Naam sheikh
Mshindi? Alishindanishwa na Nani?DPW ndiye mshindi wa tenda kwenye uwekezaji wa Bandari yetu.
DPW sio kampuni uchwara ni dude kubwa lenye uwezo na uzoefu mkubwa sana duniani.
Kama mjuavyo sheria ya manunuzi ya Umma (nimeambatanisha) inataka tenda itangazwe, wachujwe wenye sifa kabla ya kupewa mkataba, Ila haielewek DP World kashindaje hii tenda/deal? Handpicked?
Tumewakaribisha Ila tujiandaena sisi ndio tumeingia cha kike, kukubali kwamba hakutkauwa na kuvunja mkataba.
Kama mjuavyo sheria ya manunuzi ya Umma (nimeambatanisha) inataka tenda itangazwe, wachujwe wenye sifa kabla ya kupewa mkataba, Ila haielewek DP World kashindaje hii tenda/deal? Handpicked?
Kapewa bandari ipi na lini?Kama mjuavyo sheria ya manunuzi ya Umma (nimeambatanisha) inataka tenda itangazwe, wachujwe wenye sifa kabla ya kupewa mkataba, Ila haielewek DP World kashindaje hii tenda/deal? Handpicked?
Yangekuwa yamefichwa wewe ungeyajuwa?kuna siku haya yote yatawekwa wazi na kuna watu watapokea hukumu.
Anna Tibaijuka ana ubavu wa kuongelea maadili? Anafikiri tumesahau kwanini Kikwete alimtemesha uwaziri?
katika jambo ambalo sijajihusisha nalo ni hili. nilijua lilishapitaKama mjuavyo sheria ya manunuzi ya Umma (nimeambatanisha) inataka tenda itangazwe, wachujwe wenye sifa kabla ya kupewa mkataba, Ila haielewek DP World kashindaje hii tenda/deal? Handpicked?