PostGE2025 DPP awafutia kesi ya uhaini Niffer na Mika Chavala

PostGE2025 DPP awafutia kesi ya uhaini Niffer na Mika Chavala

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Hakukuwa na kesi yoyote, lengo lao ni lile lile kuwatesa, kuwaua, kuwateka na kuwapoteza wote wasiotaka kuwasifia wanapotenda uovu wao. Tuzidi kumwomba Mungu ili wakati ulio sahihi tuwapate viongozi wa haki, nchi ili nchi pate baraka na amani ya kweli.
 
61YBraLou1L._SY200_QL15_.jpg
 

Kauli ya kwanza ya Mfanyabiashara Jennifer Jovin (Niffer) baada ya kutoka gerezani.



Kauli ya kwanza ya Mika Chivala baada ya kutoka gerezani​
 
Atakuwa kajifunza na hatarudia tena upuuzi. Aweke akili kwenye biashara na sio harakati za kipumbavu. Huyu Chavala inaonekana harakati ndo kazi yake kwahiyo huenda akaendelea na upuuzi.
 
Inatosha walichokipata kinaitwa handbrake ya kiherehere hadi watu wanatembea na tasbih kubwa kama imam wa baniani
Akicheza karata zake vizuri anaweza kuja kuwa kiongozi mkubwa baadae endapo anapenda kuwa. Huyu binti ana mvuto kwenye umma. Tatizo alichagua upande mbaya wa uovu.
 
Huyo binti sijui kama hawataanza kutumia TRA kumkomoa kwenye biashara zake!!
 
Niffer ameachiliwa kwasababu ya Gen z kuonekana hawaogopi bunduki wala uhaini pia maandamano yao #D9 yameshinikiza kuachiwa kwa mwenzao.

Vitisho vyote vimegonga mwamba.
 
Back
Top Bottom