Dr. Bilal kugombea Urais Tanzania 2015

Dr. Bilal kugombea Urais Tanzania 2015

Nchi hii kuongozwa tena na kibaghalashia mtasubiri sana jamaa yenu amewaharibia sana

Hivi utafanya nini na kikura chako kimoja, halafu watu wote sio wajinga kama wewe ambae anabagua watanzania wenzake kwa misingi ya dini, au kabila, elimu yako kama unayo haijakutoa ujinga
 
Umakamu wenyewe alipewa kama zawadi, hebu akalale huko, uzee hadi kuzungumza hawezi
 
2.jpg
hizo ni bangi za mchana or chimpumu . chama cha mapinduzi kinawatu wengi sana si kama vyama vingine vinategemea watu wawili or watatu. muda ukifika utajua.
 
Dr Slaa hata mimi ananishangaza sana. Sijui ni masuala ya afya au nini yaani suruali imemvaa na uso umekunjana.
tuacheni masihara aisee, yaani hata mimi ni juzi juzi tu hapa nilipofahamu kwamba JK na Dr. Slaa ama umri wao sawa au JK ni mzee kuliko Dokta!
 
Hongera zake. Slaa na mbowe wanazidi kukosa fursa

...aaah masiala hao uliowataja ni level nyingine kabisa. Huyo mgombea wenu mpya hata mimi nikisimamanae namtoa nockout...
 
Hapana si hivyo. Lowassa afya yake na jinsi anavyomwaga fedha wakati huu, hafai kuwa Rais kwa mtazamo wangu.

Membe is too childish. Kutoka Zenj hainihusu kwani mimi ni Mtanganyika halisia, na sijui Nyerere aliifanya nini Tanganyika yangu.

Candidate mwingine ambae naona anafaa kuwa Rais ni Tyson.

Zaidi ya hao, tuombe Mwenyeezi Mungu atupe Rais atakae iongoza nchi vyema. Yeyote awae. Asitoke magwanda tu, huko hakuna presidential material mpaka dakika hii, labda Afande Sele! kwi kwi kwi kwi teh teh teh teh.

Dr Shein Ndio alie Msafi Haswa Ndani ya Ccm, hapendi uonevu,ni mtu mwenue hofu na mungu, hafanyi biashara, watoto wake ni wengi na wasio penda makuu, mkewe ni mama wa kiafri haswaaa, hana mipasho wala hachekicheki hovyo,Ana utu, sio mdini na ni mchapa kazi,..lakini kwa nini nyie MACCM msimteuwa mtu huyu, mnakimbilia kwa akina makamba.....tatizo lipo wapi?
 
2015 kazi ipo, maana kuna Utanganyika na Uzanzibar bado Ukristo vs Uislam nyingine CCM vs CDM.
Mmmh Patachimbika yan lazima vumbi jekendu litimuke.
 
Hivi utafanya nini na kikura chako kimoja, halafu watu wote sio wajinga kama wewe ambae anabagua watanzania wenzake kwa misingi ya dini, au kabila, elimu yako kama unayo haijakutoa ujinga
Wewe una vikura vingapi ..ina maana wewe kama kweli umesoma mpaka leo hujui nani mbaguzi au unajifanya kujitoa akili...angalia alhaji wenu mliyekuwa mnamwandaa kuwa waziri mkuu wanafakamia mpaka yatima
 
Hivi utafanya nini na kikura chako kimoja, halafu watu wote sio wajinga kama wewe ambae anabagua watanzania wenzake kwa misingi ya dini, au kabila, elimu yako kama unayo haijakutoa ujinga

wewe unazo ngapi? au mnategemea kuiba kura tena? haki ya mama 2015 patachimbika upuuz wenu hamtaufanya na haitopotea kura hata moja.tunaahidi kufa na nyie!
 
Mwislam yeyote hana nafasi ya kuwa rais wa Tanzania 2015. Rais ajaye ni LAZIMA awe Mkristo ili aukate mtandao wa Kiislam uliowekwa serikalini na Alhaj Kikwete.

Kama Mwalimu Nyerere angekuwepo basi asingekuuwa bali angekufunga maisha yako ,Hatuhitaji Raisi kutokana na dini yake ,hatuhitajii Raisi kutokana na kabila yake.

Tunahitaji kiongozi atakaetuongoza wote ,waislamu na Wakiristo ,pole sana.
 
huyu ameshazoea kukapa utepe urais atauweza wapi?
taaluma yake ametumiaje huyu kama mtaalamu wa nyuklia?
sio kila mtu anafaa kuwa rais.
 
You too? How about Salim? I think the question is will a Zanzibari be acceptable to the Tanganyikans?

Tanganyikans not existing ! Kuna WaTanzania tu ,napenda ufahamu ya kuwa kila Mzanzibari ni Mtanzania ila kila Mtanzania si Mzanzibari ! Jengine ulijue CCM wakimpitisha wao tu na kumkubali ndani ya genge lao basi ndie huyohuyo
wewe na kura yako si au haina umuhimu ,usifikiri Karume aliposema kura yake na ya mkewe zinatosha kumfikisha Ikulu ,hio ndio CCM ,ukipata green card ya Uraisi basi ujue umeukwaa !
 
Back
Top Bottom