Zitto kabwe na deo na kamati yenu kwa ujumla tunawatazama kwa umakin sana
Escrow ni kokoro.
Tumeaminishwa ya kwamba report itakuwa na mambo mazito pamoja na mapendekezo mazito; sasa ikiwa haina kitu, kokoro la Escrow litaikumba Kamati ya Zitto.
leo kidogo umekuwa na akili na umeweka masilahi mapana ya taifa mbele. hujaweka masilahi ya kina mbowe-slaa-lema mbele. maana siku zote umekalia kumtukana zitto tu.Safi sana tunategemea report nzuri
Ngoja naacha kazi zote za kiofisi nitizame Binge;naomba Kamati ya PAC itutendee haki watanzania.
Wanakesha nini,wakati Zitto alisema wapo tayari kuwasilisha wakati wowote na mahali popote wakiitwa na Bunge.
Heee na wewe tupo pamoja Leo? kumbe mnajitoaga fahamu nyie watu
Mungu yu nanyi.nikiwa hapa ujilanini Rwanda,nami leo runinga yangu iko sawa.hakuna kazi nyingine zaidi ya kukaa runingani na kufuatilia bunge
Inaonyeshwa wapi? Jamani online tunaweza kupata chochote?
Ila kwa ushauri msoma taarifa atumie kipaza sauti bimafsi vile vya bunge vitamkolimba
ingekua china tayari washa pigwa risasi kitaaamboooo!
Heee na wewe tupo pamoja Leo? kumbe mnajitoaga fahamu nyie watu
Wanaupdate nondo kadri ushahidi mwingine unavyozidi kupatikana.
leo kidogo umekuwa na akili na umeweka masilahi mapana ya taifa mbele. hujaweka masilahi ya kina mbowe-slaa-lema mbele. maana siku zote umekalia kumtukana zitto tu.