You too? How about Salim? I think the question is will a Zanzibari be acceptable to the Tanganyikans?
He is too old for the post, I think.
Mwinyi is a good example. Was highly accepted and highly respected apart from being later disliked by Nyerere, who was jealous of Mwinyi's popularity.
Kuna habari nimezinasa kwa kujulishwa na chanzo changu kuwa Yule Mwenza wa Kikwete Dkt. Mohammed Gharib Bilal atagombea Uraisi wa Tanzania ,huenda nikakubaliana na chanzo hicho kwani siku hizi Bilal amekuwa akionekana sehemu nyingi na karibu anatembelea kila mkoa kiaina na kuhudhuria mambo mengi.
![]()
He is too old for the post, I think.
Sasa hivi ana Miaka 68; lakini hizo MVI NYINGI ni Kichwa… jamaa ana ubongo haswa a NUCLEAR SCIENTIST from BECKLEY - CA… na aliondoka Zanzibar akiwa form 5 na miaka 22; karudi TZ chuo kikuu 1976… kwahiyo alifanya 1,2nd na Ph.D yake
Na tunakuja kuwa na 4 Nuclear Mines… Tunamuhitaji yeye… he´s good...
Ngoyay je?Hongera zake. Slaa na mbowe wanazidi kukosa fursa
Kwa miaka 70 kuongoza term moja sio vibaya sana kama alivyofanya Mandela. Isitoshe jamaa ni kichwa mahiri hicho, so hapajaharibika kitu. Wakati mwingine ni kheri ya hao wazee kuliko vijana. Again, Dr. Bilal ni bora hata mara 10 million kuliko akina JanuaryNakubaliana na wewe hicho ni kichwa, in 2 years atakuwa 70. Not my choice of a President to be though.
Wazanzibar hatuwezi kuwapa urais tena.
Sijui nisemeje?Mwinyi is a good example. Was highly accepted and highly respected apart from being later disliked by Nyerere, who was jealous of Mwinyi's popularity.
Mwinyi is a good example. Was highly accepted and highly respected apart from being later disliked by Nyerere, who was jealous of Mwinyi's popularity.
Ajabu ni kua huyu ni mzee kuliko slaa,lakini slaa anaonekana kachoka zaidi ya huyu...
mkuu katiba haijasema rais achaguliwe kutokana na dini yake ama anatoka sehemu gani ktk jamhuri ya muungano wa Tanzania. As long as ni mtanzania na ana sifa zote za kuongoza taifa hili na akalifanyia mema taifa hili ruksaaaaaa.tumejifunza kwa mwinyi makubwa sana kuhusu chuki za mzanzibari kwa dini ya kikristo. waislamu wa zanzibar wana dharau sana wakristo na heshima yao ndiyo hiyo ya kuruhusu kutukana yesu miaka kumi. ni bora kuvunja muungano kuliko kumpatia mzanzibari nchi. wasialmu wa bara hawana dharau kama wazanzibari. Hii sasa ni zamu ya mkristo kutawala, awe chadema au ccm.
Nakubaliana na wewe hicho ni kichwa, in 2 years atakuwa 70. Not my choice of a President to be though.
Wazanzibar hatuwezi kuwapa urais tena.
Tanganyikans not existing ! Kuna WaTanzania tu ,napenda ufahamu ya kuwa kila Mzanzibari ni Mtanzania ila kila Mtanzania si Mzanzibari ! Jengine ulijue CCM wakimpitisha wao tu na kumkubali ndani ya genge lao basi ndie huyohuyo
wewe na kura yako si au haina umuhimu ,usifikiri Karume aliposema kura yake na ya mkewe zinatosha kumfikisha Ikulu ,hio ndio CCM ,ukipata green card ya Uraisi basi ujue umeukwaa !
Mwinyi is a good example. Was highly accepted and highly respected apart from being later disliked by Nyerere, who was jealous of Mwinyi's popularity.