PostGE2025 DPP awafutia kesi ya uhaini Niffer na Mika Chavala

PostGE2025 DPP awafutia kesi ya uhaini Niffer na Mika Chavala

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Nchi ngumu sana hii.

Mtu anaamua tu,Leo Nina hasira wasweke ndani huyu na huyu,kesho anaamka anasema hasira zimeisha sasa dipipii wafutie kesi Hawa,ila huyu aendelee kukaa ndani muda wake Bado.

Michezo.
Nakwambia ni shida, yaan hii nchi, mtu anajiamulia tu analotaka yeye hamna sheria wala nini, ni vile unakua upo kama na vitoto vyako, ukiamua unavizuia kula, ukiamua unavipa Chakula!
 
Wanataka wawatoe watu kwenye mjadala wa jana
 
Kuna watu wanasubiri pongezi kwa kuvunja sheria na kufanya uonevu, kwamba wanaweza amua mkamata yoyote na kumweka selo kwa kosa lolote bila ushahidi, na mwisho wanaamua kufuta kesi.
 
Mamlaka ya DPP yaangaliwe upya yanatumiwa na wanasiasa kuwaumiza wananchi, na mahama kama muhimili wa kutoa haki unasimama wapi kwenye hali kama hizi?
 
Hao wanarudi Polisi,
Kwani hamjaona bado wanalindwa na Polisi?
DPP anaweza kukuachia na kukukamata tena.
Wangeachiwa huru wangeondoka na ndugu zao, ila wote wamekaa gari za polisi na ndani ya gari kuna polisi
 
Back
Top Bottom