TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,720
- 10,220
- Thread starter
- #21
Asante sana kwa ushauri mzuri sana ngoja niufanyie kaziKama una account bank yenye hiyo hela kwa Shilingi,
Waambie unaowalipa huko china wakupe account namba za benk zao (bank details)
Ukienda bank kwako hapa Bongo, waambe wakupe form ya Bank transfer , waambie unataka kulipa hela China. watakupa rate ambayo utajaza baada ya hapo Bank yako itabadilisha yenyewe kwa rate ya siku hiyo na kulipa Bank ya China
Pole sana kwa Changamoto....