Huyu ni hatari sana.Faiza ni mdini hatari! Mpaka naogopa hata kuonana naye uso kwa uso
Nawatakia kila la kheri. Mie kwetu ni pwani ya Mkuranga. Umeshawahi kuisikia Boza beach?Tukutane forodhani home znz tujipongeze kwa ushind wetu sisi kama DP world!!
Acha basi 🤣🤣🤣🤣Nawatakiabkila la kheri. Mie kwetu ni pwani ya Mkuranga. Umeshawahi kuisikia Boza beach?
Tena tuna bandari ya ngarawa hapa za kwenda Mafia, Kisiju, lindi, Mtwara tunawasubiri kwa hamu DP World waje kufanya yao.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Kama unamaanisha Uislam, Uislam ni mwema sana. Usiogooe.Faiza ni mdini hatari! Mpaka naogopa hata kuonana naye uso kwa uso
Acha umama kuwa serious tumia kichwa kufikiria hakuna mkataba hapa1. Uhuru umepitiliza
2. Ujuaji mwingi
3. Njaa (Kuna wakosoaji wengine wanatumika na maadui zetu kuhakikisha hatupigi hatua) rejea battle la Bwawa la mwl Nyerere na ujasiri wa mwendazake.
4. Kutafuta kutrend na kuonekana (wanasiasa wanaingia hapa)
Mpiga debe Bibi FaizaFoxy hatujaona ukijibu hapa!Mpendwa Bibi FaizaFoxy , mimi kama Mtanzania ambae sio mwanasheria wala sina elimu kuhusu mikataba naomba kueleweshwa haya,
1.Kwa nini hii IGA ihusishe vitu vyote hivi vya Tanzania kama sea ports,lake ports,special economic zones,logistics parks,trade corridors etc, na sio bandari ya DSM tu??
View attachment 2663410
2.Kwa nini Tanzania inatakiwa imjulishe kwanza Dubai fursa zozote zile za uwekezaji wa bandari? Huoni kwamba hiyo inatunyima sovereignty yetu? Kwa hiyo leo tukipata muwekezaji katika bandari za Mwanza inatakiwa kwanza Dubai apewe taarifa?? Kwa nini hilo??
View attachment 2663411
3.Katika kipengele ambacho sijakielewa kabisa ni hiki hapa hebu nipatie ufafanuzi vizuri???
Kwa hiyo Dubai akifanya material breach
Jifunze International treaties yakheKwaiyo ni sawa mkataba usainiwe Dodoma alafu mgogoro ukitokea arbitration ikafanyike south Afrika?
Asiyejua aendako hapoteiFaizaFoxy mmekosea kitu kimoja tu nyie wana CCM. Na kosa hili ni kuweka wazi ujinga na uchafu wenu huu...
Mngemalizana kimya kimya na waarabu wenu halafu sisi Watanganyika tungejua haya kwenye matokeo yake kama ambavyo imekuwa hivyo miaka yote mliyouza rasrimali asili zetu kwa jina la "uwekezaji"..
Hapa mmeula wa chuya. Na ieleweke kuwa, HAKUNA JEMA LITATOKA CCM wala kwa RAIS SAMIA wako leo Wala kesho..!!
Mtu anatawaliwa na kuongozwa na watu wasio na akili atakuwa nani huyo?Maana viongozi hawana Akíli
Sawa sawiaWewe ulivosoma mkataba umeona upo sawa??
ni promo tu hauna majibu nini?Siyo debe, zumari.
In Shaa Allah yote ystajibiwa, tartiiib, mambo mazuri hayataki haraka.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Weka swali moja moja. Tumalize tuhamie lingine.Mpendwa Bibi FaizaFoxy , mimi kama Mtanzania ambae sio mwanasheria wala sina elimu kuhusu mikataba naomba kueleweshwa haya,
1.Kwa nini hii IGA ihusishe vitu vyote hivi vya Tanzania kama sea ports,lake ports,special economic zones,logistics parks,trade corridors etc, na sio bandari ya DSM tu??
View attachment 2663410
2.Kwa nini Tanzania inatakiwa imjulishe kwanza Dubai fursa zozote zile za uwekezaji wa bandari? Huoni kwamba hiyo inatunyima sovereignty yetu? Kwa hiyo leo tukipata muwekezaji katika bandari za Mwanza inatakiwa kwanza Dubai apewe taarifa?? Kwa nini hilo??
View attachment 2663411
3.Katika kipengele ambacho sijakielewa kabisa ni hiki hapa hebu nipatie ufafanuzi vizuri???
Kwa hiyo Dubai akifanya material breach,akicompromise security yetu,nchi yetu haina uwezo wa kuterminate contract hadi tusubiri usuluhishi kulingana na article 20.
Huu mkataba ungependeza zaidi iwapo Tanzania ingekua na uwezo wa kuuvunja mkataba palepale endapo Dubai wakienda kinyume na mkataba au wakihatarisha usalama wetu.
kwa mujibu wa hapa itatakiwa tusubiri disputes kwanza.
View attachment 2663412
4.Kitu kingine ambacho kinanipa ukakasi sana sana ni kwamba katika IGA hii kwa upande wa Tanzania tunaona sahii za watu watatu na majina yao Rais,waziri na katibu wake,
lakini upande wa Dubai tunaona mtu mmoja tu majina yake na sahii huyu Ahmed CEO wa DP-W, sioni mtu mwingine upande huu wa Dubai naona sahii tu sioni jina?? Huyu mtu aliye mchagua huyu Ahmed na kusaini hapo ni nani hasa?? Mbona anafichwa? Majina yake hayapo?
View attachment 2663416
Mkataba unajijibu wenywe, usiwe na hofu. Vijana wsalioundaa walifanya kazi nzuri sana.ni promo tu hauna majibu nini?