sasa naamini kuwa nchi hii masikini ni wachache mno wengine wanajifanyisha tu. Mleta story hebu tueleze alikuwa anaendesha mwenyewe kama nape? basi asijekuwa kajitoa muhanga zile computer zilizochukuliwa na kova zilikuwa na mambo mazito sana.
Kwani hilo limenunuliwa kwa kodi zetu au ni misaada ya wafadhili? Mbona mnaharakia kuhukumu haraka hivyo? Je kama alipewa lift?
hoja yangu tunapowanyoshea vidole mawaziri kuwa wanatumia mashangingi yanayotunyonya wakati nanyie mnatumia hayohayo mantiki inakosekana, hao wafadhili wanawaletea mashangingi wanajua munayahitaji kwa shughuli zenu huku mukitaka igp na cdf watumie noah!
lazima sisi wenyewe tuwe mfano kabla hatujawanyoshea vidole wengine, huyu mama sijawahi kusikia ameenda hata kibaha hilo V8 mjini la kazi gani? kumbuka serikali inatumia fedha chache za kigeni tulizonazo kuagiza mafuta ya diesel huku wengine wakitumia mafuta hayo kwa mambo ya anasa. leo jumapili umuhimu wa hilo gari kuwa barabarani siuoni hata kama ni la mtu binafsi.
Hata mimi pale ofisini kwetu nimegundua hilo kuwa haya ma vx au v8 balance yao ni mashaka, nakubali nissan patrol jinsi ilivyo kupinduka si rahisi. Ila sijui kwa nini vibosile hupendelea haya ma landcruiser kuliko nissan patrol.
baada ya hawa majambazi kuchukua vifaa vyake vya kazi wameona haitoshi wanataka kuchukua roho ya mama yetu. washindwe na walegee kama mtele!
Uguwa pole.
Labda ukiwa hospitali utazifikiria dhambi zako vizuri za kujifanya mtetezi wa haki za binaadam kumbe ni mnafik.
Mfano upiii....hili ni jasho la mtu kwa mshahara wake...na hilo gari lina private number...kwani sisi tumewakataza mawaziri kumiliki hata hammer?? Kinachopingwa na serikali kutumia magari ghari si kwa mtu binafsi... Hii haitaji elimu kubwa kuelewa hili...
Tizama gari ya nape, nyumba ya deo, sasa gari la dr! hapana hii nchi mtetezi kabaki magufuli tu, nae akitutosa basi tena.