Ndugu yangu, mimi siwezi kujustify mitambo ya DOWANS inunuliwe. I can not do that. Sina mamlaka hayo na sina motivation ya kufanya hivyo. I am bringing sense into you my friend. Sheria ya Manunuzi ya Umma ya mwaka 2004 iliyotungwa na Bunge haikatazi kununua vifaa vilivyotumika. It was a spin to serve a certain purpose na sote tukawa tunanukuu bila kutaja ni kipengele kipi cha sheria. Kwa nini wabunge wadanganye Umma ili kujenga hoja yao? Huu ni mjadala mpya kabisa.
Kanuni za manunuzi zinazotungwa na Waziri kwa govt gazzette ndizo zinaelekeza kuwa 'pale inapowezekana, vifaa vinavyonunuliwa viwe vipya'
Kamati ya Nishati na Madini overstepped its mandate and thats why POAC asked for a joint meeting. Joint meeting isnt forthcoming and we wrote to advise the minister to support TANESCO acquire turbines (not necessarily those of DOWANS)
Sheria ya manunuzi ya mwaka 2004 husomwa pamoja na kanuni zake, hii ina maana GN. No. 97 (THE PUBLIC PROCUREMENT (GOODS, WORKS,NON-CONSULTANT SERVICES AND DISPOSAL OF PUBLIC ASSETS BY TENDER) REGULATIONS, 2005; ni sehemu ya sheria hiyo kwa kuwa zimetengenezwa chini ya sheria husika na kutangazwa katika gazeti la serikali.
Kwenye kanuni hiyo hapo juu sehemu ya IV kifungu cha 58 (1)-(6), nina vinukuu hapa chini:
"58.-(1) For the purposes of these Regulations, "motor vehicles and heavy plant" include both fixed and movable plant such as engines, boilers, lories, motor cars, motor cycles,
tractors, road rollers, motor graders, etc.
(2) The ministry responsible for matters related to electrical, machinery and mechanical engineering shall prepare detailed and acceptable schedule of requirements and specifications which shall be made available to the Authority for use by the procuring entities when procuring for such items.
(3) Motor vehicles, heavy plant and spare parts to be purchased shall be brand new
(4) The Secretary to the Cabinet may, on the direction of the Cabinet and on the advise of the ministry responsible for matters related to electrical, machinery and mechanical engineering, determine the type, make and size of motor vehicles or other motorised equipment to be procured for official use of specified state officials or other senior government officer. After that determination, the Secretary to the Cabinet shall issue a circular specifying the type, make or
size of the preferred vehicles for that purpose.
(5) The preferred motor vehicles or other motorised equipment as determined under sub-regulation (4) of this Regulation, shall be procured either directly from the manufacturer of the said motor vehicles or through competitive quotations from reputable authorised local and international
suppliers or dealers of the specified vehicles.
(6) The procurement shall require the prior written approval of the tender board."
Kwa mujibu wa kifungu cha (3), kwenye kanuni hii, hakuna suala la "pale inapowezekana". Ila ni lazima mitambo na mashine viwe mpya (
Motor vehicles, heavy plant and spare parts to be
purchased shall be brand new)
Neno "Shall' linapotumika kwenye sheria, linaweka msisitizo kuwa ni lazima, na sio vinginevyo.
Well, tuendelee kujadili.