INTRODUCTION.
Mr. Liverpool kwa maisha ni mfanyakazi, mfanyabiashara na mmiliki wa vipande kwenye mutual fund..
Nasoma(ga) sanaa watu humu wanasifia FOREX, Mutual Funds (hasa UTT), Government bonds and bills na fixed deposits.
BODY:-
Soko la pesa Tanzania sio kubwa kiasi kwa maana kuna hisa...
https://www.youtube.com/watch?v=KWyWzuAujVI
The Youth Agency Mufindi (YAM) project, with a vision to invest in avocado farming in Mufindi district, Iringa region, has expressed concerns over the potential further decline in avocado market due to increased farmers' participation. They urge the...
Hello everyone...!
I hope you are doing fine..I am posting this thread because I believe there will be someone here who is dealing with this issue
My name is Festo Kaguo and I'm a freelancer researcher. Few weeks ago I met with a training company from UAE that provides training opportunities...
Asubuhi hii nasikiliza taarifa ya habari, nasikia Zanzibar nako serikali ya huko imetangaza Bei Elekezi kwa sukari!
Nafika ofisini mapema n inabidi nijiulize kwa makini.
Nini maana ya bei elekezi?
Hii ni bei iliyopangwa na serikali baada ya kuondoa gharama zote za uzalishaji, na kuongeza...
Licha ya elimu yake ndogo ya Darasa la 7, Mzee Kishimba alianza biashara akiwa na miaka 14 baada ya kuacha shule na kukimbilia kuchimba madini ya Dhahabu katika mikoa ya Kanda ya Ziwa. Kwa sasa amejijengea jina kubwa Bungeni kwa miongoni mwa Wabunge wanaotoa hoja za kipekee sana na michango...
Kwa zaidi ya siku 10 nimekuwa nikitafuta dola 12,000 kwa ajili ya kuweza kuagiza vitu fulani China.
Nimezunguka kwenye mabenki yote makubwa, jibu lao hatuna USD. Nimeenda bureau de change, nako nimezunguka sana.
Jana jioni nikafika kwenye duka moja la kubadilishia fedha, nilipoingia ndani...
Falling stock markets have wiped out more than $9 trillion in wealth from U.S. households, putting more pressure on family balance sheets and spending.
Americans' holdings of corporate equities and mutual fund shares fell to $33 trillion at the end of the second quarter, down from $42 trillion...
Video moja inatembea mtandaoni kuanzia leo mchana, kinadada watatu wamejirekodi wakiongelea kwa uchungu namna walivyobaguliwa na kuletewa pozi na wafanya kazi wa mgahawa maarufu wa Fish Market.
Kwamba wateja wakija weusi na kinadada wanaletewa maringo ya kuchelewa kuhudumiwa, ya kuchelewa...
Pameripotiwa matukio kadhaa ya kibagudhi yanayoendelea pale Cape Town Fish Market na mbaya zaidi wanaobagua watanzania ni watanzania juu ya ngozi nyeupe, kama msipodhibiti hii hali basi haya matukio yataenda yakihama sehemu zingine!!
Ama tutafikia kugawanywa na mtaani upande wa ngozi nyeupe...
Mara nyingi ninapokutana na wamiliki au wakurugenzi wa makampuni (Business Executives), huwa nawauliza ni njia ipi huwa wanatumia kujijenga sokoni "market leading branding" wengi wanasema kufanya matangazo (advertising) ndio njia muafaka, kwa sababu; matangazo hujenga uelewa wa huduma au...
The cost leadership strategy is the set of actions conducted by the company to produce goods/service with features that are acceptable to customers at a low price relative to its competitors.
In most cases, firms that undertake this business-level strategy sell no-frills, they always sell...
Habari wana JF!
Napokea message PM kuhusu platform ya ku invest stock market kwa watanzania, platform nyingi za stock market especially US STOCKS ni kama hakuna zaidi ya TRADING212 ambayo mimi nilijiunga 2020 nilitaka kununua US STOCKS kama AAL, PK, OIL STOCKS. Ambazo zinafanya vizuri sana...
Wadau habari zenu? Poleni na majukumu ya siku. Zipo habari kwamba, tenda ya kuingiza mafuta nchini ambayo wamepewa baadhi ya wafanyabiashara wachache nchini ambao wana uswahiba na kigogo wa wizara hiyo.
Kwa mujibu wa mtoa habari mmoja wa ndani ya wizara hiyo, kigogo huyo amewapa tenda...
Job Overview
Market Development Executives in 4 Regions
MCL
Mwananchi Communications Limited is a subsidiary of Nation Media Group. It is the leading print media company in Tanzania with print as well as online platforms.
Locations: Shinyanga, Tabora, Mbeya & Manyara
Job Summary
To increase...
Mango farmers eyeing to export their produce to Europe have been handed a fighting chance following the launch of a hot water treatment facility to curb the notorious pests that resulted in a ban.
The facility, which is located at the Jomo Kenyatta International Airport, will be used by all...
MARKET STRUCTURE
Kwa kiswahili huu ni muundo wa soko au aina ya soko.
Kama mfanyabiashara au mtu ambae unataka kuingia katika biashara basi ni vyema ujue aina tofauti za masoko yaliyopo na vigezo vya kuweza kuwa katika aina flani ya soko. Pia kama mnunuaji itakusaidia kujua bidhaa flani ni...
habari za usiku na swali naomba wanauchumi na forex trades munijibu.
Hivi, supply na demand , ni quantity of goods or services au ni number of people?
mfano, mama lishe akipika chakula say wali na maharage kilo 20, then wateja wakaja wakanunua nusu ya kile chakula na nusu kikabaki, ni...
Mwaka 2012 nilibahatika kuhudhuria mafunzo fulani kuhusu biashara na uwekezaji.Mafunzo haya yalifanywa na wataalam ambao walikuwa wanalenga kuhamasisha uwekezaji ili kukuza biashara ndogo na za kati.Lilikuwa somo zuri sana.Katika moja ya mijadala tulizungumzia kuhusu vikoba na kwa hakika...
Ndugu yangu Mtego amenitumia ujumbe huu leo.
Yeah! ni kati ya machaguo mawili ambayo serikali inakumbana nayo kwenye hili suala la kuhamisha machinga.
Machinga ni mfanyabiashara anayeendeshwa na nguvu za soko(demand and supply) ambapo husababisha baadhi ya maeneo kukosa bidhaa kabisa i.e. Mtu...
TECNO just confirmed that it will feature MediaTek’s Helio G96 chipset in its CAMON 18 series to launch in November, making it the first smartphone brand to do so for the African market. The newly launched MediaTek Helio G96 chipset is ideal for powerful 4G smartphones for the mainstream market...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.