Dr. Bilal kugombea Urais Tanzania 2015

Dr. Bilal kugombea Urais Tanzania 2015

Kwani Mzanzibari gani mlimpa Uraisi wa TANZANIA nitajie mmoja tu ! 100 dolar nitakupa !

mkuu Mzee Mwinyi kwani sio mzanzibar ? au ulimaanisha nini kusema hivyo?
MI MGENI HAPA
 
I thought Dr. Shein can be a good candidate not to forget Salim Ahmed Salim, Dr. Asha Rose.

Mwigulu Nchemba. Kwi kwi kwi teh teh teh!

Dr Shein sawa...jamaa anafaa kabisa ila maccm hayawez mpa,

dada vip Lowassa, Membe...au sababu hawatoki zenji au ume waukumu kwa Majina yao....? haya fanani na uya pendayo?
 
nakubaliana na wewe...jamaa ajakaa kifisadi hata kido wala hana ukapuya hata kidogo.

Sijasikia kashfa yoyote ya Dr Bilal. Haropoki upuuzi wala mambo yasiokuwa na msingi. Hana biashara ya mipasho. Hana makuu na yuko very humble. It's very easy for someone like him to connect with wananchi especially at the grass root level. Kwa upande wa CCM kama atagombea huyu na akina Migiro, January, Mwigulu, Nyalandu, Nchimbi, etc. ,basi I'd rather nimpigie huyu kura ingawa alitukomesha sana wana-udsm kwenye kunji na mabomu na FFU miaka ile alipokuwa ni katibu mkuu wa wizara ya elimu ya juu pale Jamhuri street.
 
Sijasikia kashfa yoyote ya Dr Bilal. Haropoki upuuzi wala mambo yasiokuwa na msingi. Hana biashara ya mipasho. Hana makuu na yuko very humble. It's very easy for someone like him to connect with wananchi especially at the grass root level. Kwa upande wa CCM kama atagombea huyu na akina Migiro, January, Mwigulu, Nyalandu, Nchimbi, etc. ,basi I'd rather nimpigie huyu kura ingawa alitukomesha sana wana-udsm kwenye kunji na mabomu na FFU miaka ile alipokuwa ni katibu mkuu wa wizara ya elimu ya juu pale Jamhuri street.

ila kiukweli rais anae faa kutokea CCM ni Dr Shein....
 
Kuna habari nimezinasa kwa kujulishwa na chanzo changu kuwa Yule Mwenza wa Kikwete Dkt. Mohammed Gharib Bilal atagombea Uraisi wa Tanzania ,huenda nikakubaliana na chanzo hicho kwani siku hizi Bilal amekuwa akionekana sehemu nyingi na karibu anatembelea kila mkoa kiaina na kuhudhuria mambo mengi.

1.jpg

Siwezi kupuuza huu uvumi..
 
Dr Shein sawa...jamaa anafaa kabisa ila maccm hayawez mpa,

dada vip Lowassa, Membe...au sababu hawatoki zenji au ume waukumu kwa Majina yao....? haya fanani na uya pendayo?

Hapana si hivyo. Lowassa afya yake na jinsi anavyomwaga fedha wakati huu, hafai kuwa Rais kwa mtazamo wangu.

Membe is too childish. Kutoka Zenj hainihusu kwani mimi ni Mtanganyika halisia, na sijui Nyerere aliifanya nini Tanganyika yangu.

Candidate mwingine ambae naona anafaa kuwa Rais ni Tyson.

Zaidi ya hao, tuombe Mwenyeezi Mungu atupe Rais atakae iongoza nchi vyema. Yeyote awae. Asitoke magwanda tu, huko hakuna presidential material mpaka dakika hii, labda Afande Sele! kwi kwi kwi kwi teh teh teh teh.
 
I thought Dr. Shein can be a good candidate not to forget Salim Ahmed Salim, Dr. Asha Rose.

Mwigulu Nchemba. Kwi kwi kwi teh teh teh!
Mwislam yeyote hana nafasi ya kuwa rais wa Tanzania 2015. Labda wakagombee urais wa madrassa!
 
hana sifa wala uwezo, hafai hata kidogo.
 
Awamu hii ya nne ilitakiwa awemzanzibari sasa sijui nisarakasi gani zilitokea mpaka kikwete akawa raisi
 
Ajabu ni kua huyu ni mzee kuliko slaa,lakini slaa anaonekana kachoka zaidi ya huyu...

Dr Slaa hata mimi ananishangaza sana. Sijui ni masuala ya afya au nini yaani suruali imemvaa na uso umekunjana.
 
Back
Top Bottom