msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,143
Haha..huyu jamaa naikubali elimu yake ila sijui km ina tofauti na ya Lipumba na muhongo.Ninachopata shida nae sana ni jinsi anaongea ,sijui ni uzee, sijui ana matatizo ktk neva au anashida gani...anaonekana km anasikia baridi full time.
Pengine tumtendee haki km hajasahau elimu yake ya Nuclear aende kule Arusha akajenge kile kituo.FULL STOP.
Dah....! Baridi muda wote!?