Noti za dola chini ya mwaka 2006,kubadilisha ni kazi kwa Dar

Malungwana

Senior Member
Sep 14, 2013
185
97
Habari wana jamvi?

Naomba kuuliza kwa wanaofahamu na kujua sababu, ni kwa nii noti za USD hasa za noti ya dola 100, ambazo zinamwaka chini ya 2006 inakua ni ngumu/haiwezekani kabisa kuzibadilisha ukiwa Dar? kuna sababu gani hasa ya msingi na kwa nn zinakataliwa? je BOT au taasisi za kifedha zinafahamu hili? na kama zinafahamu, kupitia jukwaa hili naomba leo litolewe darasa la sababu gani hasa inapelekea hivyo?

Nilikua Dar juzi,mimi nilikua na rafiki zangu kutoka USA, tukawa sasa tunataka kwenda kutembelea mbuga ya mikumi, sasa hatukua na fedha za kitanzania za kutosha, ikabidi tuende ku change kwenye maduka ya kubadilishia fedha, cha kushangaza wakawa wanaangalia mwaka wa not, zile ambazo ni chini ya 2006 wanaturudishia wanasema hizi hazitakiwi, sasa wale wenzangu wakawa wanashangaa, pesa hizo wametoka nazo USA na nchini mwao zinatumika, inakuaje nchi ambazo sio pesa zao wazikatae? tena kuna mdada mmoja katika hilo duka la kubadilishia fedha akawa anajibu kwa ukali na kujiamini kabisa, kua hizo pesa hazitakiwi na aliyekupa anatakiwa kushtakiwa kabisa.....mpaka tukamshangaa,

Noti hizohizo tulipokua Zanzibar yaani wala hazikua na tatizo tena wanabadilisha bila wasiwasi, tatizo ni Dar, hv ni kwa nn?

Naomba kujulishwa kwa wenye uelewa wa hili jambo.
 
Kwangu Mimi kweli sijui kwa nini zinakataliwa ila nimegundua kitu kimoja kwenye post yako kwamba m'bongo akipata kazi nzuri anakuwa yeye ndio anajua kila kitu, anawaona wengine hawana akili, sasa huyo Dada alikuwa anafoka nini,
 
Habari wana jamvi?

Naomba kuuliza kwa wanaofahamu na kujua sababu, ni kwa nii noti za USD hasa za noti ya dola 100, ambazo zinamwaka chini ya 2006 inakua ni ngumu/haiwezekani kabisa kuzibadilisha ukiwa Dar? kuna sababu gani hasa ya msingi na kwa nn zinakataliwa? je BOT au taasisi za kifedha zinafahamu hili? na kama zinafahamu, kupitia jukwaa hili naomba leo litolewe darasa la sababu gani hasa inapelekea hivyo?

Nilikua Dar juzi,mimi nilikua na rafiki zangu kutoka USA, tukawa sasa tunataka kwenda kutembelea mbuga ya mikumi, sasa hatukua na fedha za kitanzania za kutosha, ikabidi tuende ku change kwenye maduka ya kubadilishia fedha, cha kushangaza wakawa wanaangalia mwaka wa not, zile ambazo ni chini ya 2006 wanaturudishia wanasema hizi hazitakiwi, sasa wale wenzangu wakawa wanashangaa, pesa hizo wametoka nazo USA na nchini mwao zinatumika, inakuaje nchi ambazo sio pesa zao wazikatae? tena kuna mdada mmoja katika hilo duka la kubadilishia fedha akawa anajibu kwa ukali na kujiamini kabisa, kua hizo pesa hazitakiwi na aliyekupa anatakiwa kushtakiwa kabisa.....mpaka tukamshangaa,

Noti hizohizo tulipokua Zanzibar yaani wala hazikua na tatizo tena wanabadilisha bila wasiwasi, tatizo ni Dar, hv ni kwa nn?

Naomba kujulishwa kwa wenye uelewa wa hili jambo.
Zimepitwa na wakati kwa upande wa Bank zetu Tanzania, Lakini kuna bureau Chache zinapokea Dollar hata za mwaka 1993.Bank kuu inatoa pesa za madafu tu hivyo biashara ya dollar inayofanywa na mabenki Tanzania wanauziana na kununua Dollar wenyewe kwa wenyewe Bank kuu haihusiki na hizi biashara za Dollar, Mara nyingi Bank ikiishiwa dollar inanunua kwa Bank nyingine hawaendi Bank kuu ya Tanzania, Mpaka sasa kuna dollar mpya za kisasa za 100 sokoni hizo nyeupe zipo ila zinapokelewa kuanzia 2006.
 
Kazi nyingine ya kikosi cha secret service si kumlinda rais wa marekani peke yake pia na kuhakikisha federal reserved system FRS ya marekani inakuwa safe and secure kumbuka hata majangili wanatengeneza fedha na kujaribu kuziingiza kwenye mzunguko hata marekani mpaka Leo wanapambana na kuzuia fedha bandia kuingizwa katika mzunguko wao pia dola ni fedha inayotumika dunia nzima ktk maswala ya manunuzi, malipo na mikopo so mahitaji ya dola ni makubwa sana duniani

Fedha ya dola inayotumika duniani inatoka kwenye taasisi inaitwa bureau of engraving and printing (BEP) hii ni taasisi inayoshugulikia uchapishaji na usambazaji wa fedha ya marekani kuna viwanda viwili ndani ya marekani kimoja kipo fort Worth TEXAS na Kingine kipo nje kidogo ya jiji Washington karibu na yaliyokuwa makao makuu ya kampuni na viwanda vya kutengeneza ndege vya Boeing Everett Washington bt now Boeing makao makuu wameanishia north riverside illinois Chicago hapo ndo sehemu zinapochapishwa fedha za marekani ndio inasambazwa na kuingizwa kwenye mzunguko duniani

Kiwanda cha Washington cha( tour and visitor centre) chenye uwezo wa kutengeneza kiasi cha dollar million 28 par hour na ndio fedha zinazotoka pale nying ndo zinaingia wenye nzunguko dunian na pia wameweka expire date ya ela yao ili kuweza kujua ni kiasi gani cha fedha kipo katika mzunguko duniani na pia kudhibiti mijitu inayoficha ela kwenye masandarusi na ndoo coz ikifika mda fedha inaexpire so ikiexpire mkononi mwako itakuwa ni taratasi tu coz huwezi kufanya manunuz yeyote popote pale kwani itakuwa imeondolewa kwenye mzunguko nadhani ni miaka 10 so ela iliyotengenezwa juu ya miaka 10 yani inayokubalika sasa sokoni ni yakuanzia 2007 wao hawasubili mpaka fedha kuchanika au kuchakaa kama tunavyofanya ss

NOTE: Matumizi ya miaka kumi kwa fedha ya dola yamewekwa kwa nje ya US lakini ndani ya US inatumika na inaondolewa kwenye mzunguko kama ilivyo huku ndio maana dola ya 2006 inatumika US lakni nje ya US inaonekana kama imekwisha mda wake wa matumizi
 
Kazi nyingine ya kikosi cha secret service si kumlinda rais wa marekani peke yake pia na kuhakikisha federal reserved system FRS ya marekani inakuwa safe and secure kumbuka hata majangili wanatengeneza fedha na kujaribu kuziingiza kwenye mzunguko hata marekani mpaka Leo wanapambana na kuzuia fedha bandia kuingizwa katika mzunguko wao pia dola ni fedha inayotumika dunia nzima ktk maswala ya manunuzi, malipo na mikopo so mahitaji ya dola ni makubwa sana duniani

Fedha ya dola inayotumika duniani inatoka kwenye taasisi inaitwa bureau of engraving and printing (BEP) hii ni taasisi inayoshugulikia uchapishaji na usambazaji wa fedha ya marekani kuna viwanda viwili ndani ya marekani kimoja kipo fort Worth TEXAS na Kingine kipo nje kidogo ya jiji Washington karibu na yaliyokuwa makao makuu ya kampuni na viwanda vya kutengeneza ndege vya Boeing Everett Washington bt now Boeing makao makuu wameanishia north riverside illinois Chicago hapo ndo sehemu zinapochapishwa fedha za marekani ndio inasambazwa na kuingizwa kwenye mzunguko duniani

Kiwanda cha Washington cha( tour and visitor centre) chenye uwezo wa kutengeneza kiasi cha dollar million 28 par hour na ndio fedha zinazotoka pale nying ndo zinaingia wenye nzunguko dunian na pia wameweka expire date ya ela yao ili kuweza kujua ni kiasi gani cha fedha kipo katika mzunguko duniani na pia kudhibiti mijitu inayoficha ela kwenye masandarusi na ndoo coz ikifika mda fedha inaexpire so ikiexpire mkononi mwako itakuwa ni taratasi tu coz huwezi kufanya manunuz yeyote popote pale kwani itakuwa imeondolewa kwenye mzunguko nadhani ni miaka 10 so ela iliyotengenezwa juu ya miaka 10 yani inayokubalika sasa sokoni ni yakuanzia 2007 wao hawasuhili mpaka ela ichanike au kuchakaa kama tunavyofanya ss

NOTE matumizi ya miaka kumi kwa fedha ya dola yamewekwa kwa nje ya US lakini ndani ya US inatumika na inaondolewa kwenye mzunguko kama ilivyo huku ndio maana dola ya 2006 inatumika US lakni nje ya US inaonekana kama imekwisha mda wake wa matumizi
Asante Mkuu kwa maelezo mazuri.
Mdau anasema mbona Zanzibar waliwabadirishi pesa bila usumbufu?
 
Asante Mkuu kwa maelezo mazuri.
Mdau anasema mbona Zanzibar waliwabadirishi pesa bila usumbufu?
Watakubadilisha kama hawajuhi money policy act( MPA ) inayosimamia ku supply and monitoring Usd currently nje ya mipaka ya US ambayo inasimamiwa na federal reserved system( FRS )ya marekani

Lakini huko wanapozipeleka watapata hasara kwani zikija kuchakaa na kuitajika kurudishwa kiwandani fedha zote za juu ya miaka kumi thamani yake inahesabiwa ni nusu ya fedha kama ilikuwa note ya dola 100 thamani yake wanahesabu kama dola 50 so ni hasara kwa waliokuchenjia
 
Mkuu unachokisema ni sahihi niliwah kufanya kazi moja ya 5 star iliyopo DSM tulikua na utaratibu Wa kukagua muda iliyotolewa fedha ambao kwa kipindi hicho tulikua tunapokea USD ya kuanzia 2006 kuja juu chini ya hapo tulikua hatuzikubali na moja ya sababu ni kushuka kwa thamani halisi ya dollar ya kizamani ktk mzunguko halisi Wa thamani ya pesa kwa sasa
 
Mkuu unachokisema ni sahihi niliwah kufanya kazi moja ya 5 star iliyopo DSM tulikua na utaratibu Wa kukagua muda iliyotolewa fedha ambao kwa kipindi hicho tulikua tunapokea USD ya kuanzia 2006 kuja juu chini ya hapo tulikua hatuzikubali na moja ya sababu ni kushuka kwa thamani halisi ya dollar ya kizamani ktk mzunguko halisi Wa thamani ya pesa kwa sasa
Huwa wanapata hasara wakibadilisha kwani thamani yake inakuwa ni nusu ya thamani ya fedha
 
Kwangu Mimi kweli sijui kwa nini zinakataliwa ila nimegundua kitu kimoja kwenye post yako kwamba m'bongo akipata kazi nzuri anakuwa yeye ndio anajua kila kitu, anawaona wengine hawana akili, sasa huyo Dada alikuwa anafoka nini,
Sana na tena wanajibu kwa nyodo
 
Kazi nyingine ya kikosi cha secret service si kumlinda rais wa marekani peke yake pia na kuhakikisha federal reserved system FRS ya marekani inakuwa safe and secure kumbuka hata majangili wanatengeneza fedha na kujaribu kuziingiza kwenye mzunguko hata marekani mpaka Leo wanapambana na kuzuia fedha bandia kuingizwa katika mzunguko wao pia dola ni fedha inayotumika dunia nzima ktk maswala ya manunuzi, malipo na mikopo so mahitaji ya dola ni makubwa sana duniani

Fedha ya dola inayotumika duniani inatoka kwenye taasisi inaitwa bureau of engraving and printing (BEP) hii ni taasisi inayoshugulikia uchapishaji na usambazaji wa fedha ya marekani kuna viwanda viwili ndani ya marekani kimoja kipo fort Worth TEXAS na Kingine kipo nje kidogo ya jiji Washington karibu na yaliyokuwa makao makuu ya kampuni na viwanda vya kutengeneza ndege vya Boeing Everett Washington bt now Boeing makao makuu wameanishia north riverside illinois Chicago hapo ndo sehemu zinapochapishwa fedha za marekani ndio inasambazwa na kuingizwa kwenye mzunguko duniani

Kiwanda cha Washington cha( tour and visitor centre) chenye uwezo wa kutengeneza kiasi cha dollar million 28 par hour na ndio fedha zinazotoka pale nying ndo zinaingia wenye nzunguko dunian na pia wameweka expire date ya ela yao ili kuweza kujua ni kiasi gani cha fedha kipo katika mzunguko duniani na pia kudhibiti mijitu inayoficha ela kwenye masandarusi na ndoo coz ikifika mda fedha inaexpire so ikiexpire mkononi mwako itakuwa ni taratasi tu coz huwezi kufanya manunuz yeyote popote pale kwani itakuwa imeondolewa kwenye mzunguko nadhani ni miaka 10 so ela iliyotengenezwa juu ya miaka 10 yani inayokubalika sasa sokoni ni yakuanzia 2007 wao hawasubili mpaka fedha kuchanika au kuchakaa kama tunavyofanya ss

NOTE: Matumizi ya miaka kumi kwa fedha ya dola yamewekwa kwa nje ya US lakini ndani ya US inatumika na inaondolewa kwenye mzunguko kama ilivyo huku ndio maana dola ya 2006 inatumika US lakni nje ya US inaonekana kama imekwisha mda wake wa matumizi
Nimekuelewa sana mkuu, ila wenye Bureu de change wengi wanakataa tu na hawana reasons, sasa inakua inasumbua sana, watu hawajui ni kwa nini zinakataliwa, kwa mfano mtu mmoja yeye anafanya kazi ya Tour Operator,yeye alilipwa na wageni kutoka USA na baadhi ya noti zilikua ni chini ya 2006, wageni wanasema sisi tumeshakulipa ni hela halali na tunataka service, jamaa alihangaika sana......tatizo ni kua wamiliki wa maduka ya kubadilisha fedha hawatoi elimu sahihi kwa wateja wao....sasa nimekuelewa,ila hawa jamaa wa Zanzibar sijui wanazifanyaje baadae, maana hua wanazichukua tu na sasa watu wengi wa Dar, wakipokea pesa kama hizo basi wanazipeleka Zanzibar na zina chenjiwa bila tatizo
 
Zimepitwa na wakati kwa upande wa Bank zetu Tanzania, Lakini kuna bureau Chache zinapokea Dollar hata za mwaka 1993.Bank kuu inatoa pesa za madafu tu hivyo biashara ya dollar inayofanywa na mabenki Tanzania wanauziana na kununua Dollar wenyewe kwa wenyewe Bank kuu haihusiki na hizi biashara za Dollar, Mara nyingi Bank ikiishiwa dollar inanunua kwa Bank nyingine hawaendi Bank kuu ya Tanzania, Mpaka sasa kuna dollar mpya za kisasa za 100 sokoni hizo nyeupe zipo ila zinapokelewa kuanzia 2006.
Asante, kama unazijua Dar es salaam Bureu de change, zinazopokea, please nitajie
 
Nenda mitaa ya Samora opposite na Star Tv au karibu na PPf head office,kwa ufupi moneylink bureau
 
Asante Mkuu kwa maelezo mazuri.
Mdau anasema mbona Zanzibar waliwabadirishi pesa bila usumbufu?
Zanzibar baadhi ya bureau de change wanazipokea tena kwa rate ya chini na sababu kuu ya msingi wamiliki wa zile bureau pia ni importer wa bidhaa kutaoka mataifa mabli mbali kwa hiyo wanasafiri nazo na kwa inakuwa faida kubwa kwa maana wamezibadili kwa rate ndogo 100$ ya 1993 wanaweza kukupa 150 000 na juu ya hapo kama 2000 wanakupa flat rate ya 200 000 kwa $100
 
Back
Top Bottom