Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Dr. Helen Kijo Bisimba wa LHRC apata ajali

Kutoka ukurusa wa facebook wa itv tanzania wametoa breaking newz ya kutokea kwa ajali iliyohusisha gari la mkurugenzi wa kituo cha sheria na haki za binadamu Hellen Kijo Bisimba kuwa amepata ajali na kukikimbizwa hospitali..

Mungu amponye haraka.
 
Jamani kuna watu hatari hapa duniani,huyu mama naye siyo mtetezi wa kweli wa haki za binadamu,na yeye ni anatafuta maslahi yake tu,angalia mama anasukuma V8.

Kwani aliinunua hiyo gari kwa hela yako?
 
ulitaka asukume ma.ta.ko ya mamako ndo uridhike? Wacha ujinga wewe!

Hivi lowassa hajaondoka na hawa vijana wake? sijaona mantiki ya kumtukania mzazi kwa kuulizwa swali lile, mods mko wapi? Invisible Paw
 
Last edited by a moderator:
pole mama Mungu yupamoja nawewe akupe wepesi upone uendelee kulitumikia taifa
 
Mtetezi ana gari Kali ivyo sikujua ilo.
Ila pole mama and get well soon
Ukali wake ni nini? Mbona ni gari la kawaida hilo. Ingekuwa Passo au Virtz pia mngesema tu. Badala ya kuombea wenzetu wapone haraka wewe umefanya hilo ni by the way cha kwanza kwako imekuwa ukali wa gari
 
LHRC kinaendeshwa na hela za wafadhili, sio kodi zetu. Pia, ukiliona hata jengo lao pale Mwenge pia utasema ni mafisadi. Siipendi dhana hiyo. Tuilaumu serikali yetu inayokusanya kodi toka kwa raia na matumizi yake hayaendani na umaskini wetu. Vinginevyo tutamchukia kila mtu hata asiyehusika. Ni jukumu la serikali kutufanya sote kuwa na vipato vya kati na vikubwa. LHRC wanasaidia tu kutusemea.



hii nchi tuache tu kuhubiri ufisadi, sikutegemea huyu mama angekuwa na gari kali namna hii, sasa naamini kuwa nchi hii masikini ni wachache mno wengine wanajifanyisha tu. Mleta story hebu tueleze alikuwa anaendesha mwenyewe kama nape? basi asijekuwa kajitoa muhanga zile computer zilizochukuliwa na kova zilikuwa na mambo mazito sana.
 
zile pesa za paralegal nadhani ndo matunda yake haya.

Jamani, umasikini sio sifa, no haibu na fedhea kubwa, ni utumwa. Kama kapata kihalali haina shida hata angemiliki ndege. And no research no right to say.
 
Back
Top Bottom