Dr. Bilal kugombea Urais Tanzania 2015

Dr. Bilal kugombea Urais Tanzania 2015

Mwinyi aliuzwa na Nyerere. Mzanzibari atakuwa na wakati mgumu sana kukubalika bara wakati huu wa vuguvugu la muumgano wa mkataba.

Mwanzoni ni kweli Mwinyi was Nyerere's choice. Lakini ukweli ubaki kuwa ukweli, Nyerere alipoona Mwinyi ni more popular "Ruksa". Mwishoni ndio akawa anampiga vijembe vya waziwazi. Nyerere nuksi.
 
Huyu jamaa anaweza kuja kuwa raisi wa Zenji,tutamchagua Dodoma hapo Chimwaga kama wengine. Zanzibar siku zote tunawachagulia maraisi toka enzi hadi ziwasogee.
 
Haha..huyu jamaa naikubali elimu yake ila sijui km ina tofauti na ya Lipumba na muhongo.Ninachopata shida nae sana ni jinsi anaongea ,sijui ni uzee, sijui ana matatizo ktk neva au anashida gani...anaonekana km anasikia baridi full time.


Pengine tumtendee haki km hajasahau elimu yake ya Nuclear aende kule Arusha akajenge kile kituo.FULL STOP.
 
Ni nchi yenu eeh?!! Sasa mbona ponda akisema kuna mfumo kristo mnapinga kwa nguvu zote??!!!!!!!! Nyie jamaa hua hamjielewi kabisa!!
Tanzania ni Nchi Pekee Duniani yenye Ma Rais wa Tano, tena wote Dini Moja, nina uhakika unaijua.
So Ponda ni Muongo na Madai yake hayana Mashiko.
 
Kuna habari nimezinasa kwa kujulishwa na chanzo changu kuwa Yule Mwenza wa Kikwete Dkt. Mohammed Gharib Bilal atagombea Uraisi wa Tanzania ,huenda nikakubaliana na chanzo hicho kwani siku hizi Bilal amekuwa akionekana sehemu nyingi na karibu anatembelea kila mkoa kiaina na kuhudhuria mambo mengi.

1.jpg

Huyu amechoka sana, afadhali shein. Isitoshe Kikwete alishasema kuwa ukizidi miaka 65 usahau kugombea Uraisi, kwani hiki ni kizazi cha kidot.com.

Wamjaribu kama wanataka kuipa CHADEMA NA CUF njia nyeupe Ikulu.
 
I thought Dr. Shein can be a good candidate not to forget Salim Ahmed Salim, Dr. Asha Rose.

Mwigulu Nchemba. Kwi kwi kwi teh teh teh!

Kiumri Dr Bilal wanatofautiana sana na Dr Salim? Kwa kuwaangalia tu sioni tofauti.
 
Kiumri Dr Bilal wanatofautiana sana na Dr Salim? Kwa kuwaangalia tu sioni tofauti.

Well, labda niseme kuwa, kisiasa, Bilal ameanza kujulikana uzeeni na alikuwa bize kwenye mambo ya nyuklia sayans na Salim Ahmed Salim amekulia kwenye siasa. Hiyo ndio tofauti kubwa kati yao.

Mmoja ni mwana siasa na diplomat mwenye uzoefu wa miaka mingi sana na anaheshimika Tanzania nzima na mmoja ni mzoefu na mwana siasa wa uzeeni na pia anaheshimika Tanzania nzima.

Kwa mtazamo wangu kati ya hao wawili ningemchaguwa Salim Ahmed Salim kwa uzoefu wake wa siasa zetu, ambao ni maradufu zaidi ya Bilal.
 
Kuna habari nimezinasa kwa kujulishwa na chanzo changu kuwa Yule Mwenza wa Kikwete Dkt. Mohammed Gharib Bilal atagombea Uraisi wa Tanzania ,huenda nikakubaliana na chanzo hicho kwani siku hizi Bilal amekuwa akionekana sehemu nyingi na karibu anatembelea kila mkoa kiaina na kuhudhuria mambo mengi.

1.jpg
Bilal huyu huyu ninayemfahamu mimi? Huyuhuyu mara mbili anagalagazwa kwenye kinyang'anyiro cha urais? Huyu huyu anaeongea kwa kukumbuka aliyokaririshwa? Huyuhuyu aliyesomea topic moja tu ya mabomu {nyuklia}? He! makubwa.
 
Back
Top Bottom