Dr. Bilal kugombea Urais Tanzania 2015

Dr. Bilal kugombea Urais Tanzania 2015

Mh!angalieni msiuze nchi!hawa wazee wengine background zao mh!
 
Haa haa, yaani huyu kikongwe agombee urais wa JMT? Labda akagombee kule pemba. Watanganyika hatutakubali wagombea wa kupoozwa kwa kushindwa urais wa zanzibar mara nyingi. Afadhali dr. Salim kuliko huyo mzee wa kutetemeka all the time!
 
Well, labda niseme kuwa, kisiasa, Bilal ameanza kujulikana uzeeni na alikuwa bize kwenye mambo ya nyuklia sayans na Salim Ahmed Salim amekulia kwenye siasa. Hiyo ndio tofauti kubwa kati yao.

Mmoja ni mwana siasa na diplomat mwenye uzoefu wa miaka mingi sana na anaheshimika Tanzania nzima na mmoja ni mzoefu na mwana siasa wa uzeeni na pia anaheshimika Tanzania nzima.

Kwa mtazamo wangu kati ya hao wawili ningemchaguwa Salim Ahmed Salim kwa uzoefu wake wa siasa zetu, ambao ni maradufu zaidi ya Bilal.
Salimu Ahamed ni mualabu ,wagagagigikoko walimpinga na kumuengua ,unajua kama huyu Salimu akipewa basi nahisi atainyoosha Tz na kuiweka kwenye mstari ni mmoja kati ya watu ninaowafahamu kisiasa ,hana majungu na hamuogopi mtu ,anajiamini sana kwenye maamuzi hana urafiki kwenye kazi yaani kama hao majangili wakuu na mafisadi saa hii wangekuwa wananyea madebe..
 
Tatizo mmeshazoea Rais mpiga mipasho,vijembe,taarab na mpayukaji.akitokea mtu wa kazi na maneno machache hajui kuongea! Mchagueni Mrisho Mpoto au Mbwiga basi.

Mi naona Mzee amezeeka aachwe apumzike,au aendelee kubaki kama Makamu wa Rais,abaki kama mshauri tu!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Babu Slaa kachoka zaidi,halafu ndo alikuwa mtawa huyu! Nguvu zimeisha mapema hivyo sijui alianza zamani kamchezo na josephine ndomana amechoka mapema.
mkuu afadhali slaa mara 1000 kuliko kuchagua mzanzibar. Rais lazima atoke tanganyika awe slaa, membe,lowassa, zitto, lipumba, ok. Na sio wazanzibar.
 
mwiba ;salimu ahamed ni mualabu ,wagagagigikoko walimpinga na kumuengua ,unajua kama huyu salimu akipewa basi nahisi atainyoosha tz na kuiweka kwenye mstari ni mmoja kati ya watu ninaowafahamu kisiasa ,hana majungu na hamuogopi mtu ,anajiamini sana kwenye maamuzi hana urafiki kwenye kazi yaani kama hao majangili wakuu na mafisadi saa hii wangekuwa wananyea madebe..
mwambie salim ahmed salm aliyekutuma kuangalia kna cha maji sisi tunamtaka lowasa ambaye yupo stong kusimamia maamuzi ya msingi si kuchekacheka
 
mleta mada mwambie salim ahmed salm aliyekutuma kuangalia kna cha maji sisi tunamtaka lowasa ambaye yupo strong kusimamia maamuzi ya msingi si kuchekacheka
 
Well, labda niseme kuwa, kisiasa, Bilal ameanza kujulikana uzeeni na alikuwa bize kwenye mambo ya nyuklia sayans na Salim Ahmed Salim amekulia kwenye siasa. Hiyo ndio tofauti kubwa kati yao.

Mmoja ni mwana siasa na diplomat mwenye uzoefu wa miaka mingi sana na anaheshimika Tanzania nzima na mmoja ni mzoefu na mwana siasa wa uzeeni na pia anaheshimika Tanzania nzima.

Kwa mtazamo wangu kati ya hao wawili ningemchaguwa Salim Ahmed Salim kwa uzoefu wake wa siasa zetu, ambao ni maradufu zaidi ya Bilal.
Salim alibebwa na Nyerere sana hana lolote huyo Mwarabu
 

Mchezo uko hivi, Edward Lowassa, waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond bado anautaka Urais 2015 kwa bei yoyote, licha ya kuchafuka vibaya kimaadali. Sasa, akishindwa kuupata Urais, yuko radhi aweke watu wake awe "kingmaker" ili apate nafasi nyingine ya juu, kama Makamu wa Rais au Waziri Mkuu.

Watu wake anaopanga kuwaweka iwapo jina lake litakataliwa na Kamati Kuu ya CCM ni pamoja na Dr. Mohamed Gharib Bilal, Emmanuel Nchimbi na January Makamba.

Iwapo mtu wa Lowassa Dr Billal atapitishwa na CCM kuwa mgombea URais wa 2015, basi Billal atamchagua Lowassa kama running mate wake na hivyo kuwa Makamu wa Rais.

Iwapo kati ya Emmanuel Nchimbi au January Makamba atachaguliwa kuwa mgombea Urais 2015 basi yeye Lowassa atateuliwa kuwa executive Prime Minister.

MUNGU IBAIRIKI TANZANIA.... TUEPUSHE NA RAIS FISADI 2015
 
Mwanzoni ni kweli Mwinyi was Nyerere's choice. Lakini ukweli ubaki kuwa ukweli, Nyerere alipoona Mwinyi ni more popular "Ruksa". Mwishoni ndio akawa anampiga vijembe vya waziwazi. Nyerere nuksi.

Nyerere nouma!
 
huyu si anajua kuwa Zanzibar ni NCHI, yaani atagombea urais wa Tanganyika akiwa Mzanzibari, OKOME au abadili katiba ya Zanzibar kabla ya kugombea, huo ni utumbo kabisa.
 
Mkuu unajua hapa ni jf great thinkers: si vizuri kuleta Habari za mitaani kupotezea Watu muda
 
Mkuu sisi hatuna udini, lakini ishu inatokea Rais akiwa mwenye dini hiyo ndiyo utaona udini unaanza. Watu hatukurupuki kusema hayo, na Video watu wanazo jinsi mashekhe walivyozunguka nchi nzima kumpigia kampeini Kikwete, kisa kawaahidi mahakama yao na vinginevyo. Pia ukitaka ushahidi tazama CD ya Lipumba msikitini

unavyoongea as if hakuna kiongozi wa dini ya kiisalmu ambae anweza akawa yuko na msimamo na akawa kiongozi mzuri,jk kufanya makosa au kutokuwa kiongozi mzurii haimaanishi binaadamu wengine w a dini hiyo pia hawaiwezi kazi,na kwa taarifa yako mimi muislamu na 2010 nimempigi kura slaa mbona sikulta udini.
 
Back
Top Bottom