Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 844
- 1,608
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amefutia mashtaka na kumwachia huru mfanyabiashara wa vipodozi Jenifer Jovin (26) maarufu Niffer na Mika Lucas Chavala, waliokuwa na kesi ya uhaini.
Uamuzi huo umetolewa leo Jumatano Desemba 3, 2025 na Hakimu Mkazi Mkuu, Aaron Lyamuya, baada wakili wa Serikali, Titus Aron kuileleza Mahakama hiyo kuwa DPP hana nia ya kuendelea na mashtaka dhidi ya washtakiwa hao wawili.
DPP amewafutia kesi hiyo ya uchunguzi namba 26388/ 2025 chini ya kifungu namba 92(1) cha Sheria ya Makosa ya Jinai, Sura ya 20 ilivyofanya marejeo mwaka 2023.
Mahakama inakubaliana na ombi la upande wa Jamhuri kama lilivyowasilishwa, hivyo inawaachua huru washtakiwa hawa wawili," amesema Hakimu Lyamuya.
=========== For English Audience ==============
The Director of Public Prosecutions (DPP) has withdrawn charges and released entrepreneur Jenifer Jovin (26), popularly known as Niffer who had been facing treason charges.
The decision was issued today, Wednesday, December 3, 2025 by Senior Resident Magistrate Aaron Lyamuya, after State Attorney Titus Aron informed the Court that the DPP no longer intends to proceed with the case against the accused. Niffer was among hundreds of young Tanzanians arrested and charged with treason in connection with the election unrest.
Read More:
Huzuni sana! Mama yake na Niffer aangua kilio baada ya mwanae kurudishwa mahabusu
The decision was issued today, Wednesday, December 3, 2025 by Senior Resident Magistrate Aaron Lyamuya, after State Attorney Titus Aron informed the Court that the DPP no longer intends to proceed with the case against the accused. Niffer was among hundreds of young Tanzanians arrested and charged with treason in connection with the election unrest.
Read More:
Huzuni sana! Mama yake na Niffer aangua kilio baada ya mwanae kurudishwa mahabusu