Dowans: Another Richmond in making?

Dowans: Another Richmond in making?

Wewe unakuwa muongo sasa na ninachukia sana uongo. Did you ask me to show where does the law allows? uongo kabisa huu. I challenged you guys to mention the section of the law banning used equips. You failed. I did show you its regulations and even mentioned the regulation. Ngereja came up to elaborate and quote the regulation. Kwa nini huwi mstaarabu kukubali uliposhindwa.

Eti umeambiwa na watu wa Idara. Idara gani hiyo iliyooza na kuruhusu ufisadi wote huu nchini. Idara gani hiyo ilishindwa kuzuia hiyo kampuni ya Richmond kupata mkataba ule. Idara gani hiyo iliyoruhusu fedha za EPA kuibiwa na kutumiwa na CCM kwenye uchaguzi? Idara gani hiyo iliyoshindwa kuzuia wizi wa MEREMETA na kumdnganya PM kuwa ni pesa za usalama wa taifa?

Kumbe ulikuwa unaambiwa na watu wa Idara ndio maana ulikuwa kama kasuku tu na kushindwa kujibu hoja zangu na badala yake unanitisha unadhain natishika. I am a man of facts and i succumb to facts. Sishindani.


Ama kweli nyani haoni kundule; ikirudiwa kusomwa hii thread, post by post kuanzia jana, kuna mtu atajijua muongo, anatetea ufisadi na element za kifisadi. Tena aliconfess kuspin.

Mjadala umemaliza wewe bana, mla nchi, unayejua sahihi na genuine.
 
Mie nasubiria tu kama muheshimiwa ameiona posti yangu niliyoomba documents za conclusion ya kamati.......
 
Wewe unakuwa muongo sasa na ninachukia sana uongo. Did you ask me to show where does the law allows? uongo kabisa huu. I challenged you guys to mention the section of the law banning used equips. You failed. I did show you its regulations and even mentioned the regulation. Ngereja came up to elaborate and quote the regulation. Kwa nini huwi mstaarabu kukubali uliposhindwa.

Eti umeambiwa na watu wa Idara. Idara gani hiyo iliyooza na kuruhusu ufisadi wote huu nchini.

Mkuu Mh. Zitto, I won't get mad with ur allegations, I will let it slide.

Page 46 ya hii topic, permalink # 453 nilisema hivi::


""kwanza kabisa onus ya kuprove kwamba PPRA inaruhusu kununua mitambo chakavu ni ya kwako, wataalamu wa sheria wamesema kuwa PPRA 2004 hairuhusu kununua mitambo chakavu. Sasa wewe ndio utuambie kuwa PPRA inaruhusu kununua mitambo chakavu na vipengele vyake. Na pse usiongee mambo ya WAIVER maana hili waiver itoke kuna mengi ambayo ni nje ya scope ya hii issue.

Sasa wewe unataka kujustify kununua mitambo ya Dowans mpaka unaanza kuikemea PPRA ambayo imetungwa na BUNGE kwa ajili ya kutuokoa, ama kweli ishi uone. Sisi huku N America ukisikia watu wanasema sijui natumia constitution right yangu kutojibu maswali, huwa tunaconclude kuna walakini, na ukisikia wanasheria wanaingizwa kwenye mambo yanayohusu maslahi ya nchi na wanasiasa ujue tayari kunawalakini, na hapa ni hivyo hivyo.""


Ni hayo tu mkuu.
 
Mkuu Mh. Zitto, I won't get mad with ur allegations, I will let it slide.

Page 46 ya hii topic, permalink # 453 nilisema hivi::


""kwanza kabisa onus ya kuprove kwamba PPRA inaruhusu kununua mitambo chakavu ni ya kwako, wataalamu wa sheria wamesema kuwa PPRA 2004 hairuhusu kununua mitambo chakavu. Sasa wewe ndio utuambie kuwa PPRA inaruhusu kununua mitambo chakavu na vipengele vyake. Na pse usiongee mambo ya WAIVER maana hili waiver itoke kuna mengi ambayo ni nje ya scope ya hii issue.

Sasa wewe unataka kujustify kununua mitambo ya Dowans mpaka unaanza kuikemea PPRA ambayo imetungwa na BUNGE kwa ajili ya kutuokoa, ama kweli ishi uone. Sisi huku N America ukisikia watu wanasema sijui natumia constitution right yangu kutojibu maswali, huwa tunaconclude kuna walakini, na ukisikia wanasheria wanaingizwa kwenye mambo yanayohusu maslahi ya nchi na wanasiasa ujue tayari kunawalakini, na hapa ni hivyo hivyo.""


Ni hayo tu mkuu.

Wewe kumbe uko N. America, kumbe huna tofauti na kina Gire! ungekuwa na uchungu na manunuzi yanayofanywa Tanzania ungekuwa upo Tanzania unapiga kwata na sio kuchonga wakati hata shida ya umeme iliyopo hapa huijuwi na unaisikia tu. Si nyie mkija huku ''kututembelea'' ndio mnatuagiza tuwatayarishie vi-jenereta ili msipate tabu wakati mnapo ''tutembelea'' nyumbani?

Wewe, kutoka huko ulipo umeshauza au umesha jaribu kuuza nini na nini hapa nyumbani? maana ndio zenu hizo, kukusanya mitumba ya kila kitu kinachofikia kupelekwa jalalani huko mliko ndio mnakisukumia huku. Jee wewe hujawahi kuleta mtumba wa chochote nyumbani? Ama kwa kuuza ama kwa ''zawadi'', kama jibu litakuwa ndio. basi kaa kimya usichonge.
 
Mh. Zitto, kuendelea kubishana na hawa jamaa ni sawa na kumpigia mbuzi guitar.

Naona sasa issue hii imekuwa ni agenda ya kuiangusha serikali. Leo kuna vichwa vya habari katika baadhi ya magazeti vikiashiria Dowans kuiangusha serikali. Hiyo inatokana na kauli ya Rais aliyoitoa jana kuwa sheria ya manunuzi isiwe kikwazo katika kutekeleza mipango ya Tanesco ya kuzalisha umeme.

Sasa jamaa wanaopiga sana kelele kuhusu Tanesco kununua mitambo iliyotumika hawapigi kelele kuhusu ATC kununua ndege zilizo tumika wakati sheria ni ile ile.

Hivi ukiangalia haya matumizi ya US$ 60.m kununua mitambo ya Dowans na ukalinganisha na national loss katika uchumi ikiwa kuto nunua kutasababisha viwanda kukosa umeme na hivyo kusababisha watu kukosa kazi, serikali kukosa mapato na makampuni kupata hasara hivi pesa hizo si just a drop in the ocean?

Tataizo hapa ni watu kushindwa kutambua wider implications za mgao wa umeme na kushikilia personal vendetta za akina Rostam etc. jambo ambalo halileti faida yeyote kwa nchi. Hebu jaribuni kuona mambo kwa mapana zaidi..
 
Tataizo hapa ni watu kushindwa kutambua wider implications za mgao wa umeme na kushikilia personal vendetta za akina Rostam etc. jambo ambalo halileti faida yeyote kwa nchi. Hebu jaribuni kuona mambo kwa mapana zaidi..

Mkuu inaonesha wewe huoni tatizo kabisa kioo cha gari lako kikiibwa alafu ukaenda kukinunua pale Gerezani japo unajua ni chako!Huu utamaduni wa kifisadi huu!Kweli sikio la kufa halisikii dawa!
 
Wakuu suala la mitambo ya Dowans limejadiliwa mna na ktk threads mbali mbali humu jamvini. Personally nimeona ni vema tukawa na thread maalum kama mada isemavyo hapo juu. Hii ni kutokana kwamba Tanesco, Zito na kamat yake, na wale wote wanaotaka kutuaminisha kwamba ununuzi huo ni jambo la busara wanaegemea hapo.

1. Eti kuna mkaguzi kutoka ujerumani amekagua mitambo hiyo na kuiona ni ok na mingine ni mipya ikiwa imetembea for only 400 hrs.

2. Eti mitambo hii itaweza kutembea kwa miaka 13 bila kufanyiwa overhaul.

Ningependa kuanza na huyu the so called mkaguzi:

1. Anatoka kampuni gani?

2. Ana qualifications gani?

3. Ana uzoefu gani na kazi kama hii na amewahi kutumika wapi na kampuni zipi?

4. Ana bima yeyote inayotulinda iwapo ikigundulika alituingiza mkenge?

5. Anatambuliwa na Pratt and Whitney kama mkaguzi wa mitambo yao i.e is he a certified inspector?

6. Mtaalamu huyu aliletwa na Dowans au Tanesco na ni lini alianza kuwa contacted?

7. Kama ni Tanesco nini kilipelekea Tanesco kumuita mtaalamu huyu? Ina maana walikuwa na nia ya kununua mitambo hiyo kabla hata ya kuangalia taratibu zingine?

8. Alifanya kazi hiyo ya ukaguzi kwa muda gani?

9. Alitumia method gani kufanya uhakiki?

10. Tanesco ilimpataje mkaguzi huyu? Wangapi waliapply?

11. Je Tanesco ipo tayari kutoa ripoti ya mkaguzi huo?

12. Wakati wa ukaguzi Tanesco iliwakilishwa na nani? Na Dowans pia na nani?

13. Je mtaalamu huyo amewahi kuifanyia kazi yeyote Tanesco au Dowans before?

Well I know some of you might think we are now going in circles on this SAGA.
Lakini vijiswali hivi ni rahisi na vinaweza kujibiwa na Idris au mtaalam yeyote wa Tanesco aliyehusika na mchakato huu in just 10 mins tena bila hata kusoma mahali for any smart kiongozi. Cha msingi hapa na nia ya maswali haya ni kujiridhisha na kamchakatohaka kanakoonekana kujustfy ununuzi wa mitambo hii.

Pia kuna hili la mitambokuwa mipya na eti mingine imetembea masaa 400 tu. Ikumbukwe kuwa mitambo in this new tecnlogical era hauijaji kwa time based bali condition based. That applies kwenye hili la kwamba mitambo hii haitakuwa overhualed in 13 yrs. Nikiwa kama muhandisi hii sentensi naona imekaa kisiasa zaidi kwani overhauling pia ni condition based and not time based. How do you sell me an equipment and tell me it won't be overhauled in so many yrs? Nchofahamu hapa huyu jamaa atakuwa alikuwa nazungumzia PM (Preventive maintenance) ambayo inaweza kuwa say kuna za daily, monthly, yearly na labda hiyo ya say after every 5 or 10 or even 20 yrs fungua hiki au kile angalia pale na hapa. Hii ni staili ya zamani ya maintenance. You don't have to just overhaul a machine et kwa sababu imetembea masaa 100, 000. (Anyways anayehitaji ziada ya hii I am ready to debate ). Ninachoshangazwa hapa ni how huyu mkaguzi ali come up na hiyo miaka 13 -tena kwa mtambo iliyotumika?

Haya yote yanakuja just because historia ya kampuni hii formely known as Richmond ina utata. Tanesco pia ni watata, serikali ni watata. Hivyo basi kuna kila haja Tanesco itoe press release ya kuelezea mtaalam huyu namaswali hapo juu. Si mnakumbuka hata Richmond waliatuambia wamekubaliana na Pratt and Whitney kushirikiana kuzaisha zile 100 MW? of which they any written doc to support that. Sasa hili la mtaalamu mjerumani tunaaminije kirahisi rahisi? Tunamuaminije kirahisi rahisi Dr. Idris wakati ana questionable credibility? Tunaiaminije Tanesco kirahisi rahisi wakati imekuwa ikitudisapoint thousands of times?
 
Last edited by a moderator:
kamati ya nishati na madini misled the public na hasa inaposema turudi bungeni. NO. let the executive do its work and we do our work of oversight...next?

Mheshimiwa sasa tusiporudi bungeni twende wapi? Hiyo 'oversight' kwani inafanyikia wapi? Kwenye vikao na 'Dakta wa Vijisenti'? Au kwenye vikao na wahariri wa magazeti? Tutaiachiaje 'executive' ifanye kazi yake tu? 'Oversight' lazima ifanyike kabla, wakati na hata baada ya hiyo kazi ya ku-'execute'!

Mbunge nasema hivi: Turudi bungeni tukambane kisawasawa kiongozi wa shughuli za Serikali bungeni kuhusu kusuasua kutekeleza maazimio/maagizo ya Bunge la 'Oversight' kuhusu kutatua tatizo la umeme baada ya Kamati Teule ya Bunge kugundua utata na utete wa Richmond na pacha wake Dowans!

Mwanasiasa kumbuka ulisema kwa usahihi kabisa kuwa chama chao ni 'eloctoral machine', yaani, 'mashine ya uchaguzi'. Sasa nishati ya kuendesha mashine hii itapatikanaje baada ya sakata la Richmond? Angalia usije ukawa unashiriki kuongeza 'Watts' kwenye hiyo mashine ya uchaguzi!

Mpinzani dira yako ni kuondoa 'uhodhi' wa chama kimoja na kujenga demokrasi!
 
Tujiulize pia, iwapo Dowans akiamua kumuuzia ESCOM hiyo mitambo na akaanza kusambaza umeme sambamba na tanesco, likely twiga cement alaf na wengine watahamia huko! tanesco watamudu huo ushindani?
 
Wakuu suala la mitambo ya Dowans limejadiliwa mna na ktk threads mbali mbali humu jamvini. Personally nimeona ni vema tukawa na thread maalum kama mada isemavyo hapo juu. Hii ni kutokana kwamba Tanesco, Zito na kamat yake, na wale wote wanaotaka kutuaminisha kwamba ununuzi huo ni jambo la busara wanaegemea hapo.

1. Eti kuna mkaguzi kutoka ujerumani amekagua mitambo hiyo na kuiona ni ok na mingine ni mipya ikiwa imetembea for only 400 hrs.

2. Eti mitambo hii itaweza kutembea kwa miaka 13 bila kufanyiwa overhaul.

Ningependa kuanza na huyu the so called mkaguzi:

1. Anatoka kampuni gani?

2. Ana qualifications gani?

3. Ana uzoefu gani na kazi kama hii na amewahi kutumika wapi na kampuni zipi?

4. Ana bima yeyote inayotulinda iwapo ikigundulika alituingiza mkenge?

5. Anatambuliwa na Pratt and Whitney kama mkaguzi wa mitambo yao i.e is he a certified inspector?

6. Mtaalamu huyu aliletwa na Dowans au Tanesco na ni lini alianza kuwa contacted?

7. Kama ni Tanesco nini kilipelekea Tanesco kumuita mtaalamu huyu? Ina maana walikuwa na nia ya kununua mitambo hiyo kabla hata ya kuangalia taratibu zingine?

8. Alifanya kazi hiyo ya ukaguzi kwa muda gani?

9. Alitumia method gani kufanya uhakiki?

10. Tanesco ilimpataje mkaguzi huyu? Wangapi waliapply?

11. Je Tanesco ipo tayari kutoa ripoti ya mkaguzi huo?

12. Wakati wa ukaguzi Tanesco iliwakilishwa na nani? Na Dowans pia na nani?

13. Je mtaalamu huyo amewahi kuifanyia kazi yeyote Tanesco au Dowans before?

Well I know some of you might think we are now going in circles on this SAGA.
Lakini vijiswali hivi ni rahisi na vinaweza kujibiwa na Idris au mtaalam yeyote wa Tanesco aliyehusika na mchakato huu in just 10 mins tena bila hata kusoma mahali for any smart kiongozi. Cha msingi hapa na nia ya maswali haya ni kujiridhisha na kamchakatohaka kanakoonekana kujustfy ununuzi wa mitambo hii.

Pia kuna hili la mitambokuwa mipya na eti mingine imetembea masaa 400 tu. Ikumbukwe kuwa mitambo in this new tecnlogical era hauijaji kwa time based bali condition based. That applies kwenye hili la kwamba mitambo hii haitakuwa overhualed in 13 yrs. Nikiwa kama muhandisi hii sentensi naona imekaa kisiasa zaidi kwani overhauling pia ni condition based and not time based. How do you sell me an equipment and tell me it won't be overhauled in so many yrs? Nchofahamu hapa huyu jamaa atakuwa alikuwa nazungumzia PM (Preventive maintenance) ambayo inaweza kuwa say kuna za daily, monthly, yearly na labda hiyo ya say after every 5 or 10 or even 20 yrs fungua hiki au kile angalia pale na hapa. Hii ni staili ya zamani ya maintenance. You don't have to just overhaul a machine et kwa sababu imetembea masaa 100, 000. (Anyways anayehitaji ziada ya hii I am ready to debate ). Ninachoshangazwa hapa ni how huyu mkaguzi ali come up na hiyo miaka 13 -tena kwa mtambo iliyotumika?

Haya yote yanakuja just because historia ya kampuni hii formely known as Richmond ina utata. Tanesco pia ni watata, serikali ni watata. Hivyo basi kuna kila haja Tanesco itoe press release ya kuelezea mtaalam huyu namaswali hapo juu. Si mnakumbuka hata Richmond waliatuambia wamekubaliana na Pratt and Whitney kushirikiana kuzaisha zile 100 MW? of which they any written doc to support that. Sasa hili la mtaalamu mjerumani tunaaminije kirahisi rahisi? Tunamuaminije kirahisi rahisi Dr. Idris wakati ana questionable credibility? Tunaiaminije Tanesco kirahisi rahisi wakati imekuwa ikitudisapoint thousands of times?

Ni kweli Nyambala kuna vingi vya kuangalia, hiyo miaka 13 haijitoshelezi, angesema labda kwa mfano kuwa ameona katika ukaguzi wake kuwa mitambo inaweza kufanya kazi bila kufanyiwa overhaul kwa masaa, kama 56,940hrs na kutoa mchanganuo kuwa out of (one year)8760hrs kwa mwaka mitambo itafanya kazi 50% of the one year hrs, ambayo itakuwa masaa 4380hrs kwa mwaka.kwa hiyo ukichukua masaa 56,940hrs gawanya kwa 4,380hrs unapata hiyo miaka 13.. Hiyo haitoshi huo ni mfano mdogo sana wa ufafanuzi
 
Ni kweli Nyambala kuna vingi vya kuangalia, hiyo miaka 13 haijitoshelezi, angesema labda kwa mfano kuwa ameona katika ukaguzi wake kuwa mitambo inaweza kufanya kazi bila kufanyiwa overhaul kwa masaa, kama 56,940hrs na kutoa mchanganuo kuwa out of (one year)8760hrs kwa mwaka mitambo itafanya kazi 50% of the one year hrs, ambayo itakuwa masaa 4380hrs kwa mwaka.kwa hiyo ukichukua masaa 56,940hrs gawanya kwa 4,380hrs unapata hiyo miaka 13.. Hiyo haitoshi huo ni mfano mdogo sana wa ufafanuzi

Tht is wht puzzels me freetown kuna uwezekano mkubwa kabisa mtaalamu huyo ni changa la macho!!!!! Hawa jamaa zetu si tunawajua hawaishi kutufanya mazezeta
 
wakuu huu mjadala nafkiri umeshaisha. Huu mjadala naamini umekua mrefu baada ya wananchi kuona mpiganaji wao(aliyekua), akihama kambi mchana kweupe. Ni kawaida kutokea hizi reaction unapokumbwa na mkasa kama huu wa kupotelewa na mpendwa wako. kuna zile stages za kupitia yani denial, anger, agitation, grieving and finally acceptance.

Ishara kuwa mpambanaji katutoka alishaziweka wazi, pitia thread polepole. Binafsi, nilitakiwa kunawa mikono alipotangaza kuwa yuko kwenye kipindi cha lala salama.Kwa maana hategemei kura zenu wananchi 2010, approval ratings hazina tena maana, sababu hana mpango wa kurudi bungeni. Hivi bado hamuelewi hio message???.... Anataka kustaafu afanye kazi anazozipenda hata kama hazilipi. Hayo ya kukutana na proxys wa Rostam for hours sijayasema mimi, ila raia wana macho.

Najua wengine tutampinga sababu tunaweza kuwa katika moja ya hizo stages hapo juu za kukabiliana na janga la kupoteza mpendwa. Ila mimi hatimaye nimefikia acceptance, kuwa yaliotokea yametokea. Tusikate tamaa, tuanue matanga, tusonge mbele....

Dowans kapata alichotaka, Rostam kapata alichotaka, na Zitto kapata alichotaka. Losers wa whole this ni wananchi ambao hizo hela wataenda kutengezewa fulana za gramu 10, wagawiwe bure 2010.
 
Last edited:
Mh. Zitto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma ambayo hivi karibuni imejitosa katika malumbano na Kamati ya Nishati na Madini chini ya Mweyekiti wake Mh. Shelukindo. Malumbano na Mabishano ya Kamati hizi za Bunge kuhusu ununuzi wa Mitambo chakavu ya kufua Umeme ya Dowans kama ilivyoombwa na TANESCO.

Mh. Zitto amekaririwa na Magazeti kadhaa akisema ni vema TANESCO iruhusiwe kununu mitambo hiyo kinyume na ushauri wa Kamati ya Shelukindo na Sheria ya manunuzi ya Umma. Hili limenishangaza sana kwa sababu mitambo hiyo ya Dowans ndiyo hiyohiyo ya Richmond ambayo imetuibia mabilioni ya shilingi na kuisabishia Serikali kashfa kubwa.

My stand.
NAchokiona hapa ni kuwa Mbunge wetu MhZitto amejiingiza kichwa kichwa kwenye siasa za makundi za CCM na kwa hilo atakuja jutia uamuzi wake wa kutaka Mafisadi watuuzie mitambo ile chakavu. Zitto anamfahamu fika mmliki wa Dowans na nguvu zake alizo nazo na kwa kuruhusu atuuzie mitambo hiyo ni kumuongezea nguvu Rostam na naamini hatauza mitambo hiyo kwa hasara na tutakuwa tumemfaidisha mara mbili-kwanza kumlipa mabilioni ya kutuuzia umeme na kisha kutuuzia mitambo hiyo.

Hivi Mh. Zitto, ni lazima kuinunua mitambo hiyo? Je , una uhakika kuwa tutauziwa mitambo hiyo kwa fair price? Inafahamika wazi kuwa MD wa TANESCO- Dk Rashid anatuhumiwa kwa Ufisadi na kuwa alipokea mgawo wa Rada na hilo hajalikanusha na kwa hiyo uadilifu wake ni wakutiliwa shaka. Nashangaa Zitto halioni hilo kiasi cha kumjuamini Dk Rashid.

Ninachokiaona hapo ni kuwa Zitto anatumika ama akijua hivyo au kwa kutokujaua na mpaka sasa ni wazi kuwa msimamo wa Zitto na Kamati yake ni kinyume na matazimio ya Watanzania maana biashara hii imejaa maswali mengi kuliko majibu na WaTZ wengi tunaitilia shaka biashara hiyo na kwa maana hiyo tunamtilia shaka kila anayetetea uamauzi wa kuinunua mitambo hiyo.

Ombi langu ni kuwa Shera ya Manunuzi ya Umma ifuate na kwa kuwa ni Bunge ndilo lililopitisha Sheria hiyo Mh. Zitto kama Mbunge hana sababu ya kutaka TANESCO na SErikali zikiuke sheria hiyo; utakuwa ni upuuzi na upumbavuy mkubwa tujiwekee sheria ambazo sisi wenyewe hatuzifuati. Tunachokiona hapa ni yale yale- Mchakato wa kuiteua Richmond kuleta majenereta ilikiuka sheria hiyo na Kamati ya Mwakyembe ilithibitisha hilo, na mrithi wa Richmond (Dowans) naye anatupeleka kukiuka sheria hiyo tena safari hii kwa shinikizo la Wabunge wenyewe!

Ombi langu kwa MH. Zitto ni kuwa mambo ya Ngoswe amwachie Ngoswe mwenyewe, Richmond na Dowans watuumiza sana na hatuwaamini tena kwa kiyo Zitto kuuanga mkono wa kuwafaidisha wezi na Mafisadi ni kujidhalilisha na kujishuhia hadhi kwnye machoo ya WaTZ.

Mh. Zitto, unasifika kwa msimamo usiyoyumba lakini huo msimamo katika hili la TANESCO na Dowans-Richmond ni batili kabisa.
 
Kama atakusikia vile.....
Mwenzio keshasema huko kugombea ubunge haji tena,anaenda kufundisha.So suala hapa ni kuwa anaweza kuivuruga perception ya wananchi kuhusu upinzani kwa ujumla!
Anataka wakutane kamati mbili ili waondoe mvutano wao(ikumbukwe kuwa kamati ya nishati na madini waliionya serikali kuhusu mitambo ya Dowans),papo hapo anasema yeye hakuwa anaipigia debe mitambo hiyo!Sasa mvutano uliokuwepo ni upi hasa???Sheria si zipo,kwanini zisichukue mkondo wake na tukapata mitambo mipya na guarantee.Alianza kwa kuongea kuhusu nchi kuingia gizani,ila baada ya waziri kusema tofauti naye amekuwa kinyonga.Hivi anadhan tumeshasahau yale aliyoyasema TBC1 kuhusu faida za kununua mitumba hiyo?Hakika inawezekana Mwl aliona mbali sana aliposema kuwa upinzani wa kweli utatoka CCM.Maana hawa wengine washatuonyesha rangi zao mapema.Im totally disappointed by the opposition(CHADEMA) on this.
 
Ishara kuwa mpambanaji katutoka alishaziweka wazi, pitia thread polepole. Binafsi, nilitakiwa kunawa mikono alipotangaza kuwa yuko kwenye kipindi cha lala salama.Kwa maana hategemei kura zenu wananchi 2010, approval ratings hazina tena maana, sababu hana mpango wa kurudi bungeni. Hivi bado hamuelewi hio message???.... Anataka kustaafu afanye kazi anazozipenda hata kama hazilipi.

Hapana. Usikate tamaa na kukubali matokeo kirahisi hivyo. Rejea alichosema. Mpiganaji anaenda kuongeza uzamivu kwenye elimu. Analiachia jimbo lake kwa mpinzani. Mahesabu yake ni makali. Kati ya 2010 na 2015 anajijenga zaidi kitaaluma ili awe na uwezo wa kuchambua na kuhoji kila kitu kama Profesa wake Shivji. Kisha anarudi na gia mpya 2020.Sijui gia hiyo ya kuingilia itakuwaje ila inaweza ikawa chama kipya au muungano wa vyama. Huyo ndio Rais wako mtarajiwa. Jiandae kumpa kura yako ya ndiyo.
 
Kama atakusikia vile.....
Mwenzio keshasema huko kugombea ubunge haji tena,anaenda kufundisha.So suala hapa ni kuwa anaweza kuivuruga perception ya wananchi kuhusu upinzani kwa ujumla!
Anataka wakutane kamati mbili ili waondoe mvutano wao(ikumbukwe kuwa kamati ya nishati na madini waliionya serikali kuhusu mitambo ya Dowans),papo hapo anasema yeye hakuwa anaipigia debe mitambo hiyo!Sasa mvutano uliokuwepo ni upi hasa???Sheria si zipo,kwanini zisichukue mkondo wake na tukapata mitambo mipya na guarantee.Alianza kwa kuongea kuhusu nchi kuingia gizani,ila baada ya waziri kusema tofauti naye amekuwa kinyonga.Hivi anadhan tumeshasahau yale aliyoyasema TBC1 kuhusu faida za kununua mitumba hiyo?Hakika inawezekana Mwl aliona mbali sana aliposema kuwa upinzani wa kweli utatoka CCM.Maana hawa wengine washatuonyesha rangi zao mapema.Im totally disappointed by the opposition(CHADEMA) on this.

Labda akafundishe nchi nyingine. Ni afadhali ajitoe tu upinzani bila vurugu ili kulinda heshima yake na michango yake Bungeni na kulinda heshima ya Wapinzani ambayo alishiriki kuijenga kuliko kuibomoa kwa faida zake binafsi.

Akumbuke kuwa Wananchi wa Mwandiga, Bitale, Kalinzi na Matyazo walimchagua si kwa sababu ya Chama chake bali kwa kuwa walishaichoka CCM na hadi sasa hawajajutia msimamo wao kwa jinsi Zitto alivyoinukia kuwa mtu makini nchini. Akitusaliti siku akirudi huko tutampopoa kwa mawe!
 
Mh. Zitto, unasifika kwa msimamo usiyoyumba lakini huo msimamo katika hili la TANESCO na Dowans-Richmond ni batili kabisa.
Hayo ni mawazo yako binafsi...Wengine wana mawazo tofauti kabisaaa!
 
Msimamo wake tete umekuwa gharama kubwa sana kwa chama na taifa! Inasikitisha na kutisha.
 
Mitambo ya Dowans iko Tanzania kwa sasa, installed, tested and commissioned. Kama Tanesco itaweza ku-negotiate a good deal na Dowans, why not kuinunuwa? Imagine, tatizo la kusubiri kwenye kiza kipindi kisichopunguwa mwaka cha kuanza uchambuzi, uagizaji, ufungaji, majaribio hadi kuikabidhi kwa Tanesco....Duhh. Nadhani hapa inabidi tuinunuwe hii ya Dowans tu. Tena nna uhakika itakuwa kwa bei poa.

This where you are very wrong! Do your research. Unadhani kwanini mjadala umezuka hapa. Ingekuwa bei poa wala wana JF wasingemind.
Na kwa taarifa yako, serikali huwa hainunui vitu vyake kama mama ntilie. Serikali inawajibika kutangaza kuwa inahitaji kununua mitambo, then supplies mbalimbali wanajitokeza.Supplier mwenye deal nzuri ndio anakubaliwa- hii inaitwa kutangaza tenda. Kitu hicho hakizungumziwi katika ununuzi huu wa mitambo ya dowans, hapo ndio inaonekana miujiza. Hata kununua karatasi za ofisi huwa tenda zinatangazwa, sasa kwa nini mitambo mikubwa kama hii inunuliwe ''kiholela'' kama mama ntilie anavyonunua nyanya- Bwana Chakubanga kaniletea nyanya mpaka hapa jikoni, kwanini niziache hizi niende sokoni, kwanza leo jua kali kwelikweli afadhali alivyokuja!
Serikali sio mgahawa wa mama ntilie. Msinunue nyanya za chakubanga kwa sababu kawaletea mpaka jikoni, fuateni taratibu za kujua sokoni kuna options gani nyingine.
 
Back
Top Bottom