DP World amepata Bandari bila kupingwa

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,566
32,214
Kama mjuavyo sheria ya manunuzi ya Umma (nimeambatanisha) inataka tenda itangazwe, wachujwe wenye sifa kabla ya kupewa mkataba, Ila haielewek DP World kashindaje hii tenda/deal? Handpicked?
 

Attachments

  • Public_Procurement_Act_2011.pdf
    564.2 KB · Views: 17
26c76022e3e448dab0196b9931a2bd42.jpg

Enzi za kina Chief Mangungo hizi
 
Kama mjuavyo sheria ya manunuzi ya Umma (nimeambatanisha) inataka tenda itangazwe, wachujwe wenye sifa kabla ya kupewa mkataba, Ila haielewek DP World kashindaje hii tenda/deal? Handpicked?
 

Attachments

  • 9949C15F-7C4D-457D-8D26-754B7606969A.jpeg
    9949C15F-7C4D-457D-8D26-754B7606969A.jpeg
    75.8 KB · Views: 16
Kama mjuavyo sheria ya manunuzi ya Umma (nimeambatanisha) inataka tenda itangazwe, wachujwe wenye sifa kabla ya kupewa mkataba, Ila haielewek DP World kashindaje hii tenda/deal? Handpicked?
Kapewa bandari ipi na lini?

Hiyo sheria ua kuuza bandari au ipi?
 
Kama mjuavyo sheria ya manunuzi ya Umma (nimeambatanisha) inataka tenda itangazwe, wachujwe wenye sifa kabla ya kupewa mkataba, Ila haielewek DP World kashindaje hii tenda/deal? Handpicked?
katika jambo ambalo sijajihusisha nalo ni hili. nilijua lilishapita
mwambulusi sijui yupo wapii
 
Back
Top Bottom