Dr. Bilal kugombea Urais Tanzania 2015

Dr. Bilal kugombea Urais Tanzania 2015

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,764
Kuna habari nimezinasa kwa kujulishwa na chanzo changu kuwa Yule Mwenza wa Kikwete Dkt. Mohammed Gharib Bilal atagombea Uraisi wa Tanzania ,huenda nikakubaliana na chanzo hicho kwani siku hizi Bilal amekuwa akionekana sehemu nyingi na karibu anatembelea kila mkoa kiaina na kuhudhuria mambo mengi.

1.jpg
 
Kuna habari nimezinasa kwa kujulishwa na chanzo changu kuwa Yule Mwenza wa Kikwete Dkt. Mohammed Gharib Bilal atagombea Uraisi wa Tanzania ,huenda nikakubaliana na chanzo hicho kwani siku hizi Bilal amekuwa akionekana sehemu nyingi na karibu anatembelea kila mkoa kiaina na kuhudhuria mambo mengi.Lowasa je?acha ndoto za mchana

1.jpg
Lowasa je acha ndoto za mchana
 
Hongera zake. Slaa na mbowe wanazidi kukosa fursa
 
Lowasa je acha ndoto za mchana

Usishangae lowassa ku-step aside na kumuachia jamaa kwani ni huyu ni kundi la EL 100%. Ila kale kaudini ketu kanaweza kwamisha kwani impliedly this time ni zamu ya wakristo.japo si rasmi.
 
Kuna habari nimezinasa kwa kujulishwa na chanzo changu kuwa Yule Mwenza wa Kikwete Dkt. Mohammed Gharib Bilal atagombea Uraisi wa Tanzania ,huenda nikakubaliana na chanzo hicho kwani siku hizi Bilal amekuwa akionekana sehemu nyingi na karibu anatembelea kila mkoa kiaina na kuhudhuria mambo mengi.

1.jpg

He is too old for the post, I think.
 
atafia kwenye steji kazee ka watu,, akapumzike tu abaki kuwa mshauri
 
Ajabu ni kua huyu ni mzee kuliko slaa,lakini slaa anaonekana kachoka zaidi ya huyu...
 
labda urais wa pemba maana hata ule wa zanzibar hafai
 
Back
Top Bottom