Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,422
Hata wewe leo?!!! Kweli wonders shall never end.
Yaani nashukuru Li-ESCROW limekuja kwa wakati muafaka,watu wameanza kuokoka.Sikutegemea kabisa kuna watu watasupport UTAIFA wao leo.watakuwa kwa hakika wanaumizwa na matukio ya wizi wanayofanya viongozi.Ila wasiishie hapa tu waende mbali na kuwaacha kuwachagua wale wote waliopokea pesa na wanaotumia pesa kupata vyeo