Mh, kwanza nakupongeza kwa kuwa Waziri mpya wa Nishati. Nina imani na wewe!
Mhe, kutokana na imani niliyonayo kwako.. nisingependa kuona unaharibu kama alivyofanya mtangulizi wako. Hivyo basi nakushauri kufanya yafuatayo :
1. Tengua bodi aloteua Makamba. Bodi imejaa watu wenye makando kando mengi. Haiwezi kukufikisha unapotaka. Weka watu makini bila kuzingatia uswahiba, udini wala undugu.
2. Pitia mikataba yote aliyoingia Makamba. Katika hili uwe makini kweli, uwe imara na mzalendo. Mikataba isiyofaa achana nayo na penye kurekebishika fanya hivyo.
3. Fuatilia kwa kina Mradi wa Gesi ya Mtwara. Ikiwa ni pamoja na mapitio mapya ya mkataba wa waliopewa mradi.
4. Pitia upya mradi wa ujenzi wa bwawa la Nyerere. Hakika Makamba alivuruga sana pale ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa zilizojaa ukakasi!
5. Wizara yako imejaa wapiga deal wengi, wengine wanaweza kuwa wale unaowaheshimu na kuwaogopa. Hakikisha unasimamia weledi! Hata wakikutoa ukweli wako utasimama daima na kukutetea.
Nb: Nafasi ya unaibu PM ni ya utata flani na haipo kikatiba. Hakikisha unakuwa nayo makini sana.
Nakutakia kila lakheri!
Mhe, kutokana na imani niliyonayo kwako.. nisingependa kuona unaharibu kama alivyofanya mtangulizi wako. Hivyo basi nakushauri kufanya yafuatayo :
1. Tengua bodi aloteua Makamba. Bodi imejaa watu wenye makando kando mengi. Haiwezi kukufikisha unapotaka. Weka watu makini bila kuzingatia uswahiba, udini wala undugu.
2. Pitia mikataba yote aliyoingia Makamba. Katika hili uwe makini kweli, uwe imara na mzalendo. Mikataba isiyofaa achana nayo na penye kurekebishika fanya hivyo.
3. Fuatilia kwa kina Mradi wa Gesi ya Mtwara. Ikiwa ni pamoja na mapitio mapya ya mkataba wa waliopewa mradi.
4. Pitia upya mradi wa ujenzi wa bwawa la Nyerere. Hakika Makamba alivuruga sana pale ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa zilizojaa ukakasi!
5. Wizara yako imejaa wapiga deal wengi, wengine wanaweza kuwa wale unaowaheshimu na kuwaogopa. Hakikisha unasimamia weledi! Hata wakikutoa ukweli wako utasimama daima na kukutetea.
Nb: Nafasi ya unaibu PM ni ya utata flani na haipo kikatiba. Hakikisha unakuwa nayo makini sana.
Nakutakia kila lakheri!