Dr. Bilal kugombea Urais Tanzania 2015

Dr. Bilal kugombea Urais Tanzania 2015

Lowasa je acha ndoto za mchana
Lowasa hapewi ,wala hapendekezwi labda awe mgombea binafsi ila ndani ya CCM ,NO WAY ,hakubaliki kabisa,kinachoonekana hivi saasa ni kumwacha tu aweweseke ,ila huyo nilie watajia ndie mlengwa na zaidi ni kutaka awepo Mzanzibari kwani haijawahi kutokea` uki`weka maanani kuwa Tanzania inaungwa na NCHI mbili ,sasa CCM kujiweka eti ni wapenda usawa basi wameonelea safari hii awepo Mzanzibari na ndie huyo ambae ni chaguo.
 
kazeeka, akapumzike na familia yake ale pesheni. hamna jipya humo.
 
Wazanzibar hatuwezi kuwapa urais tena.
Ww ndio huwezi, usiwasemee watu wengine, kura yako moja ya kibaguzi, chuki na husuda haiwezi kuwanyima watanzania uwezo wa kushinda urais
 
Nchi hii kuongozwa tena na kibaghalashia mtasubiri sana jamaa yenu amewaharibia sana
 
Ww ndio huwezi, usiwasemee watu wengine, kura yako moja ya kibaguzi, chuki na husuda haiwezi kuwanyima watanzania uwezo wa kushinda urais
Siyo yeye hawezi watanganyika huo ujinga hawatarudia tena..mnataka kamkoa chenu halafu bado mnalilia usawa .soon tutawaacha muanze kucharanganya mapanga.watu masikini mnasaidiwa na kubebwa kila kona lakini kelele haziishi kila kukicha
 
Hongera zake. Slaa na mbowe wanazidi kukosa fursa
Mwislam yeyote hana nafasi ya kuwa rais wa Tanzania 2015. Rais ajaye ni LAZIMA awe Mkristo ili aukate mtandao wa Kiislam uliowekwa serikalini na Alhaj Kikwete.
 
Hivi mnadhani kazi ya urais ni kufungua makongamano eh?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Well said. Marais Waislam ni dhaifu sana. Wataipeleka nchi hii kuzimu.
Wachache sana kama wewe waoweza kuadmit bila chembe ya unafiki kuwa JK ametufikisha pabaya sana sasa hizi ndoto za kutaka kumsimamisha Bia halali ni sawa na kumalizia kulizamisha kabisa jahazi letu la tanganyika..me nasema Ki..ba gha.la shia nononononono
 
Mwislam yeyote hana nafasi ya kuwa rais wa Tanzania 2015. Rais ajaye ni LAZIMA awe Mkristo ili aukate mtandao wa Kiislam uliowekwa serikalini na Alhaj Kikwete.

Acha udini ww km waislam wapendelewa mbona mahkama ya kaz hawajapewa until now. Acha nchi yetu iwe na amani usitie chuki vifua vya watanzania
 
Ww ndio huwezi, usiwasemee watu wengine, kura yako moja ya kibaguzi, chuki na husuda haiwezi kuwanyima watanzania uwezo wa kushinda urais
ZANZIBAR INA 50% Ukitaka uraisi lazima ukubalike zanzibar kupitia ccm
 
Wanaomdharau Dr. Bilal inawezekana hawamfahamu vizuri huyu mzee, au inawezekana wameanza kumfuatilia kipindi hiki cha Umakamu wa Rais! Wanaotaka kufahamu ujuzi wa sarakasi za siasa za Dr. Bilal, basi wakamuulize Karume ambae kama si CCM Dodoma, Urais wa Zanzibar msimu wa Karume ungekuwa ni wa Bilal.....in short, alikuwa hamuwezi hata chembe kimikakati!! Na hata suala la kumfanya agombee Umakamu wa Rais, zilikuwa ni busara za CCM kwani isingeleta sense Dr. Shein aendelee kusimama kama makamu wa Rais; kwahiyo ilikuwa ni ama atupwe nje ya ulingo wa siasa au akashindane na Bilal Zanzibar! CCM wajanja, walifahamu wazi kwamba Dr. Shein asingekuwa na ubavu wa kushindana na mtandao wa Dr. Bilal; so CCM wakaona busara ni kumpa nafasi ya Umakamu wa Rais wa jamhuri ili Shein asipate ushidani wa nguvu ZNZ! Tatizo kubwa la Dr. Bilal ni umri manake by 2015, atakuwa seventy!
 
kwa chama gan...? na wapi? labda zenji....
chezea lowassa ww....
 
He's by far a better choice than January or any other CCM presidential wannabes (with the exception of Lowassa)

I thought Dr. Shein can be a good candidate not to forget Salim Ahmed Salim, Dr. Asha Rose.

Mwigulu Nchemba. Kwi kwi kwi teh teh teh!
 
He's by far a better choice than January or any other CCM presidential wannabes (with the exception of Lowassa)

nakubaliana na wewe...jamaa ajakaa kifisadi hata kido wala hana ukapuya hata kidogo.
 
Back
Top Bottom