Umekumwagikia kabisaMoja ya sababu, wanasiasa wengi ni waongo sana.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Si weka wewe ambavyo nimeficha? Yanini unaandikia mate na wino upo?Kuna baadhi ya vipengele vyenye shida umevificha.
Watanzania sio wajinga mpaka wameamua kupinga.
Ukomo upo haujapitia mkataba na Umedanganywa ujadanganyika. Kasone kifungu cha 5:4. Uje kusema umekutana na nini.Unaunga vipi mkono mkataba usio na ukomo?
Faiza ni mdini hatari! Mpaka naogopa hata kuonana naye uso kwa usoFaiza hii bandari wangepewa wa Taliano wa Vatican nahisi ungeupinga mpka ungevuwa ushungi live, Ndugu anamtetea nduguye
Wengi tunautaka na tayari kazi zimeanza bandarini.Mama kama ni Msikivu wa Wananchi bora aitishe kura ya Ndio au hapana Inchi nzima halafu afanye Maamuzi.
Naona watu wengi hawautaki.
Achana na hii 👆👆 propaganda!!Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Kufundisha ndiyo *passion" yangu, suhangaiki namwaga darsa hapa. Naona raha kweli kweli.Bibi mbona una hangaika sana yani mkataba wenyewe umeshindwa kujitetea hadi wewe una hangaika namna hii? Pole sana ni wazi huu mkataba una shida sana
Andika wewe unaeweza, kinakushinda nini?Sasa km watu wenyewe ni km wewe, mna tofauti gani na nyumbu wa Serengeti. Kuandika hata kwa kiswahili huwezi ndio uelewe mkataba tena wa kimataifa? ni ngume sana, we baki kuiamini serikali yako na watalaamu wake. Shule siyo rahisi ndio maana wengi waliishia njiani
Tukutane forodhani home znz tujipongeze kwa ushind wetu sisi kama DP world!!Hiyo siyo propaganda, huo ndiyo ukweli.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Anawatetea babu Zake wa dubaiFaiza hii bandari wangepewa wa Taliano wa Vatican nahisi ungeupinga mpka ungevuwa ushungi live, Ndugu anamtetea nduguye