T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,650
- 34,938
Tukizuia vijana watafanya uzalishaji na kuongeza ajira. Hivi unataka kuniambia viti vya mbao vikizuiwa kuagizwa China vijana watakosa kuvitengeneza?Tukizuia Vijana watafanya biashara gani?
Tukizuia kuagiza ndala na yeboyebo watu watatembea peku?
Zuia vitenge kutoka China uone kama viwanda vya Urafiki na wenzake havikui, uone kama wakulima hawalimi pamba