Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,257
- 34,205
Nimezoea kabla ya DP World kupewa bandari ilikua inachukua walau siku7 mpaka mzigo wako unatoka bandarini ila kwa sasa meli ikiingia bandarini basi hesabu mwezi mmoja au zaidi ndio mzigo wako unaupata!
Hali ni mbaya! Je hawa ndio DP World tuliokua tunaambiwa watafanya bandari yetu iwe ya kisasa?
Hivi samia anajua hii shida ya bandarini?
Hali ni mbaya! Je hawa ndio DP World tuliokua tunaambiwa watafanya bandari yetu iwe ya kisasa?
Hivi samia anajua hii shida ya bandarini?